Mnaofanya mazoezi ya kukimbia kuna mambo mnadanganya

Mnaofanya mazoezi ya kukimbia kuna mambo mnadanganya

mkuu kama wewe huwezi usiwasemee wenzio, hizo km 13 tunakata vizuri tu
Kuna jambo nimekuwa nikilifikiria na kubaki kushangaa sana. Ni hii tabia ya wafanya mazoezi ya kukimbia. Unakuta mtu anapost kaenda mazoezi ya kukimbia na kudai kamaliza labda 13km kwa kukimbia.

Kumaliza 13km sio tatizo kwa watu wenye mazoezi ila kukuta mtu kibonge na minyama ya kutosha kapost kumaliza 13km kwa kukimbia inaleta ukakasi sana.

Kwa msiojua ni kuwa mazoezi ya kukimbia sio kitu cha mchezo mchezo. Yaani hata kumaliza 1km bila kusimama wala kutembea inastahili pongezi.

Tuache kudanganyana kwenye mambo serious. Cha kushangaza wengi wanaojidanganya huwa hawapungui!

Inauma sana kuona unamaliza 2km huku roho ikikaribia kuacha mwili mara ghafla unaona kibonge kapost kamaliza 13km. Huu sio uungwana na ni kukatishana tamaa.
 
Kuna jambo nimekuwa nikilifikiria na kubaki kushangaa sana. Ni hii tabia ya wafanya mazoezi ya kukimbia. Unakuta mtu anapost kaenda mazoezi ya kukimbia na kudai kamaliza labda 13km kwa kukimbia.

Kumaliza 13km sio tatizo kwa watu wenye mazoezi ila kukuta mtu kibonge na minyama ya kutosha kapost kumaliza 13km kwa kukimbia inaleta ukakasi sana.

Kwa msiojua ni kuwa mazoezi ya kukimbia sio kitu cha mchezo mchezo. Yaani hata kumaliza 1km bila kusimama wala kutembea inastahili pongezi.

Tuache kudanganyana kwenye mambo serious. Cha kushangaza wengi wanaojidanganya huwa hawapungui!

Inauma sana kuona unamaliza 2km huku roho ikikaribia kuacha mwili mara ghafla unaona kibonge kapost kamaliza 13km. Huu sio uungwana na ni kukatishana tamaa.
Kama una run at low altitude km 2 na unahema kama unataka kufa. My man rethink afya ya mwili wako

Kikawaida inatakiwa bila hata mazoez makali atleast ukatw 12km
 
Kama una run at low altitude km 2 na unahema kama unataka kufa. My man rethink afya ya mwili wako

Kikawaida inatakiwa bila hata mazoez makali atleast ukatw 12km
Mkuu huu uzi wa mwaka juzi. Kwa sasa niko sawa.
 
Inategemea. Kwenye elevation ndogo, 10km natumia dk 55 hadi 60. Elevation kubwa natumia zaidi ya dk 60.
Unatumia njia Gani kurekodi muda wako?
Hongera mkuu. Uko fit. 10km rekodi yangu ni dakika 63. Natumia Xiaomi Smart Band 8 iliyounganishwa na app kwenye simu.
 
Watu wengi wakiongelea kuhusu kukimbia wanafocus kitu kimoja tu nacho ni kupungua...Faida za mazoezi ya kukimbia ni nyingi sana na sio kukimbia pekee .Mimi binafsi toka nimeanza safari hii ya kukimbia nimeiva Sana na my life imebadilika Sana .mwili wangu umekuwa vizuri Sana etc...kukimbia Kwa mtu kama Mimi ni LIFE STYLE sio season yaani ikipita siku mbili sijakimbia najisikia tofauti ...so kila nkinkimbia si chini ya km 10 Hadi 21 hapo ndio kiwango changu ..
Ukiweka habit ya kukimbia utaona mabadiliko mengi Sana kwenye mwili wako kuanzia kichwani na kushuka chini Cha msingi fuata kanuni za kukimbia kuanzia mavazi, route, usalama na vifaa muhimu.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Safi sana mkuu.

Naomba share kidogo maelekezo humo kwenye bold mie learner nitoke japo na kitu,nakimbia kwa week mara tatu yaani jumatatu jumatano na ijumaa nakata 7.1Km per route,unadhani kwa hivi itasaidia kwa lolote?
 
Safi sana mkuu.

Naomba share kidogo maelekezo humo kwenye bold mie learner nitoke japo na kitu,nakimbia kwa week mara tatu yaani jumatatu jumatano na ijumaa nakata 7.1Km per route,unadhani kwa hivi itasaidia kwa lolote?
Hapo kwenye mavazi nikijitolea mimi mwenyewe kama mfano ni kuwa mwanzoni nilikuwa navaa viatu ambavyo vilikuwa vinaniletea injuries sana kiasi cha kutaka kakata tamaa. Baadae nikajipiga na kununua nguo na viatu professional vya mazoezi ya kukimbia. Baada ya kufanya hivyo sijawahi pata tena injury. Kuhusu usalama huwa nakuwa makini mno na pikipiki, magari na nyoka.
 
Hapo kwenye mavazi nikijitolea mimi mwenyewe kama mfano ni kuwa mwanzoni nilikuwa navaa viatu ambavyo vilikuwa vinaniletea injuries sana kiasi cha kutaka kakata tamaa. Baadae nikajipiga na kununua nguo na viatu professional vya mazoezi ya kukimbia. Baada ya kufanya hivyo sijawahi pata tena injury. Kuhusu usalama huwa nakuwa makini mno na pikipiki, magari na nyoka.
Sawa kabisa mkuu hapo safi,vipi kuhusu ratiba?

Unakimbia daily or umeteua na wewe siku maalumu za kufanya hivyo ndani ya wiki?
 
Sawa kabisa mkuu hapo safi,vipi kuhusu ratiba?

Unakimbia daily or umeteua na wewe siku maalumu za kufanya hivyo ndani ya wiki?
Mimi sikimbii zaidi ya mara 4 kwa wiki. Sina siku maalum ila nahakikisha mara 3 au 4 kwa wiki nakimbia.
 
Back
Top Bottom