Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Du kweli ndio maana leo wamekuwa mdebwedo kabisa
kweli,hawa ni tawi la Yanga,make leo Singida wamekuwa mdebwedo kabisaTumeshaharibu kwa kufungwa kizembe na Azam FC na kutoka sare ya kipuuzi na Singida Big Stars FC, hivyo ubingwa tusahau msimu huu na kama si Yanga SC basi Azam FC anabeba.
Imeisha hiyo.
Nakubaliana na wewe.Kila kundi la watanzania 10 wa nne ni vichaa.
Ngao ya jamii vipi kulikua na maagizo pia?
Na ndiyo ilivyokuwa.Uto wanajiamini sana, inawezekana Mwigulu alishawakalisha chini hao watoto wake akawapa maelekezo
Unabii umetimiaKwanza napenda kusema ya kuwa katika timu zitakazoshika kuanzia namba nane kushuka chini moja wapo ni singida big star hii timu haina muunganiko kabisa ,ni timu inayosaidiwa na promo tu hata ihefu ni wazuri kuliko singida big star.
Ushindi wa singida big star ni kufungwa goli tatu au nne na yanga
Hii ilikuwa kabla ya mechi auKwanza napenda kusema ya kuwa katika timu zitakazoshika kuanzia namba nane kushuka chini moja wapo ni singida big star hii timu haina muunganiko kabisa ,ni timu inayosaidiwa na promo tu hata ihefu ni wazuri kuliko singida big star.
Ushindi wa singida big star ni kufungwa goli tatu au nne na yanga
@changaule kabla ya mechi
Hapana mkuu tulicheza na simbaMlicheza na singida kwani?