OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
- #21
PCCB watanisumbua 😫😫😫Mtoa mada umeniudhi sana ina maana ghorofa nitajenga mwenyewe tu![emoji276]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PCCB watanisumbua 😫😫😫Mtoa mada umeniudhi sana ina maana ghorofa nitajenga mwenyewe tu![emoji276]
8. Angalia possibility ya kuwa na dirisha hapo, si kwa ajili ya view tu ya nyuma lakini pia for security purpose, kwa sababu nadhani kidirisha cha Store ni High Level Window, ni rahisi kuwa na activities kwenye kibaraza cha jikoni pasipo kuonekana.1. Study room sijazingua, ni kama ofisi yangu tu. Madogo watasomea magetoni
2. Nimezingua
3. Umesomeka
4. Umesomeka
5. I will pay attention
6. Au sio
7. Nitampa huyu designer amalizie kazi ila kujenga ndio itabidi wafanye wengine
Hizo nyumba za nje za nini wadau? Kizamani sana hiyo.Niliona kama nyumba ya nje haiepukiki kwa ajili ya vijana na wageni wa kiume. Ukiungana na vyoo vya nje na stoo ya mazaga. Zaidi kwa ajili ya mpangaji huko mbeleni wa kunikimbiza hospitali nikizeeka
Mkuu nimeeleza sababu za msingi ambazo hujazifafanua. Extended family nyumba za nje haziepukiki mzee. Tatizo watu wa Dar tuviwanja tudogo mnawaza kubana matumizi..Mkoani hapo nazungumzia nusu ekariHizo nyumba za nje za nini wadau? Kizamani sana hiyo.
Kama unataka kufanya biashara ya nyumba za kupangisha kanunue kiwanja jenga wapangaji waishi kivyao.
Sehemu unayoishi jiachie uwe na eneo kubwa hata nyumba itakuwa mazingira yanayopendeza bustani nzuri ua wa kutosha hata hewa na upepo utapata vya kutosha
Familia yako inahitaji faragha. Ndio maana ikaitwa nyumba ya familia
Unaishi nao?Mkuu nimeeleza sababu za msingi ambazo hujazifafanua. Extended family nyumba za nje haziepukiki mzee
Ya umeme unipe boss1. Study room sijazingua, ni kama ofisi yangu tu. Madogo watasomea magetoni
2. Nimezingua
3. Umesomeka
4. Umesomeka
5. I will pay attention
6. Au sio
7. Nitampa huyu designer amalizie kazi ila kujenga ndio itabidi wafanye wengine
Self room moja na sitting, si ndio?!Haina haja ya nyumba ya nje,ongeza room Moja inatosha
Siishi nao, lakini wanakuja na kuondoka. Mara kaja tuisheni, mara mwanachuo, mara nitafutie uhamisho, mara napita mara moja naenda Mwanza. Wengine sisi ni first born na wazito kwenye ukoo. Ndugu huwezi kuwakimbiaUnaishi nao?
Ushauri wa kuzingatia huu. Nawaza pia huo mlango wa mbele uwe ni mdogo kwa ajili yangu na mtu asiyetaka kupita sebuleni. Halafu huo ukuta wa mbele wa sofa kubwa ndio uwe mlango rasmi wa kutoka8. Angalia possibility ya kuwa na dirisha hapo, si kwa ajili ya view tu ya nyuma lakini pia for security purpose, kwa sababu nadhani kidirisha cha Store ni High Level Window, ni rahisi kuwa na activities kwenye kibaraza cha jikoni pasipo kuonekana.
Kwahiyo unaweza kuondoa hilo dirisha lililopo upate space ya kutosha kuweka High Level kitchen cabinets pia.
All the Best Mkuu!View attachment 2538593
Watu wazito kama nyinyi huwa hawakosekani kwenye koo au familia zetu 🤣🤣🤣Siishi nao, lakini wanakuja na kuondoka. Mara kaja tuisheni, mara mwanachuo, mara nitafutie uhamisho, mara napita mara moja naenda Mwanza. Wengine sisi ni first born na wazito kwenye ukoo. Ndugu huwezi kuwakimbia
Pia eneo ni kubwa, bustani na ufugaji wa kuku, mbuni na madoido lazima yawepo. Sasa msimamizi atakuwa na eneo la kujiachia hata kumpambania beki 3.Watu wazito kama nyinyi huwa hawakosekani kwenye koo au familia zetu 🤣🤣🤣
Kweli aisee mpe beki 3 haki ya kugegedwa nashangaa wengine wanawabana sana mabeki 3 wasipigwe miti. Ile ni haki yaoPia eneo ni kubwa, bustani na ufugaji wa kuku, mbuni na madoido lazima yawepo. Sasa msimamizi atakuwa na eneo la kujiachia hata kumpambania beki 3.
Ni haki yake kula mashine. Wewe na mkeo unajifungia ndani mnaweka sauti ya mziki juu. Halafu unataka yeye akaburudike wapiKweli aisee mpe beki 3 haki ya kugegedwa nashangaa wengine wanawabana sana mabeki 3 wasipigwe miti. Ile ni haki yao
Hawa wenye nyumba wanakosea sana nyie mburuduke huko yeye anakuwa na mautamu yamemjaa.Ni haki yake kula mashine. Wewe na mkeo unajifungia ndani mnaweka sauti ya mziki juu. Halafu unataka yeye akaburudike wapi
Haya turudi kwenye mada 🤣🤣🤣Hawa wenye nyumba wanakosea sana nyie mburuduke huko yeye anakuwa na mautamu yamemjaa.
Kuna familia moja walimpa house girl kila siku ya Jpli afanye mitoko kwenda kupigwa miti. Walishangaa hata ufanisi wa kazi zake pale nyumbani ukaongezeka
Poa 😀Hata turudi kwenye mada 🤣🤣🤣
Sawa kabisa MkuuKama ni ya familia ibane ongeza room moja ili usihangaike kujenga nyumba nyingine nje
Toa ushauri badala ya kushangaaSijajua huyo fundi atapaua vipi, hasa hapo mbele kwenye main entrance