Hujaelewa maana ya live your own life,mtu akisema namiliki SGR au ATCL niNini maana ya live your life???!!! Sasa mbona we you are not living your life...
Mtu akifake, akisema ni bilionea, anamiliki treni we unaumia nini??
Childish!!
Hahaha kama yule Sir jeff kawala sana wadada wa humu yaani ni uncountable baada ya utapeli akachoropokea twitter kule π€£π€£π€£Wale Jamaa wa Forex walijipanga Sana Una kuta mtu 1 ana id 7 za jf πππ
Kiranja wao akianzisha Uzi wote wanakuja kumsapoti ole wako uwapinge utashambuliwa mpaka ukome πππ€£
Tulikuwa tuna wapinga kuwa ni scammers Tukawa tunaonekana kuwa tunawaonea wivu wa kimaendeleo na hatutaki wengine watoboe π€£π€£π€£π€£
Guess what!!! Kilichokuja kutokea ni kilio kizito Kwa wanachuo na Kwa jf members watu walilia sana
Walikuwa wanakulana pia hiyo ni wazi ila Mshana kwa humu apewe maua yake yy ni king Solomon wa JF aseee ποΈποΈποΈWalikuwa Wana bebishana humu sijui nje ya humu ilikuwaje
Mzee hakuna hata ka link ka huo uzi, utufukulie kaburi?Mbitiyaza naujanja wote kumbe alikuwa ana vuliwa pichu na katoto ka 99 walikuwa Wana tumiana photo nudes huko DM ππππππ
Basi bwana sindio ikatokea wakagombana kubabake ulianzishwa Uzi huo umejaa picha za mbitiyaza za utupu palikuwa hapatoshi mamaeee π€£π€£π€£π€£
Watu hatukulala siku Ile Tangu siku hiyo mbitiyaza Akaanza kutoweka if mamaeee dahhh ilikuwa aibu kubwa Sana
Bad enough wakati ule Uzi unaanza mashoga zake wote walikuwa upande wake Ila baada ya zile picture kuvuja hata wale waliokuwa Wana mtetea wakaanza kukaa kando ,
Kilicho mmaliza ni kwamba alikuwa anajipa standard kumbe anavuliwa pichu na kitoto πππππππ
Acha kuwa bize na maisha ya watu bro, kuwa bize na maisha yako.....byeHujaelewa maana ya live your own life,mtu akisema namiliki SGR au ATCL ni
direct unajua huu ni utani,fake life na mfano wako wala havina uhusiano!
Ndo yyKwani Lara Ndiye mange !? Hamna bwana
SioNdo yy
Ulipigwa banMzee hakuna hata ka link ka huo uzi, utufukulie kaburi?
Uandishi wake na mikato yake ni kama mangeNdo yy
The Loyalty King tag I'd mkuuYupi huyo πππππ
Ulifutwa au ulifungwa?Ulipigwa ban
I think ulifutwa kabisa kama sio kupigwa ban ni muda mrefu sasa Hayo ni matukio ya 2018 to 2019Ulifutwa au ulifungwa?
HahahaAseee na watu walizitafuna kweli mbususu za jf.......watu waliona hawatosheki wakafungua na ma group ya whatsap ili wapate na namba kirahisi.....ndo maana kwa sasa id nyingi kongwe hasa kwa wadada zimepotea
Uzi ulifutwa hataka sana,na yule dogo aliyepost zile picha za dudes alipigwa life BanMzee hakuna hata ka link ka huo uzi, utufukulie kaburi?
Yuko na I'd nyingine I'm sureUzi ulipigwa Ban,na yule dogo aliyepost zile picha za dudes alipigwa life Ban
Walikuwa wanakulana pia hiyo ni wazi ila Mshana kwa humu apewe maua yake yy ni king Solomon wa JF aseee ποΈποΈποΈ
Ndo yy
The Loyalty King tag I'd mkuu
ππ Nilijua tu hili fekero sio la kheri kabisa. Hope urassa muone crush wako alivyo mmbea. Kumbe tungefedheheka manka.π€£ππYuko na I'd nyingine I'm sure
Masai upo ndugu yangu ?Mkuu upo well informed... eeeh endelea kutuhabarisha basi.
Popoma la mapopoma , shikamoo.Baada ya Wewe 'Kunipanulia' nikaachana nae.