GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Ngoja waje kukupa muongozo mkuuTumeshaharibu kwa kufungwa kizembe na Azam FC na kutoka sare ya kipuuzi na Singida Big Stars FC, hivyo ubingwa tusahau msimu huu na kama si Yanga SC basi Azam FC anabeba.
Imeisha hiyo.
Unahitaji kuwa na akili ya mwehu kuamini Singida ya Mwigulu itashindaSingida anashinda nothing is impossible because possible is something
Kabisa.Kwani nani hajui kama zinacheza timu A na timu B?! Hakuna mechi hapo, ni mazoezi tu.
Kiuhalisia SBS ni timu ya kawaida sana.Tumeshaharibu kwa kufungwa kizembe na Azam FC na kutoka sare ya kipuuzi na Singida Big Stars FC, hivyo ubingwa tusahau msimu huu na kama si Yanga SC basi Azam FC anabeba.
Imeisha hiyo.
Sio mmefungwa kizembe isipokua azam wana timu nzuri kushinda yenu na hata uwanjani waliwazidi kila kituTumeshaharibu kwa kufungwa kizembe na Azam FC na kutoka sare ya kipuuzi na Singida Big Stars FC, hivyo ubingwa tusahau msimu huu na kama si Yanga SC basi Azam FC anabeba.
Imeisha hiyo.
Ngao ya jamii vipi kulikua na maagizo pia?Ni wazi kwamba maagizo yashatoka leo singida wasikaze sana
Mngeshinda mechi zenu haya yote yasingekuepoUnahitaji kuwa na akili ya mwehu kuamini Singida ya Mwigulu itashinda
Kila kundi la watanzania 10 wa nne ni vichaa.Ila Mods siku hizi mnalea Mazuzu!!
Kama mazoezi ya Jana.Kwani nani hajui kama zinacheza timu A na timu B?! Hakuna mechi hapo, ni mazoezi tu.
Tumeshaharibu kwa kufungwa kizembe na Azam FC na kutoka sare ya kipuuzi na Singida Big Stars FC, hivyo ubingwa tusahau msimu huu na kama si Yanga SC basi Azam FC anabeba.
Imeisha hiyo.