Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
Sasa ulishindwa nini kujibu hivyo toka mwanzo?Swali lako ni YESU alikuwa mzinzi? Nikakuuliza tafsiri ya uzinzi ukasema kufanya ngono na wanawake wengi nikakuuliza kama YESU alifanya na wanawake wengi ukasema hakuna aliofanya nao hivyo jibu ni HAKUWA MZINZI. Sasa kama na wewe una sifa za YESU hata usipooa sawa.
Unafikiri ningefahamu vipi habari za Paulo na Yesu kama siifahamu Biblia ?Unaamini Biblia?
Sikushindwa ni maamuzi tu.Sasa ulishindwa nini kujibu hivyo toka mwanzo?
Turudi kwenye swali langu.
Kiufupi hatukatai ndoa ila tunakataa yaliyomo ndani ya ndoa ambayo yameondoa dhana nzima ya ndoaKumekuwa na Wimbi kubwa aina ya Tsunami ambalo limekuwa likijinadi kuhusu kukataa Ndoa, likitoa sababu mbalimbali za kujitetea.
Lakini mtu anayekataa Ndoa anakabili vipi hisia zake. Binadamu tumeumbwa na Sexual Desire (Matamanio ya kufanya ngono) for pleasure, yani kwa ajili ya kujiburudisha. Na hali hii ya matamanio ya ngono umkumba kila mtu, mpaka wazee.
Kukataa Ndoa maana yake, unakuwa mtu huru, ukiwa mtu huru na ukapatwa na sexual desire, matamanio ya kufanya Ngono maana yake unayaondoa vipi hayo matamanio...
Njia ambazo hutumika kuondoa sexual desire Moja ni kujichua na nyingine ni kufanya mapenzi na watu tofauti tofauti, kama ni mwanaume atakuwa anatafuta wadada wa one night stand (Penzi la usiku mmoja) mfano malaya au wanawake watakao kuwa rahisi. Na kama ni Mwanamke basi atajirahishisha kwa mwanaume hili aweze kukizi haja zake. Na wanawake aina hii wengi wanatumia neno "Kudanga" kama kichaka cha kuondoa hamu ya tendo la ndoa, na wengi wao uchepuka na waume za watu, huku wakijificha kwenye kivuli cha Single Mother.
Maana yake ni kwamba watu wanaokataa Ndoa ni watu wanaofanya uzinzi hili kukizi matamanio yao ya mwili.
Kubali Ndoa kataa Uzinzi.
napotosha nini wakati hali halisi inaonekana? Kajaribu kuoa mtoto ambaye amelelewa na mama tu uone matokeo yake. Usichanganye wale wamama wajane, kaoe mtoto wa single mother star ndio utajua dunia ilivyo. Unabisha nini, au nawe upo single mother/umelelewa na mama tu?Sio kweli bwana acha kupotosha
Hawana nguvu za kiume ujueKumekuwa na Wimbi kubwa aina ya Tsunami ambalo limekuwa likijinadi kuhusu kukataa Ndoa, likitoa sababu mbalimbali za kujitetea.
Lakini mtu anayekataa Ndoa anakabili vipi hisia zake. Binadamu tumeumbwa na Sexual Desire (Matamanio ya kufanya ngono) for pleasure, yani kwa ajili ya kujiburudisha. Na hali hii ya matamanio ya ngono umkumba kila mtu, mpaka wazee.
Kukataa Ndoa maana yake, unakuwa mtu huru, ukiwa mtu huru na ukapatwa na sexual desire, matamanio ya kufanya Ngono maana yake unayaondoa vipi hayo matamanio...
Njia ambazo hutumika kuondoa sexual desire Moja ni kujichua na nyingine ni kufanya mapenzi na watu tofauti tofauti, kama ni mwanaume atakuwa anatafuta wadada wa one night stand (Penzi la usiku mmoja) mfano malaya au wanawake watakao kuwa rahisi. Na kama ni Mwanamke basi atajirahishisha kwa mwanaume hili aweze kukizi haja zake. Na wanawake aina hii wengi wanatumia neno "Kudanga" kama kichaka cha kuondoa hamu ya tendo la ndoa, na wengi wao uchepuka na waume za watu, huku wakijificha kwenye kivuli cha Single Mother.
Maana yake ni kwamba watu wanaokataa Ndoa ni watu wanaofanya uzinzi hili kukizi matamanio yao ya mwili.
Kubali Ndoa kataa Uzinzi.
Umeona unavyojichanganya?Kukataa Ndoa maana yake, unakuwa mtu huru
Kubali Ndoa kataa Uzinzi.
Ndoa iko replaced na feminism.Kumekuwa na Wimbi kubwa aina ya Tsunami ambalo limekuwa likijinadi kuhusu kukataa Ndoa, likitoa sababu mbalimbali za kujitetea.
Lakini mtu anayekataa Ndoa anakabili vipi hisia zake. Binadamu tumeumbwa na Sexual Desire (Matamanio ya kufanya ngono) for pleasure, yani kwa ajili ya kujiburudisha. Na hali hii ya matamanio ya ngono umkumba kila mtu, mpaka wazee.
Kukataa Ndoa maana yake, unakuwa mtu huru, ukiwa mtu huru na ukapatwa na sexual desire, matamanio ya kufanya Ngono maana yake unayaondoa vipi hayo matamanio...
Njia ambazo hutumika kuondoa sexual desire Moja ni kujichua na nyingine ni kufanya mapenzi na watu tofauti tofauti, kama ni mwanaume atakuwa anatafuta wadada wa one night stand (Penzi la usiku mmoja) mfano malaya au wanawake watakao kuwa rahisi. Na kama ni Mwanamke basi atajirahishisha kwa mwanaume hili aweze kukizi haja zake. Na wanawake aina hii wengi wanatumia neno "Kudanga" kama kichaka cha kuondoa hamu ya tendo la ndoa, na wengi wao uchepuka na waume za watu, huku wakijificha kwenye kivuli cha Single Mother.
Maana yake ni kwamba watu wanaokataa Ndoa ni watu wanaofanya uzinzi hili kukizi matamanio yao ya mwili.
Kubali Ndoa kataa Uzinzi.
Wanandoa wengi ndio wazinzi kupindukia.Umeona unavyojichanganya?
Tatizo lako hutumii akili kujadili mambo yanayohitaji AKILI kubwa.
Huna hoja ya msingi kupinga au kutudhihaki sisi wakataa NDOA.
Si kila ambae anakataa NDOA ni Mzinzi.
Si kila aliye kwenye Ndoa ni mtakatifu.
Upo sahihi.. last time nimekula Mwanandoa.. yaan juz juz hapo.Wanandoa wengi ndio wazinzi kupindukia.
Ni wachepukaji na wagawaji tigo kabisa.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
sio kwamba wa2 wanakataa ndoa!!!,tatizo ni kwamba ndoa ni changamoto kubwa ndugu yangu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! angalia majirani zako,angalia marafiki zako angalia ndugu zako,,,je?? ndoa zao ziko salama??? na kama ziko salama je??? zina amani!!!.............................................nakwambia usishangae MUNGU akaleta agano jingine kuhusiana na ndoa!!!Kumekuwa na Wimbi kubwa aina ya Tsunami ambalo limekuwa likijinadi kuhusu kukataa Ndoa, likitoa sababu mbalimbali za kujitetea.
Lakini mtu anayekataa Ndoa anakabili vipi hisia zake. Binadamu tumeumbwa na Sexual Desire (Matamanio ya kufanya ngono) for pleasure, yani kwa ajili ya kujiburudisha. Na hali hii ya matamanio ya ngono umkumba kila mtu, mpaka wazee.
Kukataa Ndoa maana yake, unakuwa mtu huru, ukiwa mtu huru na ukapatwa na sexual desire, matamanio ya kufanya Ngono maana yake unayaondoa vipi hayo matamanio...
Njia ambazo hutumika kuondoa sexual desire Moja ni kujichua na nyingine ni kufanya mapenzi na watu tofauti tofauti, kama ni mwanaume atakuwa anatafuta wadada wa one night stand (Penzi la usiku mmoja) mfano malaya au wanawake watakao kuwa rahisi. Na kama ni Mwanamke basi atajirahishisha kwa mwanaume hili aweze kukizi haja zake. Na wanawake aina hii wengi wanatumia neno "Kudanga" kama kichaka cha kuondoa hamu ya tendo la ndoa, na wengi wao uchepuka na waume za watu, huku wakijificha kwenye kivuli cha Single Mother.
Maana yake ni kwamba watu wanaokataa Ndoa ni watu wanaofanya uzinzi hili kukizi matamanio yao ya mwili.
Kubali Ndoa kataa Uzinzi.
Hivi Yesu alikuwa mtoto wa Single mother ?napotosha nini wakati hali halisi inaonekana? Kajaribu kuoa mtoto ambaye amelelewa na mama tu uone matokeo yake. Usichanganye wale wamama wajane, kaoe mtoto wa single mother star ndio utajua dunia ilivyo. Unabisha nini, au nawe upo single mother/umelelewa na mama tu?
Kubwa single haimaanishi una furaha, uko salama, na kadharika... Upweke upelekea usongo wa mawazosio kwamba wa2 wanakataa ndoa!!!,tatizo ni kwamba ndoa ni changamoto kubwa ndugu yangu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! angalia majirani zako,angalia marafiki zako angalia ndugu zako,,,je?? ndoa zao ziko salama??? na kama ziko salama je??? zina amani!!!.............................................nakwambia usishangae MUNGU akaleta agano jingine kuhusiana na ndoa!!!
Nani alikuambia mtu aliye amua kuwa single ana upweke unamsumbua ?Kubwa single haimaanishi una furaha, uko salama, na kadharika... Upweke upelekea usongo wa mawazo
Ndoa inatoa Emotional Support... Wewe ukipata shida kuna mambo uwezi kumshirikisha rafiki, au ndugu.... Utataka umshirikishe mtu wa karibu kabisa ambaye ni mwenza... Ukiwa hauna mwenza unakufa kibuduNani alikuambia mtu aliye amua kuwa single ana upweke unamsumbua ?