MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
- Thread starter
- #161
Ni 1km kwa dakika 6.2Wastani wa Km 6.2 kwa dakika si mbaya..! Endelea kuzingatia mazoezi; utazidi kuimarika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni 1km kwa dakika 6.2Wastani wa Km 6.2 kwa dakika si mbaya..! Endelea kuzingatia mazoezi; utazidi kuimarika.
Kuna jambo nimekuwa nikilifikiria na kubaki kushangaa sana. Ni hii tabia ya wafanya mazoezi ya kukimbia. Unakuta mtu anapost kaenda mazoezi ya kukimbia na kudai kamaliza labda 13km kwa kukimbia.
Kumaliza 13km sio tatizo kwa watu wenye mazoezi ila kukuta mtu kibonge na minyama ya kutosha kapost kumaliza 13km kwa kukimbia inaleta ukakasi sana.
Kwa msiojua ni kuwa mazoezi ya kukimbia sio kitu cha mchezo mchezo. Yaani hata kumaliza 1km bila kusimama wala kutembea inastahili pongezi.
Tuache kudanganyana kwenye mambo serious. Cha kushangaza wengi wanaojidanganya huwa hawapungui!
Inauma sana kuona unamaliza 2km huku roho ikikaribia kuacha mwili mara ghafla unaona kibonge kapost kamaliza 13km. Huu sio uungwana na ni kukatishana tamaa.
Inategemea. Kwenye elevation ndogo, 10km natumia dk 55 hadi 60. Elevation kubwa natumia zaidi ya dk 60.Asante mkuu. Wewe unakimbia kwa muda gani hizo 9km?
Kama una run at low altitude km 2 na unahema kama unataka kufa. My man rethink afya ya mwili wakoKuna jambo nimekuwa nikilifikiria na kubaki kushangaa sana. Ni hii tabia ya wafanya mazoezi ya kukimbia. Unakuta mtu anapost kaenda mazoezi ya kukimbia na kudai kamaliza labda 13km kwa kukimbia.
Kumaliza 13km sio tatizo kwa watu wenye mazoezi ila kukuta mtu kibonge na minyama ya kutosha kapost kumaliza 13km kwa kukimbia inaleta ukakasi sana.
Kwa msiojua ni kuwa mazoezi ya kukimbia sio kitu cha mchezo mchezo. Yaani hata kumaliza 1km bila kusimama wala kutembea inastahili pongezi.
Tuache kudanganyana kwenye mambo serious. Cha kushangaza wengi wanaojidanganya huwa hawapungui!
Inauma sana kuona unamaliza 2km huku roho ikikaribia kuacha mwili mara ghafla unaona kibonge kapost kamaliza 13km. Huu sio uungwana na ni kukatishana tamaa.
Hakika mazoezi siyo kupungua mjomba pamoja na kupiga samasoti zote hizo ndambi imekaza haielewi.Sammo Hung ni mchina mcheza filamu za mapigano
Anafanya mazoezi lakini bado mwili wake ni bonge
View attachment 2751529
Lakini pia wapo vibonge wengi wanafanya mazoezi na mwili haupungui.
View attachment 2751532
Mkuu huu uzi wa mwaka juzi. Kwa sasa niko sawa.Kama una run at low altitude km 2 na unahema kama unataka kufa. My man rethink afya ya mwili wako
Kikawaida inatakiwa bila hata mazoez makali atleast ukatw 12km
Hongera mkuu. Uko fit. 10km rekodi yangu ni dakika 63. Natumia Xiaomi Smart Band 8 iliyounganishwa na app kwenye simu.Inategemea. Kwenye elevation ndogo, 10km natumia dk 55 hadi 60. Elevation kubwa natumia zaidi ya dk 60.
Unatumia njia Gani kurekodi muda wako?
Safi sana mkuu.Watu wengi wakiongelea kuhusu kukimbia wanafocus kitu kimoja tu nacho ni kupungua...Faida za mazoezi ya kukimbia ni nyingi sana na sio kukimbia pekee .Mimi binafsi toka nimeanza safari hii ya kukimbia nimeiva Sana na my life imebadilika Sana .mwili wangu umekuwa vizuri Sana etc...kukimbia Kwa mtu kama Mimi ni LIFE STYLE sio season yaani ikipita siku mbili sijakimbia najisikia tofauti ...so kila nkinkimbia si chini ya km 10 Hadi 21 hapo ndio kiwango changu ..
Ukiweka habit ya kukimbia utaona mabadiliko mengi Sana kwenye mwili wako kuanzia kichwani na kushuka chini Cha msingi fuata kanuni za kukimbia kuanzia mavazi, route, usalama na vifaa muhimu.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hapo kwenye mavazi nikijitolea mimi mwenyewe kama mfano ni kuwa mwanzoni nilikuwa navaa viatu ambavyo vilikuwa vinaniletea injuries sana kiasi cha kutaka kakata tamaa. Baadae nikajipiga na kununua nguo na viatu professional vya mazoezi ya kukimbia. Baada ya kufanya hivyo sijawahi pata tena injury. Kuhusu usalama huwa nakuwa makini mno na pikipiki, magari na nyoka.Safi sana mkuu.
Naomba share kidogo maelekezo humo kwenye bold mie learner nitoke japo na kitu,nakimbia kwa week mara tatu yaani jumatatu jumatano na ijumaa nakata 7.1Km per route,unadhani kwa hivi itasaidia kwa lolote?
Sawa kabisa mkuu hapo safi,vipi kuhusu ratiba?Hapo kwenye mavazi nikijitolea mimi mwenyewe kama mfano ni kuwa mwanzoni nilikuwa navaa viatu ambavyo vilikuwa vinaniletea injuries sana kiasi cha kutaka kakata tamaa. Baadae nikajipiga na kununua nguo na viatu professional vya mazoezi ya kukimbia. Baada ya kufanya hivyo sijawahi pata tena injury. Kuhusu usalama huwa nakuwa makini mno na pikipiki, magari na nyoka.
Mimi sikimbii zaidi ya mara 4 kwa wiki. Sina siku maalum ila nahakikisha mara 3 au 4 kwa wiki nakimbia.Sawa kabisa mkuu hapo safi,vipi kuhusu ratiba?
Unakimbia daily or umeteua na wewe siku maalumu za kufanya hivyo ndani ya wiki?