Mnaobeza mafanikio ya Awamu ya Sita, zungukeni Tanzania muone mafanikio ya Serikali ya Rais Samia katika utekelezaji wa miundombinu

Mnaobeza mafanikio ya Awamu ya Sita, zungukeni Tanzania muone mafanikio ya Serikali ya Rais Samia katika utekelezaji wa miundombinu

Hivi kumsifia kila Rais kila wakati, mara kwa mara haikuwepo wakati wa Nyerere, Mwinyi, Mkapa nafikiri hata Kikwete. Ilianza sana wakati wa Mgafufuli kwa sababu ya kuogopa kutunguliwa. Nafikiri walimsoma kwamba alipenda kusifiwa, hivyo ikawa kama gia ya kupata kibali kwake. Sasa hivi inasikitisha sana, kwamba kila jambo ni kumtaja Rais, yaani serikali anayoiongoza haina kazi. Tanzania uongozi ni kazi kweli kweli.
Tambua kongozi kwamba kibali chako si kutaja taja jina la Rais bali ni utendaji wako.
Rais usifunikwe na sifa zao, wengine wana unafiki ndani yao. Usilewe sifa za wapambe wako, wanajua wasipokusifia hawatabaki wanaogopa, mtu mwoga ni hatari sana, anaweza kufanya jambo lisliotarajiwa. Tambua kusifiwa sio kupendwa. Chunguza na watambue wenye moyo wa uzalendo hasa eneo la rushwa.
Kila mmoja anapenda kusifiwa lakini ikae kwa utaratibu na hekima.
Kila kitu na zama zake, Utandawazi wa awamu za Nyerere and the next haiwezi kuwa sawa na miaka hii , enzi za Nyerere kupata habari ilikuwa mpaka usikilize Radio Tanzania, lakini nikuhakikishie mafanikio ya Serikali yalikuwa yanaelezwa kwa Wananch kama ambavyo ipo sasa tofauti sasa ni technology imekuwa kubwa saana ndugu Nsibwene
 
Kuna watu kazi yao wamekuwa ni kupinga na kubeza mafanikio ya Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Samia Suluh Hassan, yawezekana wanatumia uhuru wao wa kutoa maoni kikatiba au wameamua kupinga kwa sababu kazi yao ni kupinga bila kutambua hatuna Tanzania nyingine zaidi ya hii tunayoishi sasa, lakini niwakumbushe ndugu zangu hata wale wa upande wa pili kuwa MAFANIKIO YA SERIKALI YA AWAMU YA SITA WATANZANIA WANAYAONA, NAMBA HAZIDANGANYI.

Kwa muda ambao Samia Suluhu Hassan amekuwa madarakani kama Rais wa Jamhuri ya Muungano , kwa uwezo na kipawa alichopewa na Mwenyezi Mungu amejitahidi saana kusimamia utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa manufaa ya Watanzania. Kwa sasa katika kata zote 3956 Tanzania kuna miradi ya maendeleo inatekelezwa, katika vijiji vyote 12,319 hakuna Mwanakijiji anayetoka nje ya kijiji chake kufuata huduma za Afya , Elimu au Maji.

Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, ameendelea kuelekeza fedha nyingi katika utekelezaji wa miradi ya maendelo. Ukizunguka mikoa yote Tanzania, kila Mkoa sasa unaendelea na ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Masomo ya Sayansi kwa Wasichana, hivyo baada ya mwaka huu kuisha Mikoa yote itakuwa na shule ya masomo ya Sayansi kwa kila Mkoa, Mhe. Rasis ameelekeza zaidi ya bilioni 30 katika kuhakikisha Tanzania inakuwa na akina Mama Wanasayansi wa kutosha. Akina Mama jipigeni kifua nahodha yuko imara.

Kwenye Kila kata ambayo haikuwa na shule ya Sekondari, Serikali ya Awamu ya sita imepeleka jumla ya Shilingi bilion 232 kwa ajili ya ujenzi wa Shule za kata kupitia mradi wake wa SEQUIP, Watanzania wanaona haya mambo yote yanayoendelea.

Mhe Rais, Samia Suluhu Hassan katika kuhakikisha kila mtoto anapata Elimu bora , ametoa fedha kwa ajili ya ujenzi wa Shule nyingine mpya za Sekondari 15 na Msingi 9, ujenzi wa Shule hizi uko hatua za mwisho, katika kutekeleza mradi huu mama ametoa Tsh bilion 17.25 kupitia mradi wa EP4R

Mhe. Rais anaposema anazunguka duniani kutafuta ni kweli anamaanisha na matokeo yake Watanzania wanaona, ukienda shule yeyote iwe ya Msingi au Sekondari lazima utakutana na ujezi wa darasa, ukamilishaji wa darasa au nyumba za Walimu, leo hii nchi zima jumla ya vyumba vya madarasa 304, mabweni 8, nyumba za Walimu 11, Matundu 548 ya vyoo, ujenzi wa Shule 10 za Msingi mpya na majengo ya Utawala 4 yamejengwa, Mhe. Rais ametoa zaidi ya bilion 12.37 kupitia mradi wa kuimarisha Ufundishaji na Ufunzaji katika Elimu ya Msingi.

Watanzania kwa umoja wetu tuendelee kumuombea Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kazi anayofanya usiku na mchana kuhakikisha gurudumu hili linasonga ni kubwa saana, toka amechukua kijiti hakuna mradi uliosimama, hakuna mkandarasii anayelalamika kutolipwa. Miradi yote ya barabara , maji vituo vya Afya, Umeme sasa karibia vitongoji vyote 64,384 vimeunganisha na umeme.

Mabilionsi ya fedha yanapelekwa kwenye Elimu, Afya, SGR,Bwawa la Mwalimu Nyerere, Ruzuku kwenye mbolea, mafuta Elimumsingi bure etc.

Vijana, Wanawake na Watu wenye ulemavu, Serikali ya Awamu ya sita chini ya Samia Suluhu Hassan imeweka mkazo sana katika utoaji wa mikopo isiyo na riba kwa Vijana, Wanawake na Watu wenye ulemavu ( Mikopo ya asilimia 10). Kwa mwaka wa fedha 2021/2022 Serikali imetoa zaidi ya bilion 59.2 kutoka Halmashauri 184.

Vijana, Wanawake na Watu wenye ulemavu badala ya kuendelea kutumika kwenye makongamano na kutukana kwenye mitandao, tujiunge kwenye vikundi tuazishe makapuni tukachukue mikopo isiyo na riba kutoka katika Halashauri zetu, Serikali kwa mwaka huu wa fedha imetenga zaidi ya bilioni 75.98 kwa ajili ya mikopo isiyo na riba ya Vijana, Wanawake na Watu wenye ulemavu. Uamuzi ni wetu Vijana.

Hongera sana ndugu Innocent Bashungwa (MB) , Waziri Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa,. Hongera sana Dr. Festo Dugange (MB) na David Silinde (MB) Naibu Waziri Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Timu yenu OR - TAMISEMI kwa usimamizi wa utekelezaji wa Miradi inayotolewa na Serikali ya Awamu ya Sita, hakika mmekuwa wasimamizi wa nguvu kubwa anayopeleka Mh Samia Suluhu Hassan katika kuwaletea Watanzania maendeleo, licha ya changamoto zilizopo lakini Watanzania tunaona kazi mnazofanya. Watanzania wataendelea kuwaombea ili malengo, matamanio na matarajio ya Mh Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania yafikiwe.

Watanzania kwa Umoja wetu tuendelee kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mungu ampe Afya njema kwa kazi anayofanya usiku na Mchana.

TUJIANDAE KUHESABIWA KWA MAENDELEO YA TANZANIA, UJANJA NI KUSENSABIKA.
MUNGU IBARIKI TANZANIA
MUNGU MBARIKI RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, SAMIA SULUHU HASSAN
Unataka wapongezwe wakati wanayoyafanya ni wajibu wao kwa sababu wanalipwa mishahara na posho mwa kodi zetu.

Hawapaswi kusifiwa wala kupongezwa kwasababu hawafanyi kwa hisani
 
Hii awamu ni ya hovyo... Nadhan kwasabab imekuja kwa bahat mbaya... 💩💩💩 matupu
 
Unataka wapongezwe wakati wanayoyafanya ni wajibu wao kwa sababu wanalipwa mishahara na posho mwa kodi zetu.

Hawapaswi kusifiwa wala kupongezwa kwasababu hawafanyi kwa hisak
Tanzania tuko huru kutoa maoni, mimi nimetumia uhuru wangu kutoa maoni yangu, nawe mbinguni umetumia uhuru wako kutoa maoni, lakini kwangu mimi sioni shida kama Serikali ikapongezwa pale inapofanya vizuri na tuikosoea pale inapofanya vibaya
 
Kuna watu kazi yao wamekuwa ni kupinga na kubeza mafanikio ya Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Samia Suluh Hassan, yawezekana wanatumia uhuru wao wa kutoa maoni kikatiba au wameamua kupinga kwa sababu kazi yao ni kupinga bila kutambua hatuna Tanzania nyingine zaidi ya hii tunayoishi sasa, lakini niwakumbushe ndugu zangu hata wale wa upande wa pili kuwa MAFANIKIO YA SERIKALI YA AWAMU YA SITA WATANZANIA WANAYAONA, NAMBA HAZIDANGANYI.

Kwa muda ambao Samia Suluhu Hassan amekuwa madarakani kama Rais wa Jamhuri ya Muungano , kwa uwezo na kipawa alichopewa na Mwenyezi Mungu amejitahidi saana kusimamia utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa manufaa ya Watanzania. Kwa sasa katika kata zote 3956 Tanzania kuna miradi ya maendeleo inatekelezwa, katika vijiji vyote 12,319 hakuna Mwanakijiji anayetoka nje ya kijiji chake kufuata huduma za Afya , Elimu au Maji.

Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, ameendelea kuelekeza fedha nyingi katika utekelezaji wa miradi ya maendelo. Ukizunguka mikoa yote Tanzania, kila Mkoa sasa unaendelea na ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Masomo ya Sayansi kwa Wasichana, hivyo baada ya mwaka huu kuisha Mikoa yote itakuwa na shule ya masomo ya Sayansi kwa kila Mkoa, Mhe. Rasis ameelekeza zaidi ya bilioni 30 katika kuhakikisha Tanzania inakuwa na akina Mama Wanasayansi wa kutosha. Akina Mama jipigeni kifua nahodha yuko imara.

Kwenye Kila kata ambayo haikuwa na shule ya Sekondari, Serikali ya Awamu ya sita imepeleka jumla ya Shilingi bilion 232 kwa ajili ya ujenzi wa Shule za kata kupitia mradi wake wa SEQUIP, Watanzania wanaona haya mambo yote yanayoendelea.

Mhe Rais, Samia Suluhu Hassan katika kuhakikisha kila mtoto anapata Elimu bora , ametoa fedha kwa ajili ya ujenzi wa Shule nyingine mpya za Sekondari 15 na Msingi 9, ujenzi wa Shule hizi uko hatua za mwisho, katika kutekeleza mradi huu mama ametoa Tsh bilion 17.25 kupitia mradi wa EP4R

Mhe. Rais anaposema anazunguka duniani kutafuta ni kweli anamaanisha na matokeo yake Watanzania wanaona, ukienda shule yeyote iwe ya Msingi au Sekondari lazima utakutana na ujezi wa darasa, ukamilishaji wa darasa au nyumba za Walimu, leo hii nchi zima jumla ya vyumba vya madarasa 304, mabweni 8, nyumba za Walimu 11, Matundu 548 ya vyoo, ujenzi wa Shule 10 za Msingi mpya na majengo ya Utawala 4 yamejengwa, Mhe. Rais ametoa zaidi ya bilion 12.37 kupitia mradi wa kuimarisha Ufundishaji na Ufunzaji katika Elimu ya Msingi.

Watanzania kwa umoja wetu tuendelee kumuombea Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kazi anayofanya usiku na mchana kuhakikisha gurudumu hili linasonga ni kubwa saana, toka amechukua kijiti hakuna mradi uliosimama, hakuna mkandarasii anayelalamika kutolipwa. Miradi yote ya barabara , maji vituo vya Afya, Umeme sasa karibia vitongoji vyote 64,384 vimeunganisha na umeme.

Mabilionsi ya fedha yanapelekwa kwenye Elimu, Afya, SGR,Bwawa la Mwalimu Nyerere, Ruzuku kwenye mbolea, mafuta Elimumsingi bure etc.

Vijana, Wanawake na Watu wenye ulemavu, Serikali ya Awamu ya sita chini ya Samia Suluhu Hassan imeweka mkazo sana katika utoaji wa mikopo isiyo na riba kwa Vijana, Wanawake na Watu wenye ulemavu ( Mikopo ya asilimia 10). Kwa mwaka wa fedha 2021/2022 Serikali imetoa zaidi ya bilion 59.2 kutoka Halmashauri 184.

Vijana, Wanawake na Watu wenye ulemavu badala ya kuendelea kutumika kwenye makongamano na kutukana kwenye mitandao, tujiunge kwenye vikundi tuazishe makapuni tukachukue mikopo isiyo na riba kutoka katika Halashauri zetu, Serikali kwa mwaka huu wa fedha imetenga zaidi ya bilioni 75.98 kwa ajili ya mikopo isiyo na riba ya Vijana, Wanawake na Watu wenye ulemavu. Uamuzi ni wetu Vijana.

Hongera sana ndugu Innocent Bashungwa (MB) , Waziri Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa,. Hongera sana Dr. Festo Dugange (MB) na David Silinde (MB) Naibu Waziri Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Timu yenu OR - TAMISEMI kwa usimamizi wa utekelezaji wa Miradi inayotolewa na Serikali ya Awamu ya Sita, hakika mmekuwa wasimamizi wa nguvu kubwa anayopeleka Mh Samia Suluhu Hassan katika kuwaletea Watanzania maendeleo, licha ya changamoto zilizopo lakini Watanzania tunaona kazi mnazofanya. Watanzania wataendelea kuwaombea ili malengo, matamanio na matarajio ya Mh Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania yafikiwe.

Watanzania kwa Umoja wetu tuendelee kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mungu ampe Afya njema kwa kazi anayofanya usiku na Mchana.

TUJIANDAE KUHESABIWA KWA MAENDELEO YA TANZANIA, UJANJA NI KUSENSABIKA.
MUNGU IBARIKI TANZANIA
MUNGU MBARIKI RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, SAMIA SULUHU HASSAN
Napenda kuzunguka ila sina nauli.Nisaidiye
 
Napenda kuzunguka ila sina nauli.Nisaidiye
@Nduna shujaa zunguka mtaani kwako hapo utapita barabara zilizoboreshwa, ukipita shule ya hapo mtaani utaona hakuna wanafunzi wanao somea nje, nenda Zahanati ya hapo kwenu utaona huduma nzuri zilikotolewa etc, huhitaji nauli
 
Tupe hela ya kuzunguka nchi nzima kwenye hiyo miradi, ili na sisi tuje tusifie kama ww.
Huna haja ya kuzunguka,nakupa Takwimu hapa hapa 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220817-170147.png
    Screenshot_20220817-170147.png
    52.9 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220817-174037.png
    Screenshot_20220817-174037.png
    89.4 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220817-165932.png
    Screenshot_20220817-165932.png
    140.1 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220816-202251.png
    Screenshot_20220816-202251.png
    144.1 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220815-163443.png
    Screenshot_20220815-163443.png
    93.3 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220816-203211.png
    Screenshot_20220816-203211.png
    87.3 KB · Views: 3
Hivi kumsifia kila Rais kila wakati, mara kwa mara haikuwepo wakati wa Nyerere, Mwinyi, Mkapa nafikiri hata Kikwete. Ilianza sana wakati wa Mgafufuli kwa sababu ya kuogopa kutunguliwa. Nafikiri walimsoma kwamba alipenda kusifiwa, hivyo ikawa kama gia ya kupata kibali kwake. Sasa hivi inasikitisha sana, kwamba kila jambo ni kumtaja Rais, yaani serikali anayoiongoza haina kazi. Tanzania uongozi ni kazi kweli kweli.
Tambua kongozi kwamba kibali chako si kutaja taja jina la Rais bali ni utendaji wako.
Rais usifunikwe na sifa zao, wengine wana unafiki ndani yao. Usilewe sifa za wapambe wako, wanajua wasipokusifia hawatabaki wanaogopa, mtu mwoga ni hatari sana, anaweza kufanya jambo lisliotarajiwa. Tambua kusifiwa sio kupendwa. Chunguza na watambue wenye moyo wa uzalendo hasa eneo la rushwa.
Kila mmoja anapenda kusifiwa lakini ikae kwa utaratibu na hekima.
Mambo ya kusifiana yanafanywa sana na watu wenye ujamaa kichwani na yaliasisiwa na Nyerere..

Ndio maana utakuta zidumu fikra sahihi za Mwalimu,hakuna kumkosoa,mara waseme alikuwa anaota kumbe anaangalia tv na mambo mengine kama hayo..

Mwendazake akaja kuyaleta hayo mambo kiasi kwamba kwa Sasa inaonekana ndio utaratibu wa siasa mpya..

Waliokuwa wanamsifia Mwenzake sio tuu kwamba eti walijua kwamba anapenda sifa Bali ni ilikuwa maalumu kueneza propaganda na kumkweza ionekane hakuna kama huyo mithili ya Kiduku wa N.Korea.
 
Kuna watu kazi yao wamekuwa ni kupinga na kubeza mafanikio ya Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Samia Suluh Hassan, yawezekana wanatumia uhuru wao wa kutoa maoni kikatiba au wameamua kupinga kwa sababu kazi yao ni kupinga bila kutambua hatuna Tanzania nyingine zaidi ya hii tunayoishi sasa, lakini niwakumbushe ndugu zangu hata wale wa upande wa pili kuwa MAFANIKIO YA SERIKALI YA AWAMU YA SITA WATANZANIA WANAYAONA, NAMBA HAZIDANGANYI.

Kwa muda ambao Samia Suluhu Hassan amekuwa madarakani kama Rais wa Jamhuri ya Muungano , kwa uwezo na kipawa alichopewa na Mwenyezi Mungu amejitahidi saana kusimamia utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa manufaa ya Watanzania. Kwa sasa katika kata zote 3956 Tanzania kuna miradi ya maendeleo inatekelezwa, katika vijiji vyote 12,319 hakuna Mwanakijiji anayetoka nje ya kijiji chake kufuata huduma za Afya , Elimu au Maji.

Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, ameendelea kuelekeza fedha nyingi katika utekelezaji wa miradi ya maendelo. Ukizunguka mikoa yote Tanzania, kila Mkoa sasa unaendelea na ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Masomo ya Sayansi kwa Wasichana, hivyo baada ya mwaka huu kuisha Mikoa yote itakuwa na shule ya masomo ya Sayansi kwa kila Mkoa, Mhe. Rasis ameelekeza zaidi ya bilioni 30 katika kuhakikisha Tanzania inakuwa na akina Mama Wanasayansi wa kutosha. Akina Mama jipigeni kifua nahodha yuko imara.

Kwenye Kila kata ambayo haikuwa na shule ya Sekondari, Serikali ya Awamu ya sita imepeleka jumla ya Shilingi bilion 232 kwa ajili ya ujenzi wa Shule za kata kupitia mradi wake wa SEQUIP, Watanzania wanaona haya mambo yote yanayoendelea.

Mhe Rais, Samia Suluhu Hassan katika kuhakikisha kila mtoto anapata Elimu bora , ametoa fedha kwa ajili ya ujenzi wa Shule nyingine mpya za Sekondari 15 na Msingi 9, ujenzi wa Shule hizi uko hatua za mwisho, katika kutekeleza mradi huu mama ametoa Tsh bilion 17.25 kupitia mradi wa EP4R

Mhe. Rais anaposema anazunguka duniani kutafuta ni kweli anamaanisha na matokeo yake Watanzania wanaona, ukienda shule yeyote iwe ya Msingi au Sekondari lazima utakutana na ujezi wa darasa, ukamilishaji wa darasa au nyumba za Walimu, leo hii nchi zima jumla ya vyumba vya madarasa 304, mabweni 8, nyumba za Walimu 11, Matundu 548 ya vyoo, ujenzi wa Shule 10 za Msingi mpya na majengo ya Utawala 4 yamejengwa, Mhe. Rais ametoa zaidi ya bilion 12.37 kupitia mradi wa kuimarisha Ufundishaji na Ufunzaji katika Elimu ya Msingi.

Watanzania kwa umoja wetu tuendelee kumuombea Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kazi anayofanya usiku na mchana kuhakikisha gurudumu hili linasonga ni kubwa saana, toka amechukua kijiti hakuna mradi uliosimama, hakuna mkandarasii anayelalamika kutolipwa. Miradi yote ya barabara , maji vituo vya Afya, Umeme sasa karibia vitongoji vyote 64,384 vimeunganisha na umeme.

Mabilionsi ya fedha yanapelekwa kwenye Elimu, Afya, SGR,Bwawa la Mwalimu Nyerere, Ruzuku kwenye mbolea, mafuta Elimumsingi bure etc.

Vijana, Wanawake na Watu wenye ulemavu, Serikali ya Awamu ya sita chini ya Samia Suluhu Hassan imeweka mkazo sana katika utoaji wa mikopo isiyo na riba kwa Vijana, Wanawake na Watu wenye ulemavu ( Mikopo ya asilimia 10). Kwa mwaka wa fedha 2021/2022 Serikali imetoa zaidi ya bilion 59.2 kutoka Halmashauri 184.

Vijana, Wanawake na Watu wenye ulemavu badala ya kuendelea kutumika kwenye makongamano na kutukana kwenye mitandao, tujiunge kwenye vikundi tuazishe makapuni tukachukue mikopo isiyo na riba kutoka katika Halashauri zetu, Serikali kwa mwaka huu wa fedha imetenga zaidi ya bilioni 75.98 kwa ajili ya mikopo isiyo na riba ya Vijana, Wanawake na Watu wenye ulemavu. Uamuzi ni wetu Vijana.

Hongera sana ndugu Innocent Bashungwa (MB) , Waziri Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa,. Hongera sana Dr. Festo Dugange (MB) na David Silinde (MB) Naibu Waziri Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Timu yenu OR - TAMISEMI kwa usimamizi wa utekelezaji wa Miradi inayotolewa na Serikali ya Awamu ya Sita, hakika mmekuwa wasimamizi wa nguvu kubwa anayopeleka Mh Samia Suluhu Hassan katika kuwaletea Watanzania maendeleo, licha ya changamoto zilizopo lakini Watanzania tunaona kazi mnazofanya. Watanzania wataendelea kuwaombea ili malengo, matamanio na matarajio ya Mh Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania yafikiwe.

Watanzania kwa Umoja wetu tuendelee kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mungu ampe Afya njema kwa kazi anayofanya usiku na Mchana.

TUJIANDAE KUHESABIWA KWA MAENDELEO YA TANZANIA, UJANJA NI KUSENSABIKA.
MUNGU IBARIKI TANZANIA
MUNGU MBARIKI RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, SAMIA SULUHU HASSAN
Walamba asali at the routine praises..............................hakuna mradi mpya alioanzisha labda madarasa ya UVIKO ambayo hata hivyo mpaka sasa ndiyo yaliyopauka kama magofu
 
Huna haja ya kuzunguka,nakupa Takwimu hapa hapa 👇
These are illegitimate references that are neither tangible nor intangibly felt for the country's economy booming as it is currently suffering paralysis in growth for no apparent reasons. The excuse was at a time, the COVID-19 pandemic outbreak and subsequently, the Russia-Ukraine war which is an ambiguous hideout to justify the hardship the citizens are now experiencing, to say the least.
 
Walamba asali at the routine praises..............................hakuna mradi mpya alioanzisha labda madarasa ya UVIKO ambayo hata hivyo mpaka sasa ndiyo yaliyopauka kama magofu
Sio kweli mkuu, inaonekana hauko well informed, hivi hujaona shule mpya zinazojengwa? Majengo ya Utawala? Miradi ya barabara? Vituo vya Afya? Hospital? Please tuwe wakweli Intelligence Justice
 
These are illegitimate references that are neither tangible nor intangibly felt for the country's economy booming as it is currently suffering paralysis in growth for no apparent reasons. The excuse was at a time, the COVID-19 pandemic outbreak and subsequently, the Russia-Ukraine war which is an ambiguous hideout to justify the hardship the citizens are now experiencing, to say the least.
Sasa kama hutaki kitu kilicho real Baki hivyo hivyo, tukutane 2025.
 
Walamba asali at the routine praises..............................hakuna mradi mpya alioanzisha labda madarasa ya UVIKO ambayo hata hivyo mpaka sasa ndiyo yaliyopauka kama magofu
Wewe ishia hivyo hivyo ila Kazi inaendelea 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220817-171225.png
    Screenshot_20220817-171225.png
    240.6 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220817-171606.png
    Screenshot_20220817-171606.png
    140.7 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220812-104856.png
    Screenshot_20220812-104856.png
    259.9 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220812-104841.png
    Screenshot_20220812-104841.png
    268.4 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220812-104925.png
    Screenshot_20220812-104925.png
    305.9 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220806-165454.png
    Screenshot_20220806-165454.png
    174.6 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220806-140601.png
    Screenshot_20220806-140601.png
    234.3 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220801-081753.png
    Screenshot_20220801-081753.png
    167.9 KB · Views: 4
Watawala wanaolazimisha kusifiwa kama dikteta Magufuli na huyu sub wake ni wale ambao hakuna chochote cha maana wanachofanya ila wanataka umma ione kwamba kumbe labda kuna walichofanya na ndio maana wanasifiwa.

Mimi sijawahi kuona kiongozi yeyote katika nchi yenye watu wanaojitambua akisifiwa kwa kujenga barabara, kuweka miundombinu ya maji au umeme kwa kutumia fedha za wananchi hao hao ila ktk nchi yenye wajinga wengi kama hii ndio kiongozi anasifiwa kwa mambo ya kijinga kama hayo.

Nchi kama Marekani wana miundombinu ya kisasa na za hali ya juu lakini bado rais anapigwa chini kwenye uchaguzi kama kukaa kwake madarakani hakuwezi kuboresha maisha ya wananchi wake.

Cha ajabu Tanzania watu wanaweza wakadanganywa na fly overs zilizoko Dar Es Salaam huku maeneo mengi ya nchi zaidi ya nusu ya raia wakiishi chini ya dola moja kwa siku. Very foolish.
 
Watawala wanaolazimisha kusifiwa kama dikteta Magufuli na huyu sub wake ni wale ambao hakuna chochote cha maana wanachofanya ila wanataka umma ione kwamba kumbe labda kuna walichofanya na ndio maana wanasifiwa.

Mimi sijawahi kuona kiongozi yeyote katika nchi yenye watu wanaojitambua akisifiwa kwa kujenga barabara, kuweka miundombinu ya maji au umeme kwa kutumia fedha za wananchi hao hao ila ktk nchi yenye wajinga wengi kama hii ndio kiongozi anasifiwa kwa mambo ya kijinga kama hayo.

Nchi kama Marekani wana miundombinu ya kisasa na za hali ya juu lakini bado rais anapigwa chini kwenye uchaguzi kama kukaa kwake madarakani hakuwezi kuboresha maisha ya wananchi wake.

Cha ajabu Tanzania watu wanaweza wakadanganywa na fly overs zilizoko Dar Es Salaam huku maeneo mengi ya nchi zaidi ya nusu ya raia wakiishi chini ya dola moja kwa siku. Very foolish.
Hakuna Rais aliyewahi kulazimisha kusifiwa, kazi wanazofanya ndizo watu wanapongeza, leo unaenjoy Uhuru wa kutoa maoni, watoto wako wanasomeshwa bure, huduma nzuri za Afaya etc
Ni nchi gani uliyoenda au kufuatilia ukaona watu hawapongezi au kukosa utekelezaji wa Ahadi walizotoa wakati wakiomba wapewe idhini ya kuwahudumia Wananchi?
Watu wanaposema utekelezaji wa Ilani yao haina maana wanawasifia bali wanaelezea kile walichoahidi kutekeleza wametekeleza kwa kiwango gani Imeloa
 
Back
Top Bottom