Mnafeli wapi? Zamaradi Mketema kapewa range rover na mumewe!

Watu huku shida nini? Kajinunulia blah blah, mbona nyie hamjinunulii kama rahisi?

Kisa wewe huwezi kumnunulia/kununuliwa na mwenzi wako ndo mnaona na kwa wengine pia inashindikana eeeh?

Awe kanunua au kajinunulia cha muhimu ana Range punguzeni hasira nyuma ya keyboard haisaidii wakuu
 
Safi kka tumpongeze kwa Hilo Jambo
Hiyo RR sio brand new mkuu.. mwanamke nae jua alizawadiwa siku yake ya kuzaliwa ni Makiwendo .. alipewa Range Rover Velar Edition mpyaaa kabisa , na Jeep® Grand Cherokee kwa mpigoo , sema hapendi kiki dada yangu mzuri..


C.c Cillah 🫡🫡🫡 post lile mansion lako la dubai wajue watu mnapewa mazawadi
 
Rafiki mwema ukiona mahusiano yanapambwa na kupambaniwa sana mitandaoni jua kuna shida kubwa ndani yake.. Ni kama vile uzuri wa mkakasi unavyoonekana kwa nje
Inasemekana shebby ana mchepuko nje na Wana mtoto Sina hakika saaana maana sijakutana na chanzo changu kile100% kilichonambia nakiamini60% tu
 
Atari mmuuu
 
Ana undugu na Kassim majaliwa Shabani nadhani mjomba Ake na ndo maana Sasa hvi da zama Yuko kidogo na CCM nadhani anaweza kuja kupata hata kacheo huko mbele kidogo tusishangae maana mmewe yupo kwenye CCM mjumbe sjui wa nini hukoooo
Yess exactly wee unajuwa mambo acha Zama apambne Kama Ana elimu atapenya tu ghla tutamuona bungeni
 
Sahih kbsa [emoji817]
 
Inasemekana shebby ana mchepuko nje na Wana mtoto Sina hakika saaana maana sijakutana na chanzo changu kile100% kilichonambia nakiamini60% tu
Mkwe wanaume wetu wa kiafrica kuzaa nje ni kawaida kabisa. Bora mwenzetu mume Kazaa nje kampa range, mwingine angeishia kuombwa msamaha na kuletewa mtoto alee
 
Huyu si alimkimbia Ruge akaenda kuolewa na mwanaume muislam na alizaa nae kabisa
Zama alimuacha ruge kwa uhuni wake tuu,maana alimfumania,kuzaa na wanawake wengi n.k alichoka kudharauliwa akasubiri kashatimiza malengo ya kuhamia kwake na miradi yake akampata Shabani akamuoa fastaaa ila Zama km ruge angetulia angeolewa nae sema ndo hvyo Jasiri alikua kito....mb mnooo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…