The Loyalty King
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 1,298
- 2,124
ππππ Acha tu- review matukio yaliyopitaIla wanaume mmekuja kuwa wambea jamani khaaaaaa........π
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππ Acha tu- review matukio yaliyopitaIla wanaume mmekuja kuwa wambea jamani khaaaaaa........π
Halafu ndo nini sasa? πππππ Acha tu- review matukio yaliyopita
ππIla wanaume mmekuja kuwa wambea jamani khaaaaaa........π
NancyJf ya kpnd hiki na miaka kurudi nyuma hadi 2012 ndo ilikua jf, nakumbuka hata admin wa rahatupu blog alikuaga na account humu, mdada fln hv nmesahau jina lake. Kulikua kuna utofauti kati ya wakubwa na wadogo, sikuhizi wote ni humohumo
Kipi my πKuna kitu kinaweza kuja hapa
Bonde la uvuli wa fedhea.Kipi my π
Nimekumis myπBonde la uvuli wa fedhea.
Comrade hebu taratibu aloohEnzi hiyo kuna watu walikuwa wanajiona kama JF ni mali yao na huwezi kuwaambia kitu yani. Huyo dada ni mmoja wapo pamoja na mishangazi mingine ambayo imesharudisha mpira kwa kipa na mingine imebadili ID ilikuwa ikiishi kwa kuuza mbususu kwa makanjanja wa humu.
Moment of happiness πHalafu ndo nini sasa? π
Tulia kijanaNani huyo ππ
Oya wewe mnafki sanaπIla wanaume mmekuja kuwa wambea jamani khaaaaaa........π
Nmefanyaje bro!Oya wewe mnafki sanaπ
PmNmefanyaje bro!
Uje unimwagie umbea au sio.....nakuja π
Andaa kikombe Cha kahawa majira ya saa nane na dk 17 mchanaNimekumis myπ
Kuumbwa mbaya sio kosa ni muumbaji mwenyewe ndo aliamua iwe hivyo.Alikuwa anajifanya slay queen Sana akawa ana jipa standard kumbe bwana ni demu wa kawaida Sana πππ€£
Vijana wa hovyo sindio wakaja kupost picha yake πππππ
Kapiga picha akiwa sijui ziwani kavaa saa ya 5k halafu ni mbaya mbaya daahh palikuwa hapatoshi siku hiyo humu ndani
mmmh ndo mambo yalifika huku?!! DuuuhMbitiyaza naujanja wote kumbe alikuwa ana vuliwa pichu na katoto ka 99 walikuwa Wana tumiana photo nudes huko DM ππππππ
Basi bwana sindio ikatokea wakagombana kubabake ulianzishwa Uzi huo umejaa picha za mbitiyaza za utupu palikuwa hapatoshi mamaeee π€£π€£π€£π€£
Watu hatukulala siku Ile Tangu siku hiyo mbitiyaza Akaanza kutoweka if mamaeee dahhh ilikuwa aibu kubwa Sana
Bad enough wakati ule Uzi unaanza mashoga zake wote walikuwa upande wake Ila baada ya zile picture kuvuja hata wale waliokuwa Wana mtetea wakaanza kukaa kando ,
Kilicho mmaliza ni kwamba alikuwa anajipa standard kumbe anavuliwa pichu na kitoto πππππππ
Ilikuwa hapatoshi humummmh ndo mambo yalifika huku?!! Duuuh