THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 2,224
- 4,472
- Thread starter
- #21
Kila mtu ashinde match zake😂Vipers wabovu ila walimpiga chura teke pale kwa mkapa akatua bwawani kwake jangwani 😆 😆 😆 😆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila mtu ashinde match zake😂Vipers wabovu ila walimpiga chura teke pale kwa mkapa akatua bwawani kwake jangwani 😆 😆 😆 😆
Ndo kilichobakia mtaniKila mtu ashinde match zake😂
Yangaa nao je?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Makolo wamelala saa iz
Na wakabondwa kweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naona utopolo mnakenua magego yote yenye mboga mboga za majani mmesahau kesho....!
Tunzeni maneno, mko kwenye nchi ambayo mliwatoa Club Africain, wanaweza kuungana kuhakikisha utopolo anachakazwa kama mwizi.
Hii ni ligi, judge the final results, who gonna make to the quarter finals in CAFCL and CAFCC
Nyie pia mmefirikaaaa vya kutoshaaa, mkapewa na bao LA nyongeza kufikishwa kileleni.Jamaa una roho ngumu wewe!
Hauja lala tu?
Unaizungumzia kesho ambayo haijafika!..... tuzungumzie ya leo, ambayo Mbumbumbu kapakuliwa.