Mnaobabaika na wanawake wa Kitutsi kuna kitu hamkijui, wale sio wife material

Mnaobabaika na wanawake wa Kitutsi kuna kitu hamkijui, wale sio wife material

Status
Not open for further replies.
Wanawake wenyewe tunaopigwa marufuku sasa😁😁😁😁😁
View attachment 3081712

Hawana tako. Kama mtu unapenda pisi petite Hapo sawa ila tunaopenda nyama hao kawaida sana. Afu wote wamefanana kama mayai nchi nzima.

Ongea na watu vizuri tukupe code za TZ, unakuta pisi A na pisi B zote za moto afu haziendani wala nini unaweza honga pension yako yote.
 
Unawajua wanawake wanyanda za juu kusini,wabena,wahehe,wanyakyusa mpaka wafipa ,hawaba hizo tabia
Wahehe wakoje mzee kuna manzi moja inanipagawisha nataka niweke ndani...nipe sifa zao.
Sio wachoyo wa mbususu lakini?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom