Mnakumbuka ya Yanga na Al Hilal Kule Sudan? Kwahiyo Msisifie Mpira Mzuri

Na wakabondwa kweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jamaa una roho ngumu wewe!
Hauja lala tu?
Unaizungumzia kesho ambayo haijafika!..... tuzungumzie ya leo, ambayo Mbumbumbu kapakuliwa.
Nyie pia mmefirikaaaa vya kutoshaaa, mkapewa na bao LA nyongeza kufikishwa kileleni.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…