yellow java
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 1,228
- 2,234
Nipe majina yako matatu na Majina ya mama yako , pia nitaomba nikuone mwonekano wako .Katika miaka niliyo nayo mpaka sasa sijawahi kukubali kuwa eti kuna uchawi sijui mtu anaweza kuloga sijiui mambo yako yasiende.
Kama kweli uchawi upo kwanini hao wachawi wasiende benki wakaloga wakachukua pesa.
Kama kuna mtu humu ndani alishawahi kulogwa njoo utupe mrejesho ilikuwaje.
Pia, kama kuna mtu anajiamini anaweza kuniloga njoo uniloge we taja unachotaka kutoka kwangu nitakupa we niloge kama kweli unawezaππ
Mwisho hakuna uchawi ni dhana za kufikilika tu.
Wewe una akili kuliko mtume paulo aliyemkemea mchawi hadharani?
Au wewe una akili kuliko Musa aliyepambana na wachawi mbele ya Farao? Au wewe una akili kuliko Darius mfalme wa Babeli aliyekua akiwatumia waganga na wachawi kuwapumbaza wengine ili aendelee kutawala au wewe una akili kuliko Wafalme wa ulaya walioamua kuagiza wachawi wote kwenye tawala zao wakamatwe na kuuawa (season of witch)
Ungejua hao wanaokutawala au watu Maarufu unaowasifia mitandaoni wanatumia nini usingeandika uzi kama huu.
Acheni kuwapumbaza wengine ili muwatese wasitafute solution ya matatizo yao
UCHAWI UPO.
Nipe majina yako matatu na Majina ya mama yako , pia nitaomba nikuone mwonekano wako .
Huna SPIRITUAL POTENTIAL.Nishaenda nikawapa 1m hadi Leo nadunda tu.
Matatizo ni sehemu ya maisha .tatizo linakuja ulipo
View attachment 3038211
Hakuna hoja yeyote uliyoandika hapa.Huwezi kujifanya mzungu wakati ni mweusi huu ndio upumbavu wa kuabudu elimu za kuletwa na wazungu ..
Katika miaka niliyo nayo mpaka sasa sijawahi kukubali kuwa eti kuna uchawi sijui mtu anaweza kuloga sijiui mambo yako yasiende.
Kama kweli uchawi upo kwanini hao wachawi wasiende benki wakaloga wakachukua pesa.
Kama kuna mtu humu ndani alishawahi kulogwa njoo utupe mrejesho ilikuwaje.
Pia, kama kuna mtu anajiamini anaweza kuniloga njoo uniloge we taja unachotaka kutoka kwangu nitakupa we niloge kama kweli unaweza[emoji23][emoji23]
Mwisho hakuna uchawi ni dhana za kufikilika tu.
maisha hayana matatizo ila wenye matatizo ni wanadamuMatatizo ni sehemu ya maisha .
Suremaisha hayana matatizo ila wenye matatizo ni wanadamu
Uchawi upo au haupo??sijawahi kukubali kuwa eti kuna uchawi
Joshua alisimamisha jua je ni kweli jua linazunguka mpka lisimamishwe?Biblia haiwezi kuandika kitu ambacho hakipo.
Vitabu vya dini vimetaja uchawi mara nyingi sana
ππππ yaani kuniloga nitoe na hela yangu kudadekiMleta mada huo niutoto unaleta.
Kutokuamini kwamba kitu flani hakionekani sio conclusion kwamba kitu hicho hakipo.
Harafu hiyo nitafiti unafanya kama nitafiti weka muda wako namali pia kuhakikishia tafiti yako inapata majibu sahihi.
Kama unacho chakutoa sh: laki2 tafuta hapa mashahidi watatu unao waamini wachukue namba tuwe tunawasiliana harafu upigwe kitu uamke macho yamepigwa ukungu yasione kabisa chochote wewe sasa ndio uwe shahidi kwahao mashahidi wako3 wewe ulete uzi waushahidi humu,na wao walete uzi wa ushahidi humo.
Nasio kuleta habari zako za utoto unadhani nguvu hasi inasafilishwa tuu kirahis yani kama unavyo dhani wewe kwamba nilogeni sasa.
Kama upo tayari haswa kwatafiti yako hiyo chukua namba hapo kwenye picha ya wasifu kisha njoo WhatsApp ntakuambia unitumie details zako muhimu naufanye malipo yahiko kiasi vitu vikanunuliwe uone kama wiki itaisha bila kufaulu mtihani wako.
Rudi kweny Uafrica elimu ya kuletwa tu na majahaziHakuna hoja yeyote uliyoandika hapa.
Kinachokudrive wewe, na hilo li avatar lako la Ayatola wa Iran ni chuki tu dhidi ya wazungu.
Kuna tija gani wewe kujifanya muarabu wakati ni mbongo tu, kwa nini unaabudu elimu za waarabu na dini zao hizo?