Mnaobabaika na wanawake wa Kitutsi kuna kitu hamkijui, wale sio wife material

Mnaobabaika na wanawake wa Kitutsi kuna kitu hamkijui, wale sio wife material

Status
Not open for further replies.
Kwa Tanzania pia wanawake wa kihaya wanaongoza kwa kutohimili kitandani kwa muda mrefu wanawahi kumwaga kimoja tu hoi choka mbaya hataki tena na wanawahi pia kuzeeka haraka tofauti na wanaume wa kihaya

Mwanamke wa kihaya anakuwa na umbo zuri sana akiwa kijana likiouno hilo lakuchumpa

Akifika 40 tu hoi kiuno utafikiri kapigwa pasi na nyege hana kwa mjibu wa mhaya mmoja niliongea naye

Viuno hubadilika ghafla vinapooza utafikiri wamepigwa rungu vibonyee

Akasema ndio maana talaka nyingi kagera kwa waaume kuzeeka wagumu wanawake wanawahi kuzeeka
 
Kuna mmoja nilisoma nae secondary,sema yeye alikua sio mrefu sana urefu wa kawaida mweupee sana tu ana kitako flani mchecheto hivi mtoto wa Vikindu.
Aisee kaka yake alikua ana vitz,na alikua akija shuleni akiletwa na hiyo vitz😂😂😂😂😂😂la mamaye kama ana BMW an Audi vile!!
Mbwembwe kibaaaaooooo.
Nilimuona fala alipoanza kuifananisha Kigali na Dar es salaam😂😂😂😂.
Sikumlaumu maana alikua mgeni ndio kwanza kahamia bongoland,nikakatembeza wilaya zote za Dar kakaishiwa mdomo wazi.
Nikajua yes kame surrender eti ooooh majengo yote haya lakini TZ maskini hela yenu ndogo kuliko ya Rwanda😂😂😂.
She didn't want peace she wanted problems.
Yafuatayo yalimfurahisha.
🤣🤣🤣wabongo mna maneno!"kitako flani mchecheto"yaani nimekipatia picha
 
😂😂😂Ubaridi unaozungumziwa hapa sio huo unaoujua wewe.
Hata wazungu ni weupe ila hakuna binadamu mweupe.
They normally look pink alike but we do recognize them as whites.
Na katika uke kuna wadada wana uke ambao hauna kale kaujoto kautam.
Yani ukiingiza kumepoa kama umeshikisha na mkono.
Hao wapo na tume experience sana wanawake hao sisi wanaume.
Niwie radhi kama nimetumia kauli ngumu.
Noma...😄🤔
 
Ladha ya chakula inategemeana na ulimi wa mlaji wakati mwingine sasa unakuta mtu ulimi una vipele unadhani chakula kitakuwaje km sio kichungu ndo mtoa mada na wenzie sasa,
Hahaha.............nisije kuandika vingi hapa Vijana wakasema nami nimekuwa Mzee wa hovyo bure 😜

Kumbe mwenzao naandika mambo ya Mwaka 47 🤗
 
Ladha ya chakula inategemeana na ulimi wa mlaji wakati mwingine sasa unakuta mtu ulimi una vipele unadhani chakula kitakuwaje km sio kichungu ndo mtoa mada na wenzie sasa,
Hahaha.............nisije kuandika vingi hapa Vijana wakasema nami nimekuwa Mzee wa hovyo bure 😜

Kumbe mwenzao naandika mambo ya Mwaka 47 🤗
 
Hahaha.............nisije kuandika vingi hapa Vijana wakasema nami nimekuwa Mzee wa hovyo bure 😜

Kumbe mwenzao naandika mambo ya Mwaka 47 🤗
We umekula chumvi nyingi elewa neno chumvi najua unajua,,, achana na vijana, asiejua maana haambiwi maana
 
Peleka darasani hao wanawake watatu mnyarwanda atawabwaga mbali au nenda ubunifu wa biashara na mawazo ya kusonga mbele kimaisha mwanamke wa kinyarwanda yuko vizuri mno

Sema kwenye kuoa ni kuwa makini wanawake wa kinyarwanda ukoo wa machifu huwa hawataki kuchanganya damu na watu wasio ukoo wa machifu wa kinyarwanda ukabila na uchifu unawasumbua mno hao usioe

Vizuri kufanya background check kama ukoo wa machifu Rwanda lazima azae na wa ukoo huo hata awe msukuma mkokoteni yeye bosi

Hapo ndipo kuna shida lakini wengine hawana shida unaoa anakua so royal na dedicated kwenye ndoa ukorofi na ujuaji zero hata akiwa na pesa na Elimu kukuzidi wanaheshimu sana ndoa na hawarukiruki pamoja na uzuri wao wakitongozwa kila kona hawasaliti ndoa ni wife material

Shida usije oa ukoo wa familia yeyote ya machifu au wafalme wa kinyarwanda wakati wewe sio sehemu ya kichifu au kifalme bila kujali wewe mnyarwanda au la lazima ile kwako watoto azae na ukoo wake wa kichifu au kifalme ndani ya ndoa

Utaishia tu kuwa baba mlezi

I'll vizuri kutulia hata ukijua watakutunza maisha yako yote na kukuheshimu usilete long-forgotten chukulia tu methali ya kitanda hakizai haramu hawana shida .Mtoto.atasoma jina lako na ndugu pamoja na kujua sirini kuwa mtoto si wako watakuheshimu mno karibu wakuabudu kwa kuwatunzia ndugu yao mke na mtoto

Huna hela watakusaidia nk
Mkuu wewe andika kwa marefu ila hao mimi wote nimekaa nao unawapa sifa za bure tu.
Ni ujanja mwingi mbele kiza.
Kama ubunifu wanawake wa kaskazini wabunifu sana tu.
Kama akili za darasani wanawake wa kanda ya ziwa hususan wasukuma na wanawake wa kaskazini wana akili vizuri tu.
Kama uchapakazi huwezi ukamfananisha mwanamke wa kinyarwanda na msukuma NEVER.

Wanyarwanda wako overrated kama rais wao Paul Kagame alivyo overrated.
 
Vijana wajinga wa JF, wanataka wife material huku hawana hela, ukiwa na hela kila mwanamke ni wife material
Thubutu yakooo tema mate chini.
Huyo Bill gates na mmiliki wa Amazon wana pesa chafu mpaka wameingia katika list ya matajiri wa dunia ila wake zao wamewaacha.
Unamjua mwanamke wewe!?
Unalijua futa la mwantumu wewe!??
 
Hahaha.............nisije kuandika vingi hapa Vijana wakasema nami nimekuwa Mzee wa hovyo bure 😜

Kumbe mwenzao naandika mambo ya Mwaka 47 🤗
Mkuu muache dada aongee sijui vipele sijui nini but ukweli upo pale ps futa za baridi zipo na futa za kushenyenta joto wangu wangu zipo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom