Hao ni waganga njaa waomekane ili wapewe vyeo.Kaka, tatizo sio kumbeza Rais, na hakuna anayekataa kuwa Rais hafanyi mazuri. Anafanya mazuri kama walivyo fanya wengine.
Shida ni watu wenye upeo bapa wanaotumia muda mwingi na majukwaa ya hadhara kusifu na kulazimisha shangilieni, hasa kwenye mikutano mbali mbali, kiasi cha kusahau kwamba shauku ya watu iko kwenye kutatua kero za kimaendeleo.
Wanaofanya Rais aonekane anabezwa ni hao ambao wakiwa mbele yake hawaezi sema sentensi moja bila kuchomekea ama "piga makofi kwa mama Samia, ama Makofi mengi sana kwa Mama Samia, ama nani kama Mama Samia heee, ....hadi mwisho wa hotuba zao!
Hadi kichefuchefu - wengine huko nje hawako hivyo
Mafanikio huwa yanatangazwa kwani watanzania hawana macho ya kutofautisha nyeupe na nyeusi?Kuna watu kazi yao wamekuwa ni kupinga na kubeza mafanikio ya Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Samia Suluh Hassan, yawezekana wanatumia
Achana na Hawa wanaoshinda mitandaoni ,watakupotosha bure..Kuna watu kazi yao wamekuwa ni kupinga na kubeza mafanikio ya Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Samia Suluh Hassan...
Unaishi mkoa gani? Kama ni Hapa Tanzani kila Mkoa, Wilaya, Kata na Kijiji nenda kakague ujenzi wa Shule, Zahanati, barabara, miradi ya maji etcAisee hebu nionyesheni hayo maendeleo na mimi niyaone jamani
Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
Kabisa mkuu The Sunk Cost Fallacy nashanga wanajifanya hawaoni kazi zinazofanyika, wamebaki kupiga kelele kwenye mitandao, miradi yote ya Maendeleo inayotekelezwa kwao wanaona buteAchana na Hawa wanaoshinda mitandaoni ,watakupotosha bure..
Hawa hata kura zikipigwa lazima waongoze kwa mafuriko humu mitandaoni ila huko kwa Wananchi hakuna hata anaewaelewa na wao huwa wako busy humu humu huwezi wakuta mtaani kupinga.
Watanzania wanaona, wala hakuna anayetangaza, lakini ukweli lazima usemwe, kumpongeza Rais akifanya vizuri sio dhambi, hata wewe ukifanya vizuri watu watakupongeza, ukifanya vibaya watakusema kwa ubayaMafanikio huwa yanatangazwa kwani watanzania hawana macho ya kutofautisha nyeupe na nyeusi?
Mmeona njia rahisi ya kupata teuzi ni kujitoa ufahamu na kuwa chawa.
Sawa Vanss classic ,Huyu nae chawa
Maendeleo ya watu ni pamoja na Uhuru wa kutoa maoni, kuheshimu haki za binadamu kama ambavyo Serikali ya awamu ya sita inafanya.Tulishakubaliana maendeleo ya watu sio vitu! Vip leo?
Kabisa, kazi inafanywa kubwa saana NyabukikaChini ya Uongozi wa Rais Samia Baadhi ya mafanikio yaliyopatikana katika sekta ya elimu hadi Aprili 2022; -Kurejesha wanafunzi wa kike 3,333 masomoni kupitia mpango wa kurejesha wanafunzi; -Kuendelea na ujenzi na ukarabati wa vyuo vya VETA katika mikoa 25 ya Tz
Wataona 2025Kabisa mkuu The Sunk Cost Fallacy nashanga wanajifanya hawaoni kazi zinazofanyika, wamebaki kupiga kelele kwenye mitandao, miradi yote ya Maendeleo inayotekelezwa kwao wanaona bute
Mfumuko wa Bei haujaletwa na mh Rais Bali umetokana na Vita vya huko ukrein, Na katika kulikabili Hilo ili kuleta unafuu katika maisha ya mtanzania mh Rais anatoa Ruzuku katika secta muhimu ambazo zinagusa maisha ya watanzania wengi na Ni injini ya uchumi wetu, Kama alivyofanya kwenye mafuta na mbolea.Mpuuzi mkubwa, hata wakoloni walileta reli, shule, makanisa na barabara, mfumuko wa bei sisi ndiyo tatizo letu
πππ amina!!Uongozi unatoka kwa Mungu pekee
Watanzania ni wepesi sana kusahau...Kabisa mkuu ibanezafrica, Tanzania inafunguka, Wafanyabiashara wengi sasa wanasafiri, hotel na kumbi zilizokuwa zimefungwa kwa kukosa wateja sasa zinafunguliwa