Mnaodai ESS imeshabadili vyeo mpo nchi gani?

Mnaodai ESS imeshabadili vyeo mpo nchi gani?

maina23

Member
Joined
Jun 10, 2024
Posts
44
Reaction score
120
Niende kwenye hoja.

Nimekuwa busy kusubiri daraja jipya wiki 2 saaa. Kila saa naangalia Mfumo. Nilipanda mwaka 2021, Juni tarehe 1, kutoka E kwenda F.

Sasa nasubiri kwa hamu...sasa zaidi presha niliyonayo naona wanaodai wameshaona tofauti kwenye profile ya mfumo.

Je nyie watu sio watanzania? Mpo nchi gani..au utumishi inapandisha mdgo mdogo?
 
Kwahiyo hutaki au!??
Mfumo unaendelea na updates...utafikiwa Kama Maafsa wako wako fasta.
 
Hebu ongeeni jambo linaloeleweka.Vyeo vinabadilika mwisho wa mwezi bila kuona changes kwenyr ESS au mpaka changes kwenye ESS ndo vitabadilika.
Mambo haya ni serious.
 
Back
Top Bottom