Oyaa Unazingua...
1. Mtu kwenda Study Room mpaka apite Master Bedroom?
2. Hakuna Privacy kati ya Public WC na Sitting room (Re-arrange hapo)
3. Bedroom close na Kitchen ipe dirisha la Pili kama unajenga Dar utanishukuru majira ya Joto
4. Sitting inapaswa iwe ventilated vya kutosha na natural light ya kumwaga. Mbona umeipendelea Dinning ambako watu hawakai sana? Unazingua
5. Pay attention to roof Plan - Hapo kwenye entrance hapo usione raha hiyo mistari mingi mingi kwenye kujenga haitakuwa hivyo
6. Arrangement ya jiko "U~ Shape" ni perfect
7. Mpe kazi Mtaalam adesign usichukue tu kwenye mtandao ukampa Fundi Samweli ajenge, utazingua zaidi