Mnaobabaika na wanawake wa Kitutsi kuna kitu hamkijui, wale sio wife material

Status
Not open for further replies.
Kwa Tanzania pia wanawake wa kihaya wanaongoza kwa kutohimili kitandani kwa muda mrefu wanawahi kumwaga kimoja tu hoi choka mbaya hataki tena na wanawahi pia kuzeeka haraka tofauti na wanaume wa kihaya

Mwanamke wa kihaya anakuwa na umbo zuri sana akiwa kijana likiouno hilo lakuchumpa

Akifika 40 tu hoi kiuno utafikiri kapigwa pasi na nyege hana kwa mjibu wa mhaya mmoja niliongea naye

Viuno hubadilika ghafla vinapooza utafikiri wamepigwa rungu vibonyee

Akasema ndio maana talaka nyingi kagera kwa waaume kuzeeka wagumu wanawake wanawahi kuzeeka
 
🤣🤣🤣wabongo mna maneno!"kitako flani mchecheto"yaani nimekipatia picha
 
Noma...😄🤔
 
Ladha ya chakula inategemeana na ulimi wa mlaji wakati mwingine sasa unakuta mtu ulimi una vipele unadhani chakula kitakuwaje km sio kichungu ndo mtoa mada na wenzie sasa,
Hahaha.............nisije kuandika vingi hapa Vijana wakasema nami nimekuwa Mzee wa hovyo bure 😜

Kumbe mwenzao naandika mambo ya Mwaka 47 🤗
 
Ladha ya chakula inategemeana na ulimi wa mlaji wakati mwingine sasa unakuta mtu ulimi una vipele unadhani chakula kitakuwaje km sio kichungu ndo mtoa mada na wenzie sasa,
Hahaha.............nisije kuandika vingi hapa Vijana wakasema nami nimekuwa Mzee wa hovyo bure 😜

Kumbe mwenzao naandika mambo ya Mwaka 47 🤗
 
Hahaha.............nisije kuandika vingi hapa Vijana wakasema nami nimekuwa Mzee wa hovyo bure 😜

Kumbe mwenzao naandika mambo ya Mwaka 47 🤗
We umekula chumvi nyingi elewa neno chumvi najua unajua,,, achana na vijana, asiejua maana haambiwi maana
 
Mkuu wewe andika kwa marefu ila hao mimi wote nimekaa nao unawapa sifa za bure tu.
Ni ujanja mwingi mbele kiza.
Kama ubunifu wanawake wa kaskazini wabunifu sana tu.
Kama akili za darasani wanawake wa kanda ya ziwa hususan wasukuma na wanawake wa kaskazini wana akili vizuri tu.
Kama uchapakazi huwezi ukamfananisha mwanamke wa kinyarwanda na msukuma NEVER.

Wanyarwanda wako overrated kama rais wao Paul Kagame alivyo overrated.
 
Vijana wajinga wa JF, wanataka wife material huku hawana hela, ukiwa na hela kila mwanamke ni wife material
Thubutu yakooo tema mate chini.
Huyo Bill gates na mmiliki wa Amazon wana pesa chafu mpaka wameingia katika list ya matajiri wa dunia ila wake zao wamewaacha.
Unamjua mwanamke wewe!?
Unalijua futa la mwantumu wewe!??
 
Hahaha.............nisije kuandika vingi hapa Vijana wakasema nami nimekuwa Mzee wa hovyo bure 😜

Kumbe mwenzao naandika mambo ya Mwaka 47 🤗
Mkuu muache dada aongee sijui vipele sijui nini but ukweli upo pale ps futa za baridi zipo na futa za kushenyenta joto wangu wangu zipo.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…