Mnakumbuka ya Yanga na Al Hilal Kule Sudan? Kwahiyo Msisifie Mpira Mzuri

Mnakumbuka ya Yanga na Al Hilal Kule Sudan? Kwahiyo Msisifie Mpira Mzuri

THE FIRST BORN

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2019
Posts
2,224
Reaction score
4,472
Siku za Hivi karibuni mpira umekua Ushindi sio kusema umecheza Vizuri.
Na Mwasisi wa Mbinu hii ni Jose Mourinho alionekanaga mhuni mwanzoni ila baadae ameanza kueleweka yeye atakuacha ucheze Mpira ila hesabu zake mara zote zipo kwenye kikombe au point 3 na huo ndio mpira wa sasa.
Mwaka Jana Yanga Dhidi ya Al Hilal kule Sudan alicheza Mpira Mwingi ila kilichomkuta Mwisho dakika 90 kafa 1.

Leo nashangaa mashabiki wa soka la Bongo wanasema Simba Kacheza Mpira Mwingi sana na wanasifia wamesahau Mpira Mahesabu Jion umeingiza kiasi gani.

Unashangalia unasema utamfunga kwa Mkapa unayajua ya Kesho mwenzako hapo tayar anapoint 3 tena kutoka kwako.

Tujifunze kuheshimu wapinzani na tunapofanya mahesabu vibaya tukubali Simba mahesabu yake leo kachoma.

NOTE:Yanga Na Nyie zamu yenu kesho njooni na Ngojera sasa za Tumecheza Vizur sijui Nyenye kinachotakiwa ni ushindi tu.
 
Yanga kesho tuna kazi ngumu, Hii timu iko vizuri na kwenye ligi Yao wanafanya vizuri. Wakati tunawaombea wachezaji wetu Dua washinde na wao wanatakiwa wapambane kwelikweli.
Ili uwe Bora unatakiwa kuwashinda walio Bora.
 
Naona utopolo mnakenua magego yote yenye mboga mboga za majani mmesahau kesho....!

Tunzeni maneno, mko kwenye nchi ambayo mliwatoa Club Africain, wanaweza kuungana kuhakikisha utopolo anachakazwa kama mwizi.

Hii ni ligi, judge the final results, who gonna make to the quarter finals in CAFCL and CAFCC
 
Ila simba kacheza na timu mbovu kabisa kwenye kundi lake, chaajabu kashindwa hata kuzuia sare.
Alafu sijui kwanini Simba anakua na bahati ya kupangwa na wabavu mara kwa mara!
 
Naona utopolo mnakenua magego yote yenye mboga mboga za majani mmesahau kesho....!

Tunzeni maneno, mko kwenye nchi ambayo mliwatoa Club Africain, wanaweza kuungana kuhakikisha utopolo anachakazwa kama mwizi.

Hii ni ligi, judge the final results, who gonna make to the quarter finals in CAFCL and CAFCC
Jamaa una roho ngumu wewe!
Hauja lala tu?
Unaizungumzia kesho ambayo haijafika!..... tuzungumzie ya leo, ambayo Mbumbumbu kapakuliwa.
 
Siku za Hivi karibuni mpira umekua Ushindi sio kusema umecheza Vizuri.
Na Mwasisi wa Mbinu hii ni Jose Mourinho alionekanaga mhuni mwanzoni ila baadae ameanza kueleweka yeye atakuacha ucheze Mpira ila hesabu zake mara zote zipo kwenye kikombe au point 3 na huo ndio mpira wa sasa.
Mwaka Jana Yanga Dhidi ya Al Hilal kule Sudan alicheza Mpira Mwingi ila kilichomkuta Mwisho dakika 90 kafa 1.

Leo nashangaa mashabiki wa soka la Bongo wanasema Simba Kacheza Mpira Mwingi sana na wanasifia wamesahau Mpira Mahesabu Jion umeingiza kiasi gani.

Unashangalia unasema utamfunga kwa Mkapa unayajua ya Kesho mwenzako hapo tayar anapoint 3 tena kutoka kwako.

Tujifunze kuheshimu wapinzani na tunapofanya mahesabu vibaya tukubali Simba mahesabu yake leo kachoma.

NOTE:Yanga Na Nyie zamu yenu kesho njooni na Ngojera sasa za Tumecheza Vizur sijui Nyenye kinachotakiwa ni ushindi tu.
Simba SC tumepiga mpira mwingi sanaaa Africa imeona shoo yetu
 
Ila simba kacheza na timu mbovu kabisa kwenye kundi lake, chaajabu kashindwa hata kuzuia sare.
Alafu sijui kwanini Simba anakua na bahati ya kupangwa na wabavu mara kwa mara!
Utaiona mbovu ila utashangaa inafanya vizuri.
 
Naona utopolo mnakenua magego yote yenye mboga mboga za majani mmesahau kesho....!

Tunzeni maneno, mko kwenye nchi ambayo mliwatoa Club Africain, wanaweza kuungana kuhakikisha utopolo anachakazwa kama mwizi.

Hii ni ligi, judge the final results, who gonna make to the quarter finals in CAFCL and CAFCC
Na ndio hivo huwez kufanya mahesabu mwishon na ukategemea kupata faida kama umefanya vibaya mwanzo. Simba leo alitakiwa kulinda kwa namna yoyote ile
 
Yanga kesho tuna kazi ngumu, Hii timu iko vizuri na kwenye ligi Yao wanafanya vizuri. Wakati tunawaombea wachezaji wetu Dua washinde na wao wanatakiwa wapambane kwelikweli.
Ili uwe Bora unatakiwa kuwashinda walio Bora.
Kesho hakuna mpira mzuri kesho either yanga ashinde au apate Droo hakuna cha mpira mzuri.
 
Yanga kesho tuna kazi ngumu, Hii timu iko vizuri na kwenye ligi Yao wanafanya vizuri. Wakati tunawaombea wachezaji wetu Dua washinde na wao wanatakiwa wapambane kwelikweli.
Ili uwe Bora unatakiwa kuwashinda walio Bora.
Hamna cha ubora hapo wote malosers
 
Back
Top Bottom