Mnaipa asilimia ngapi hii ramani ya Bangaloo?

Mnaipa asilimia ngapi hii ramani ya Bangaloo?

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Screenshot_20230305-185820_Gallery.jpg


Baada ya kuupima mziki wa ghorofa na kuona ni kina kirefu sasa nahamia rasmi kwenye mabangaloo aka Freemason.
Kuna floor plan ya huyo mwamba hapo. Naombeni maoni yenu na kukosoa kwingi kabla sijamchek
 
View attachment 2538313

Baada ya kuupima mziki wa ghorofa na kuona ni kina kirefu sasa nahamia rasmi kwenye mabangaloo aka Freemason.
Kuna floor plan ya huyo mwamba hapo. Naombeni maoni yenu na kukosoa kwingi kabla sijamchek
Oyaa Unazingua...
1. Mtu kwenda Study Room mpaka apite Master Bedroom?
2. Hakuna Privacy kati ya Public WC na Sitting room (Re-arrange hapo)
3. Bedroom close na Kitchen ipe dirisha la Pili kama unajenga Dar utanishukuru majira ya Joto
4. Sitting inapaswa iwe ventilated vya kutosha na natural light ya kumwaga. Mbona umeipendelea Dinning ambako watu hawakai sana? Unazingua
5. Pay attention to roof Plan - Hapo kwenye entrance hapo usione raha hiyo mistari mingi mingi kwenye kujenga haitakuwa hivyo
6. Arrangement ya jiko "U~ Shape" ni perfect
7. Mpe kazi Mtaalam adesign usichukue tu kwenye mtandao ukampa Fundi Samweli ajenge, utazingua zaidi
 
Weka open-kitchen.

Utaokoa space kubwa sana kwa kuunganisha sebule,jiko & dining kisha uongeze ukubwa wa vyumba na washrooms.

Na kwama walivyogusia wengine, study isiwe karibu na master bedroom kiasi hicho.
 
Weka open-kitchen.

Utaokoa space kubwa sana kwa kuunganisha sebule,jiko & dining kisha uongeze ukubwa wa vyumba na washrooms.

Na kwama walivyogusia wengine, study isiwe karibu na master bedroom kiasi hicho.
1. Open kitchen nimekuelewa sana tu
2. Study room ni kama library na ofisi tu ya mkulungwa. Kwa hiyo nimependa ilivyokaa karibu..Vijana watasomea magetoni.
 
Oyaa Unazingua...
1. Mtu kwenda Study Room mpaka apite Master Bedroom?
2. Hakuna Privacy kati ya Public WC na Sitting room (Re-arrange hapo)
3. Bedroom close na Kitchen ipe dirisha la Pili kama unajenga Dar utanishukuru majira ya Joto
4. Sitting inapaswa iwe ventilated vya kutosha na natural light ya kumwaga. Mbona umeipendelea Dinning ambako watu hawakai sana? Unazingua
5. Pay attention to roof Plan - Hapo kwenye entrance hapo usione raha hiyo mistari mingi mingi kwenye kujenga haitakuwa hivyo
6. Arrangement ya jiko "U~ Shape" ni perfect
7. Mpe kazi Mtaalam adesign usichukue tu kwenye mtandao ukampa Fundi Samweli ajenge, utazingua zaidi
1. Study room sijazingua, ni kama ofisi yangu tu. Madogo watasomea magetoni
2. Nimezingua
3. Umesomeka
4. Umesomeka
5. I will pay attention
6. Au sio
7. Nitampa huyu designer amalizie kazi ila kujenga ndio itabidi wafanye wengine
 
Back
Top Bottom