Mnajifanya kusikitika Kifo cha Katibu wa Masanja, ila hamkemei 'Uhuni' wake 'Wanafiki' wakubwa nyie

Mbona wakati Dogo ( Katibu ) anamkaza Mke wa Massanja hamkuja hapa JamiiForums Kumkanya na hata kutaka hao ( hawa ) Polisi Wamchunguze Dogo Katibu? Wanafiki wakubwa nyie

Hahahaha sawa Gent ila sisi hatukujua hapo awali kama dogo anamkaza Mama mchungaji tungeshamkanya.
 
Wewe utakuwa mmoja wa wapambe wa masanja,maana maneno yako Yana shida ndani yake.
 
Tuelekeze, tunamkemeaje marehemu ili aachane na ushenzi wake?

Hapa umedhihirisha namna Popoma inavyofiti credencials zako🤣🤣🤣🤣
 
Kwa namna yeyote ile Kama huyo katibu aliwahi kulala na mama mchuu akiwa ameshaolewa na masanja kifo ni stahiki yake.....
Kwa kuuwawa au kujiua...vyovyote hatakiwi kutembea tena juu ya uso wa hii dunia
Na Mama mchuu kama alivua pichu kabisa kwa Katibu wa Mchuu huku akijua ni kosa yeye anastahili adhabu gani?
Huenda katibu alikuwa mtiifu kwa boss wake mama mchuu...
 
Lawama zote ziende kwa mke wa masanja.

Alikuwa anashika  KOLA ya Mchungaji na mikono iliyotoka kushika manii ya hawara.

Katibu hana kosa, aliyepaswa kufa ni huyo mwanamke asiyejiheshimu.

Mwanamke kama mke wa pastor alikuwa anaandaa hata sacrament ya meza ya Bwana huku anazini.

Anachukua vitu vya madhabahu akiwa mchafu.

Niamini tu kuwa atakuwa na wanaume wengine wa nje pia.

Ngoja niishie hapa naona ninakoelekea ni kubaya zaidi
 
Nasikia katibu nae kaacha pisi kali, napendekeza huyo ndo arithi ukatibu.
Hapa itapelekea Mama mchuu naye aandae tukio.Mwisho wa siku utasikia katibu wa kike naye amejinyonga kwaajili ya penzi la Baba mchuu
 
Cha ajabu dogo nae kaoa lakini anagongea kwa mwenzake wanafiki hawaoni utovu wa nidhamu kwa dogo kupakua mzinga wa bosi wake

Mi nnachokiona huenda mama mchungaji alikua demu wa katibu KABLA mchungaji hajaingia na saundi nyingi na vihela hela na kumlaghai.

Huenda pia katibu hii kitu ilimuuma sana lakini mama mchungaji akamuambia usiwe na shaka ntaendelea kukuibia apo kidogo kidogo maana mara nyingi mchungaji si hua hayupo?

Huenda pia katibu "alijisogeza" kanisani (hadi kuukwaa ukatibu) ili awe karibu na mama mchungaji. Na ili kuondoa suspicion, akaona na yeye aoe kabisa ili kuzuga kwamba kila kitu kiko poa.

Huenda somewhere along the way mchungaji alishtukia mchezo, akatoa ultimatum kwa mama mchungaji aachane na katibu la sivyo... Mama mchungaji akapima akaamua kuvunja uhusiano na katibu, kitendo kilichopelekea katibu kushindwa kuvumilia na kuandika meseji tajwa kisha kujitundika!

What do I know?
 
Vipi ikatokea huyo Katibu kuuwawa kwanza, na kisha kuwekwa katika mazingira ya kuonesha amejinyonga! Na baadaye hao wahalifu kutumia simu yake tena kuandika huo ujumbe kwenda kwa mama mchingaji/askofu Monica Masanja?

Mimi nadhani polisi wangejiridhisha kwa kufanya uchunguzi wa kina na wa kisayansi; ukiwemo ule wa kumhoji huyo mhusika aliyetajwa na marehemu, halafu mwisho wa siku wangetoa tamko sasa ili kuondoa haya maswali ya sintofahamu.

How do you see Mr. Genius?
 
Na Mama mchuu kama alivua pichu kabisa kwa Katibu wa Mchuu huku akijua ni kosa yeye anastahili adhabu gani?
Huenda katibu alikuwa mtiifu kwa boss wake mama mchuu...

Uwezekano wa kwamba katibu alimtongoza mama mchuu wakati tayari akiwa mama mchuu ni mdogo sana (japo hatuwezi ku rule out). Ila kama walikua wapenzi KABLA hajawa mama mchuu, then ni rahisi sana kwa katibu kuendelea kumla hata baada ya kuwa mama mchuu.
 
Watu wanasikitikia kifo kwa sababu katika maisha haya tunayoyajua kifo ni final.

Yani hata kama unaamini alifanya uhuni, na uhuni ni mbaya, ni bora angeishi na kupata nafasi ya kubadili huo uhuni afanye mazuri.

Sasa amefariki, amepoteza nafasi zote za kubadili huo uhuni.

Kama kweli akifanya uhuni na kama kweli uhuni huo ni mbaya.

Kwa nini hili linakuwa gumu sana kuelewa?

Simple empathy, please.

Kwa nini Watanzania wengi ni makatili sana, hawana huruma wala ustaarabu, wakijificha katika kichaka cha haki?

Why beat up a dead body?

The fellow is dead already, have some mercy.
 
Matola njoo popoma bin taga wa mataga kaamka
Ungana na huyu 'Ngala Ngala' uliyemuita hapa pamoja na Wengine kisha pambaneni nami na hakuna wa Kuniweza Kwa Vita ya Maneno niliyo na PhD nayo sawa?
 
Kukaziwa inauma.

Ila sasa nimepata namna nzuri ya kusolve tatizo kama la Masanja.

Ukitoka na wife simwachi wife wala simkemei badala yake atasikia tu msiba wa jirani yake
Napenda sana na mno Wanamume Jasiri na wenye Maamuzi ya Kikatili ( Kishalubela ) kama Wewe hivi Mkuu na Wengine baadhi.

Yaani 'Unikazie' Mke wangu nijue halafu nikuache uendelee Kuvuta Hewa hii ya Duniani? Labda siyo Mimi GENTAMYCINE Kudadadeki....!!!
 
Huyu mbwa hana akili even though kila mara ujiona ni extra ordinary!! Mpaka hapo asha conclude ya kua "Katibu" ni mzinzi kwa kutumia ushahidi wa yale maandishi ambayo obviously hana evidence kayaandika nani!!

Sema nini, tunaishi naye hivo hivo.
JamiiForums Moderators Paw, Moderator, Active, Cookie and JamiiForums GENTAMYCINE nimekuwa nikitukanwa na kudhalilishwa mno na Members na sioni wakiadhibiwa kama ambavyo MImi huwa nawahiwa Kuadhibiwa kwa BAN.

Huyu ni Member wa Tatu hapa JamiiForums kuniita Mimi Mbwa na bahati mbaya hata nikiwaripoti Kwenu hawa Watu bado naona wapo ila nami nikijibu mapigo kwa Lugha yangu upesi sana naona nimepigwa BAN.

Kinachonisikitisha zaidi kuna Members hapa kama BILGERT na Wengine wengi tu GENTAMYCINE nikitukanwa na Kudhalilishwa hivi kwa Kuitwa Mbwa hawajitokezi Kukemea na Kuwakemea Wahusika ila nikijibu tu mapigo haraka sana utaona wanajitokeza Kunishangaa, Kunilaumu na hata Kuwaita Moderators wa JamiiForums wanipige BAN.

Asanteni.

Cc: JamiiForums Founder Maxence Melo
 
Mimi sijaelewa kile kipande cha barua ndio kimehitimisha kuwa jamaa alijinyonga au wazee wa kazi walifanya uchunguzi kwa na kutoa majibu yale ya fast track..
 
Wewe utakuwa mmoja wa wapambe wa masanja,maana maneno yako Yana shida ndani yake.
Utembee ( Unikazie ) kabisa Mke wangu halafu nijue nikuache uendelee kuivuta na kuifurahia hii Hewa ya bure hapa duniani? Labda siyo Mimi Kudadadeki......!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…