Mnajifanya kusikitika Kifo cha Katibu wa Masanja, ila hamkemei 'Uhuni' wake 'Wanafiki' wakubwa nyie

Mnajifanya kusikitika Kifo cha Katibu wa Masanja, ila hamkemei 'Uhuni' wake 'Wanafiki' wakubwa nyie

Mbona wakati Dogo ( Katibu ) anamkaza Mke wa Massanja hamkuja hapa JamiiForums Kumkanya na hata kutaka hao ( hawa ) Polisi Wamchunguze Dogo Katibu? Wanafiki wakubwa nyie

Hahahaha sawa Gent ila sisi hatukujua hapo awali kama dogo anamkaza Mama mchungaji tungeshamkanya.
 
Wewe utakuwa mmoja wa wapambe wa masanja,maana maneno yako Yana shida ndani yake.
 
Yaani kila Mtu anajifanya Mchambuzi, Mpelelezi na Kaguswa sana na Tukio la Kujiua kwa Katibu wa Kanisa la Massanja huku Wengi wenu mlivyo Wanafiki mnalazimisha kuwa Dogo Kauwawa na wala hakujiua kama tunavyoaminishwa.

Yaani tunaacha Kukemea Uhuni wa Dogo na wa Watu Wengi ( na Wengine tuko humu huku JamiiForums ) wa kupenda 'Kitonga' kwa Kutembea na Wake za Watu Kiunafiki kabisa tunajifanya Kusikitika, Kuhoji na kujifanya ni FBI na kutaka Uchunguzi ( Upelelezi ) wa kina Ufanyike.

Mbona wakati Dogo ( Katibu ) anamkaza Mke wa Massanja hamkuja hapa JamiiForums Kumkanya na hata kutaka hao ( hawa ) Polisi Wamchunguze Dogo Katibu? Wanafiki wakubwa nyie.

Yaani GENTAMYCINE nijichange, nihangaike Kimaisha kisha Nioe Mke wangu halafu 'Ngala Ngala' Mmoja uje tu Unikazie 'Kisela' halafu nijue nikuache? Labda Mimi siyo Mzanaki, Mmakuwa na Mtutsi Kudadadeki...!!

99% ya Mlioanzisha Mada ( za Angle mbalimbali ) kuhusu Kuhoji na Kusikitika Kifo ( Kujiua ) kwa Katibu wa Massanja nanyi ndiyo Wabobezi wa Kuzikaza 'Mbunye' za Wanaume Wenzenu mbona nanyi hamtaki Uchunguzi wa Kina ufanyike dhidi yenu? Wanafiki wakubwa nyie.

Mimi Dogo awe Kajiua Kweli au hata Kauwawa ( Kimafia ) na Watu wa 'Kimkakati' wala sijali na sisikitiki ila naendelea Kusisitiza acheni kupenda 'Mbunye' za Wake za Watu wawe ni Matajiri au Masikini.

Mademu wamejaa tele ( tena mpaka wa Buku Buku ) na Wengine ni wa Kukopa ( Mali Kauli ) kama ambao GENTAMYCINE nawapata na nimebobea nao kwanini hadi ukahangaike na Mke wa Mtu / Wake za Watu wakati pengine nawe pia Nyumbani Kwako una Mke / Wake kwa ile Dini nyingine?

Wanafiki mtakaoenda katika Msiba wa huyo Dogo Mwizi wa Penzi la Mke wa Massanja mkatuwakilishe vyema ila Mimi GENTAMYCINE huwa nahudhuria Misiba yenye Vifo vilivyotokea kwa sababu za maana na za Kibinadamu kweli ila Misiba ya Kipuuzi ya Kujiua kwa Kuiba Penzi la Mtu au ya Kibaka na Jambazi na mingineyo huwa sina muda Mchafu wa Kuihudhuria na kuna muda hata Wanaoihudhuria pia huwa nawaona hawana Akili vile vile.

Wanafiki wakubwa kabisa nyie............!!!
Tuelekeze, tunamkemeaje marehemu ili aachane na ushenzi wake?

Hapa umedhihirisha namna Popoma inavyofiti credencials zako🤣🤣🤣🤣
 
Kwa namna yeyote ile Kama huyo katibu aliwahi kulala na mama mchuu akiwa ameshaolewa na masanja kifo ni stahiki yake.....
Kwa kuuwawa au kujiua...vyovyote hatakiwi kutembea tena juu ya uso wa hii dunia
Na Mama mchuu kama alivua pichu kabisa kwa Katibu wa Mchuu huku akijua ni kosa yeye anastahili adhabu gani?
Huenda katibu alikuwa mtiifu kwa boss wake mama mchuu...
 
Lawama zote ziende kwa mke wa masanja.

Alikuwa anashika  KOLA ya Mchungaji na mikono iliyotoka kushika manii ya hawara.

Katibu hana kosa, aliyepaswa kufa ni huyo mwanamke asiyejiheshimu.

Mwanamke kama mke wa pastor alikuwa anaandaa hata sacrament ya meza ya Bwana huku anazini.

Anachukua vitu vya madhabahu akiwa mchafu.

Niamini tu kuwa atakuwa na wanaume wengine wa nje pia.

Ngoja niishie hapa naona ninakoelekea ni kubaya zaidi
 
20221003_205837.jpg

Unasema kuwa 😄😄
 
Cha ajabu dogo nae kaoa lakini anagongea kwa mwenzake wanafiki hawaoni utovu wa nidhamu kwa dogo kupakua mzinga wa bosi wake

Mi nnachokiona huenda mama mchungaji alikua demu wa katibu KABLA mchungaji hajaingia na saundi nyingi na vihela hela na kumlaghai.

Huenda pia katibu hii kitu ilimuuma sana lakini mama mchungaji akamuambia usiwe na shaka ntaendelea kukuibia apo kidogo kidogo maana mara nyingi mchungaji si hua hayupo?

Huenda pia katibu "alijisogeza" kanisani (hadi kuukwaa ukatibu) ili awe karibu na mama mchungaji. Na ili kuondoa suspicion, akaona na yeye aoe kabisa ili kuzuga kwamba kila kitu kiko poa.

Huenda somewhere along the way mchungaji alishtukia mchezo, akatoa ultimatum kwa mama mchungaji aachane na katibu la sivyo... Mama mchungaji akapima akaamua kuvunja uhusiano na katibu, kitendo kilichopelekea katibu kushindwa kuvumilia na kuandika meseji tajwa kisha kujitundika!

What do I know?
 
Yaani kila Mtu anajifanya Mchambuzi, Mpelelezi na Kaguswa sana na Tukio la Kujiua kwa Katibu wa Kanisa la Massanja huku Wengi wenu mlivyo Wanafiki mnalazimisha kuwa Dogo Kauwawa na wala hakujiua kama tunavyoaminishwa.

Yaani tunaacha Kukemea Uhuni wa Dogo na wa Watu Wengi ( na Wengine tuko humu huku JamiiForums ) wa kupenda 'Kitonga' kwa Kutembea na Wake za Watu Kiunafiki kabisa tunajifanya Kusikitika, Kuhoji na kujifanya ni FBI na kutaka Uchunguzi ( Upelelezi ) wa kina Ufanyike.

Mbona wakati Dogo ( Katibu ) anamkaza Mke wa Massanja hamkuja hapa JamiiForums Kumkanya na hata kutaka hao ( hawa ) Polisi Wamchunguze Dogo Katibu? Wanafiki wakubwa nyie.

Yaani GENTAMYCINE nijichange, nihangaike Kimaisha kisha Nioe Mke wangu halafu 'Ngala Ngala' Mmoja uje tu Unikazie 'Kisela' halafu nijue nikuache? Labda Mimi siyo Mzanaki, Mmakuwa na Mtutsi Kudadadeki...!!

99% ya Mlioanzisha Mada ( za Angle mbalimbali ) kuhusu Kuhoji na Kusikitika Kifo ( Kujiua ) kwa Katibu wa Massanja nanyi ndiyo Wabobezi wa Kuzikaza 'Mbunye' za Wanaume Wenzenu mbona nanyi hamtaki Uchunguzi wa Kina ufanyike dhidi yenu? Wanafiki wakubwa nyie.

Mimi Dogo awe Kajiua Kweli au hata Kauwawa ( Kimafia ) na Watu wa 'Kimkakati' wala sijali na sisikitiki ila naendelea Kusisitiza acheni kupenda 'Mbunye' za Wake za Watu wawe ni Matajiri au Masikini.

Mademu wamejaa tele ( tena mpaka wa Buku Buku ) na Wengine ni wa Kukopa ( Mali Kauli ) kama ambao GENTAMYCINE nawapata na nimebobea nao kwanini hadi ukahangaike na Mke wa Mtu / Wake za Watu wakati pengine nawe pia Nyumbani Kwako una Mke / Wake kwa ile Dini nyingine?

Wanafiki mtakaoenda katika Msiba wa huyo Dogo Mwizi wa Penzi la Mke wa Massanja mkatuwakilishe vyema ila Mimi GENTAMYCINE huwa nahudhuria Misiba yenye Vifo vilivyotokea kwa sababu za maana na za Kibinadamu kweli ila Misiba ya Kipuuzi ya Kujiua kwa Kuiba Penzi la Mtu au ya Kibaka na Jambazi na mingineyo huwa sina muda Mchafu wa Kuihudhuria na kuna muda hata Wanaoihudhuria pia huwa nawaona hawana Akili vile vile.

Wanafiki wakubwa kabisa nyie............!!!
Vipi ikatokea huyo Katibu kuuwawa kwanza, na kisha kuwekwa katika mazingira ya kuonesha amejinyonga! Na baadaye hao wahalifu kutumia simu yake tena kuandika huo ujumbe kwenda kwa mama mchingaji/askofu Monica Masanja?

Mimi nadhani polisi wangejiridhisha kwa kufanya uchunguzi wa kina na wa kisayansi; ukiwemo ule wa kumhoji huyo mhusika aliyetajwa na marehemu, halafu mwisho wa siku wangetoa tamko sasa ili kuondoa haya maswali ya sintofahamu.

How do you see Mr. Genius?
 
Na Mama mchuu kama alivua pichu kabisa kwa Katibu wa Mchuu huku akijua ni kosa yeye anastahili adhabu gani?
Huenda katibu alikuwa mtiifu kwa boss wake mama mchuu...

Uwezekano wa kwamba katibu alimtongoza mama mchuu wakati tayari akiwa mama mchuu ni mdogo sana (japo hatuwezi ku rule out). Ila kama walikua wapenzi KABLA hajawa mama mchuu, then ni rahisi sana kwa katibu kuendelea kumla hata baada ya kuwa mama mchuu.
 
Watu wanasikitikia kifo kwa sababu katika maisha haya tunayoyajua kifo ni final.

Yani hata kama unaamini alifanya uhuni, na uhuni ni mbaya, ni bora angeishi na kupata nafasi ya kubadili huo uhuni afanye mazuri.

Sasa amefariki, amepoteza nafasi zote za kubadili huo uhuni.

Kama kweli akifanya uhuni na kama kweli uhuni huo ni mbaya.

Kwa nini hili linakuwa gumu sana kuelewa?

Simple empathy, please.

Kwa nini Watanzania wengi ni makatili sana, hawana huruma wala ustaarabu, wakijificha katika kichaka cha haki?

Why beat up a dead body?

The fellow is dead already, have some mercy.
 
Matola njoo popoma bin taga wa mataga kaamka
Ungana na huyu 'Ngala Ngala' uliyemuita hapa pamoja na Wengine kisha pambaneni nami na hakuna wa Kuniweza Kwa Vita ya Maneno niliyo na PhD nayo sawa?
 
Kukaziwa inauma.

Ila sasa nimepata namna nzuri ya kusolve tatizo kama la Masanja.

Ukitoka na wife simwachi wife wala simkemei badala yake atasikia tu msiba wa jirani yake
Napenda sana na mno Wanamume Jasiri na wenye Maamuzi ya Kikatili ( Kishalubela ) kama Wewe hivi Mkuu na Wengine baadhi.

Yaani 'Unikazie' Mke wangu nijue halafu nikuache uendelee Kuvuta Hewa hii ya Duniani? Labda siyo Mimi GENTAMYCINE Kudadadeki....!!!
 
Huyu mbwa hana akili even though kila mara ujiona ni extra ordinary!! Mpaka hapo asha conclude ya kua "Katibu" ni mzinzi kwa kutumia ushahidi wa yale maandishi ambayo obviously hana evidence kayaandika nani!!

Sema nini, tunaishi naye hivo hivo.
JamiiForums Moderators Paw, Moderator, Active, Cookie and JamiiForums GENTAMYCINE nimekuwa nikitukanwa na kudhalilishwa mno na Members na sioni wakiadhibiwa kama ambavyo MImi huwa nawahiwa Kuadhibiwa kwa BAN.

Huyu ni Member wa Tatu hapa JamiiForums kuniita Mimi Mbwa na bahati mbaya hata nikiwaripoti Kwenu hawa Watu bado naona wapo ila nami nikijibu mapigo kwa Lugha yangu upesi sana naona nimepigwa BAN.

Kinachonisikitisha zaidi kuna Members hapa kama BILGERT na Wengine wengi tu GENTAMYCINE nikitukanwa na Kudhalilishwa hivi kwa Kuitwa Mbwa hawajitokezi Kukemea na Kuwakemea Wahusika ila nikijibu tu mapigo haraka sana utaona wanajitokeza Kunishangaa, Kunilaumu na hata Kuwaita Moderators wa JamiiForums wanipige BAN.

Asanteni.

Cc: JamiiForums Founder Maxence Melo
 
Mimi sijaelewa kile kipande cha barua ndio kimehitimisha kuwa jamaa alijinyonga au wazee wa kazi walifanya uchunguzi kwa na kutoa majibu yale ya fast track..
 
Wewe utakuwa mmoja wa wapambe wa masanja,maana maneno yako Yana shida ndani yake.
Utembee ( Unikazie ) kabisa Mke wangu halafu nijue nikuache uendelee kuivuta na kuifurahia hii Hewa ya bure hapa duniani? Labda siyo Mimi Kudadadeki......!!!!!!
 
Back
Top Bottom