Mnafeli wapi? Zamaradi Mketema kapewa range rover na mumewe!

Ndio watu wakasemaga jamaa alikwenda na ngwengwe hvyo nae Zama alikuwa nao dah wabongobbhna
 
Mkwe tuache bwana hujui km tuna makasirikio atiiu
 
Hizi ndio story za Watz wanazipenda na kuzifatilis kweli

Stori ya ajali ya kagera inapits kama upepo.
Yaah sas HV majaliwa Junior Hana trend , story kubwa Ni range Rover autobiography
 
Mkwe wanaume wetu wa kiafrica kuzaa nje ni kawaida kabisa. Bora mwenzetu mume Kazaa nje kampa range, mwingine angeishia kuombwa msamaha na kuletewa mtoto alee
[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ungeishia whaaat?!!??acha apewe life ndo hili hili...!!!
Ila Zama anaonekana ana utulivu sana ktk ndoa au akiwa na mwanaume hua anaridhika mnooo
 
Aisee tumetofautiana sana me ukiniomba 50k tu,nafuta namba,na move on kiroho safi af sikutafuti kabisa
Kaka tofautisha mke na demu kukuomba hell mkeo uwez mpa feza zozote
 
[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ungeishia whaaat?!!??acha apewe life ndo hili hili...!!!
Ila Zama anaonekana ana utulivu sana ktk ndoa au akiwa na mwanaume hua anaridhika mnooo
Zama anapenda mahusiano na wanapendana na yule kijana.

Wengine tunahate huku maana uwezo wa kutoa hawana na wapenzi wao uwezo wa kuwapa hawana vile vile wanabaki kuleta makasiriko
 
Zamaradi hakuwahi kuwa "mke" wa Ruge, ila ni mzazi mwenzie. Huyu wa sasa ndo mme wake.
 
🤣🤣🤣🤣🤣
Mbona mansion!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…