Mnakataa Ndoa kuhalalisha Uzinzi

Mnakataa Ndoa kuhalalisha Uzinzi

Swali lako ni YESU alikuwa mzinzi? Nikakuuliza tafsiri ya uzinzi ukasema kufanya ngono na wanawake wengi nikakuuliza kama YESU alifanya na wanawake wengi ukasema hakuna aliofanya nao hivyo jibu ni HAKUWA MZINZI. Sasa kama na wewe una sifa za YESU hata usipooa sawa.
Sasa ulishindwa nini kujibu hivyo toka mwanzo?

Turudi kwenye swali langu.
 
#USIPOOA UTAOLEWA

 
Kumekuwa na Wimbi kubwa aina ya Tsunami ambalo limekuwa likijinadi kuhusu kukataa Ndoa, likitoa sababu mbalimbali za kujitetea.

Lakini mtu anayekataa Ndoa anakabili vipi hisia zake. Binadamu tumeumbwa na Sexual Desire (Matamanio ya kufanya ngono) for pleasure, yani kwa ajili ya kujiburudisha. Na hali hii ya matamanio ya ngono umkumba kila mtu, mpaka wazee.

Kukataa Ndoa maana yake, unakuwa mtu huru, ukiwa mtu huru na ukapatwa na sexual desire, matamanio ya kufanya Ngono maana yake unayaondoa vipi hayo matamanio...

Njia ambazo hutumika kuondoa sexual desire Moja ni kujichua na nyingine ni kufanya mapenzi na watu tofauti tofauti, kama ni mwanaume atakuwa anatafuta wadada wa one night stand (Penzi la usiku mmoja) mfano malaya au wanawake watakao kuwa rahisi. Na kama ni Mwanamke basi atajirahishisha kwa mwanaume hili aweze kukizi haja zake. Na wanawake aina hii wengi wanatumia neno "Kudanga" kama kichaka cha kuondoa hamu ya tendo la ndoa, na wengi wao uchepuka na waume za watu, huku wakijificha kwenye kivuli cha Single Mother.

Maana yake ni kwamba watu wanaokataa Ndoa ni watu wanaofanya uzinzi hili kukizi matamanio yao ya mwili.

Kubali Ndoa kataa Uzinzi.
Kiufupi hatukatai ndoa ila tunakataa yaliyomo ndani ya ndoa ambayo yameondoa dhana nzima ya ndoa
 
Sio kweli bwana acha kupotosha
napotosha nini wakati hali halisi inaonekana? Kajaribu kuoa mtoto ambaye amelelewa na mama tu uone matokeo yake. Usichanganye wale wamama wajane, kaoe mtoto wa single mother star ndio utajua dunia ilivyo. Unabisha nini, au nawe upo single mother/umelelewa na mama tu?
 
Kumekuwa na Wimbi kubwa aina ya Tsunami ambalo limekuwa likijinadi kuhusu kukataa Ndoa, likitoa sababu mbalimbali za kujitetea.

Lakini mtu anayekataa Ndoa anakabili vipi hisia zake. Binadamu tumeumbwa na Sexual Desire (Matamanio ya kufanya ngono) for pleasure, yani kwa ajili ya kujiburudisha. Na hali hii ya matamanio ya ngono umkumba kila mtu, mpaka wazee.

Kukataa Ndoa maana yake, unakuwa mtu huru, ukiwa mtu huru na ukapatwa na sexual desire, matamanio ya kufanya Ngono maana yake unayaondoa vipi hayo matamanio...

Njia ambazo hutumika kuondoa sexual desire Moja ni kujichua na nyingine ni kufanya mapenzi na watu tofauti tofauti, kama ni mwanaume atakuwa anatafuta wadada wa one night stand (Penzi la usiku mmoja) mfano malaya au wanawake watakao kuwa rahisi. Na kama ni Mwanamke basi atajirahishisha kwa mwanaume hili aweze kukizi haja zake. Na wanawake aina hii wengi wanatumia neno "Kudanga" kama kichaka cha kuondoa hamu ya tendo la ndoa, na wengi wao uchepuka na waume za watu, huku wakijificha kwenye kivuli cha Single Mother.

Maana yake ni kwamba watu wanaokataa Ndoa ni watu wanaofanya uzinzi hili kukizi matamanio yao ya mwili.

Kubali Ndoa kataa Uzinzi.
Hawana nguvu za kiume ujue
 
Kukataa Ndoa maana yake, unakuwa mtu huru

Kubali Ndoa kataa Uzinzi.
Umeona unavyojichanganya?

Tatizo lako hutumii akili kujadili mambo yanayohitaji AKILI kubwa.

Huna hoja ya msingi kupinga au kutudhihaki sisi wakataa NDOA.

Si kila ambae anakataa NDOA ni Mzinzi.
Si kila aliye kwenye Ndoa ni mtakatifu.
 
Kumekuwa na Wimbi kubwa aina ya Tsunami ambalo limekuwa likijinadi kuhusu kukataa Ndoa, likitoa sababu mbalimbali za kujitetea.

Lakini mtu anayekataa Ndoa anakabili vipi hisia zake. Binadamu tumeumbwa na Sexual Desire (Matamanio ya kufanya ngono) for pleasure, yani kwa ajili ya kujiburudisha. Na hali hii ya matamanio ya ngono umkumba kila mtu, mpaka wazee.

Kukataa Ndoa maana yake, unakuwa mtu huru, ukiwa mtu huru na ukapatwa na sexual desire, matamanio ya kufanya Ngono maana yake unayaondoa vipi hayo matamanio...

Njia ambazo hutumika kuondoa sexual desire Moja ni kujichua na nyingine ni kufanya mapenzi na watu tofauti tofauti, kama ni mwanaume atakuwa anatafuta wadada wa one night stand (Penzi la usiku mmoja) mfano malaya au wanawake watakao kuwa rahisi. Na kama ni Mwanamke basi atajirahishisha kwa mwanaume hili aweze kukizi haja zake. Na wanawake aina hii wengi wanatumia neno "Kudanga" kama kichaka cha kuondoa hamu ya tendo la ndoa, na wengi wao uchepuka na waume za watu, huku wakijificha kwenye kivuli cha Single Mother.

Maana yake ni kwamba watu wanaokataa Ndoa ni watu wanaofanya uzinzi hili kukizi matamanio yao ya mwili.

Kubali Ndoa kataa Uzinzi.
Ndoa iko replaced na feminism.

Ndoa ni uwanja mapambano, ni uwanja wa mapigano, ni uwanja wa mafarakano, ni uwanja wa ngumi, mateke, kuchomana visu, kuchinjana, kujinyonga na kunyongana na ni uwanja wa vita kali sana ya Maneno, vita ya kiuchumi, vita ya kisaikolojia nakadhalika nakadhalika, nakadhalika........

Ni mwendo wa kuchunguzana strengths and weakness phisically, mentally, economically, socially and politically na baada ya hapo assembling of weapons na mashambulizi kuanza mara moja......
 
Huelewi hata maana ya uzinzi.

Kusex na wanawake wengi ndio "Uzinzi" ukisha sex na mwanamke zaidi ya mmoja wewe tayari ni mzinzi, Haijalishi uko single au kwenye ndoa.

Wanandoa wengi ndio wazinzi kupindukia.

Hakuna uhusiano wowote wa kukataa ndoa na Uzinzi.

Wanandoa wachepukaji na wao ni kundi hilo hilo la wazinzi.

KATAA NDOA.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Umeona unavyojichanganya?

Tatizo lako hutumii akili kujadili mambo yanayohitaji AKILI kubwa.

Huna hoja ya msingi kupinga au kutudhihaki sisi wakataa NDOA.

Si kila ambae anakataa NDOA ni Mzinzi.
Si kila aliye kwenye Ndoa ni mtakatifu.
Wanandoa wengi ndio wazinzi kupindukia.

Ni wachepukaji na wagawaji tigo kabisa.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Kumekuwa na Wimbi kubwa aina ya Tsunami ambalo limekuwa likijinadi kuhusu kukataa Ndoa, likitoa sababu mbalimbali za kujitetea.

Lakini mtu anayekataa Ndoa anakabili vipi hisia zake. Binadamu tumeumbwa na Sexual Desire (Matamanio ya kufanya ngono) for pleasure, yani kwa ajili ya kujiburudisha. Na hali hii ya matamanio ya ngono umkumba kila mtu, mpaka wazee.

Kukataa Ndoa maana yake, unakuwa mtu huru, ukiwa mtu huru na ukapatwa na sexual desire, matamanio ya kufanya Ngono maana yake unayaondoa vipi hayo matamanio...

Njia ambazo hutumika kuondoa sexual desire Moja ni kujichua na nyingine ni kufanya mapenzi na watu tofauti tofauti, kama ni mwanaume atakuwa anatafuta wadada wa one night stand (Penzi la usiku mmoja) mfano malaya au wanawake watakao kuwa rahisi. Na kama ni Mwanamke basi atajirahishisha kwa mwanaume hili aweze kukizi haja zake. Na wanawake aina hii wengi wanatumia neno "Kudanga" kama kichaka cha kuondoa hamu ya tendo la ndoa, na wengi wao uchepuka na waume za watu, huku wakijificha kwenye kivuli cha Single Mother.

Maana yake ni kwamba watu wanaokataa Ndoa ni watu wanaofanya uzinzi hili kukizi matamanio yao ya mwili.

Kubali Ndoa kataa Uzinzi.
sio kwamba wa2 wanakataa ndoa!!!,tatizo ni kwamba ndoa ni changamoto kubwa ndugu yangu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! angalia majirani zako,angalia marafiki zako angalia ndugu zako,,,je?? ndoa zao ziko salama??? na kama ziko salama je??? zina amani!!!.............................................nakwambia usishangae MUNGU akaleta agano jingine kuhusiana na ndoa!!!
 
napotosha nini wakati hali halisi inaonekana? Kajaribu kuoa mtoto ambaye amelelewa na mama tu uone matokeo yake. Usichanganye wale wamama wajane, kaoe mtoto wa single mother star ndio utajua dunia ilivyo. Unabisha nini, au nawe upo single mother/umelelewa na mama tu?
Hivi Yesu alikuwa mtoto wa Single mother ?
 
sio kwamba wa2 wanakataa ndoa!!!,tatizo ni kwamba ndoa ni changamoto kubwa ndugu yangu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! angalia majirani zako,angalia marafiki zako angalia ndugu zako,,,je?? ndoa zao ziko salama??? na kama ziko salama je??? zina amani!!!.............................................nakwambia usishangae MUNGU akaleta agano jingine kuhusiana na ndoa!!!
Kubwa single haimaanishi una furaha, uko salama, na kadharika... Upweke upelekea usongo wa mawazo
 
Wanakataa sheria za sasa za ndoa(feminists laws) siyo ndoa, Sheria zinazoenda kinyume na maelekezo ya Dini na mila na desturi zetu. Sheria zinazompendelea mwanamke na kumgandamiza mwanaume , mtu anaona kuliko afe kwa stress bora awe single, kama ngono atanunua tu hata kwa wake za watu, maana sheria zipo kuwa ukahaba (prostitution) ni kosa la jinai lakini hawakamatwi na wanajigamba WANADANGA, ukioa mali ulizozichuma kwa jasho zitapotea kirahisi mke akienda kudai talaka mahakamani. Tatizo ni SHERIA za sasa ni za kumpendelea mwanamke tu.
 
Nani alikuambia mtu aliye amua kuwa single ana upweke unamsumbua ?
Ndoa inatoa Emotional Support... Wewe ukipata shida kuna mambo uwezi kumshirikisha rafiki, au ndugu.... Utataka umshirikishe mtu wa karibu kabisa ambaye ni mwenza... Ukiwa hauna mwenza unakufa kibudu
 
Back
Top Bottom