Mnafeli wapi? Zamaradi Mketema kapewa range rover na mumewe!

Mnafeli wapi? Zamaradi Mketema kapewa range rover na mumewe!

😂😂😂 heeee shost em soma hapa vizuri Lenie

Kama nakuona venye unajilia mema na momo out of public 😍😍

Vya sirini vitramuu
Rafiki mwema ukiona mahusiano yanapambwa na kupambaniwa sana mitandaoni jua kuna shida kubwa ndani yake.. Ni kama vile uzuri wa mkakasi unavyoonekana kwa nje
 
Zamaradi Tena kaongwa kitu kipya zeroo km Aina ya range Rover autobiography Kali sana hapa mjini DSM.

Dada yetu ana bahati ya peke haswa kwa kipindi hiki huwezi pata mwanaume akuonge pesa ndefu huku ulikuwa single maza na watoto watatu juu siyo kawaida kabisa, dada mshukuru Sana mungu kwa hilo, siyo Jambo dogo kabisa hili.

Ila pia naambiwa mhongaji anatokea Royal family moja kubwa hapa nchini haijajulikana ni ipi hadi sasa.


Kudos Sana mhongaji uko vizuri ilisemekana wee ni mmoja wa watu wanaopata furaha Sana ktk mapenzi konde boy haoni ndani.
View attachment 2411275View attachment 2411276
Nikisikia Zuchu,au Zari,au Mobeto kaongwa gari ya milioni 200!na Mond,sitashangaa,maana Dunia inajua mkwanja na kazi anayofanya Mond,
Sasa huyu mwamba,anaye onga vogue anafanya shughuri gani,madini,kilimo,ni CEO?
Au hizi ni swaga tu
 
Back
Top Bottom