MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
- Thread starter
- #141
Uko spidi kinyama. Mimi huko sijafika. Rekodi yangu ni 10km kwa saa 1 dakika 10.Kilomita 12 mkuu
Kitaalamu ipo vipi, nipo slow?
Vp wew rekod zako zinasoma vipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko spidi kinyama. Mimi huko sijafika. Rekodi yangu ni 10km kwa saa 1 dakika 10.Kilomita 12 mkuu
Kitaalamu ipo vipi, nipo slow?
Vp wew rekod zako zinasoma vipi?
Naweza amini kweli nipo speed maana mara nyingi nikikimbia ninaogumiana nao njiani mara nyingi nawapita, japo lengo sishindaniUko spidi kinyama. Mimi huko sijafika. Rekodi yangu ni 10km kwa saa 1 dakika 10.
Hiyo pace ni ya dakika 5 na sekunde kadhaa... ni pace kali sana kwa watu ambao sio wanariadha professional. Ina maana kama una umri wa miaka 30+ ungeweza kuwa mwanariadha enzi ukiwa under 30 hasa early 20sNaweza amini kweli nipo speed maana mara nyingi nikikimbia ninaogumiana nao njiani mara nyingi nawapita, japo lengo sishindani
Kukimbia sambamba na mtu labda yeye ndo a maintain speed yake kuendana na yangu nje hivyo kibati....[emoji125]
Huwez kuona wahhindi wanakimbiaa lakkin uunawaona kila sbh wanattembea harakaNa mazoezi mazuri sio kukimbia. Ni KUTEMBEA HARAKA HARAKA! Utatunza afya ya moyo wake. Kukimbia huweza kusababisha mtanuko wa moyo.
Hii nakubaliana na wewe,wakati Niko kwenye my mid 20's nilikuwa na pace Kali,now nmerudi kujifua walau niwe na pace ya 4/kmHiyo pace ni ya dakika 5 na sekunde kadhaa... ni pace kali sana kwa watu ambao sio wanariadha professional. Ina maana kama una umri wa miaka 30+ ungeweza kuwa mwanariadha enzi ukiwa under 30 hasa early 20s
Hata hii 5.32/km ni kali sana. Hiyo 4m/km unaweza kushiriki half marathon na kuingia hata 20 bora. Mimi nikipata pace yako ya sasa itanitosha.Hii nakubaliana na wewe,wakati Niko kwenye my mid 20's nilikuwa na pace Kali,now nmerudi kujifua walau niwe na pace ya 4/kmView attachment 3105274
Kukimbia sio suala dogo mkuu. Hao wahindi hawako fit kuweza kukimbia ndo maana wanatembeaHuwez kuona wahhindi wanakimbiaa lakkin uunawaona kila sbh wanattembea haraka
Kila mtu anasimamia anacho kiaminiPush up 50 na kuruka kamba Kila asubuhi kabla ya kuoga SIWEZI kukimbia kimbia barabarani utafikiri kichaa.... Yaani mi degree yangu siwezi Fanya huo usenge
Hiyo degree weka mezani ushushie na fanta orange kama inalika.Push up 50 na kuruka kamba Kila asubuhi kabla ya kuoga SIWEZI kukimbia kimbia barabarani utafikiri kichaa.... Yaani mi degree yangu siwezi Fanya huo usenge
Halafu nyumbani kwake Kuna majani ya kupalilia, hana bustani, wala maua, hana migomba wala aina yoyote ya mimea aina hiyo, gari anapeleka car wash, kufagia uchafu na majani hajawahi wala kufikiria!Kuna jambo nimekuwa nikilifikiria na kubaki kushangaa sana. Ni hii tabia ya wafanya mazoezi ya kukimbia. Unakuta mtu anapost kaenda mazoezi ya kukimbia na kudai kamaliza labda 13km kwa kukimbia.
Kumaliza 13km sio tatizo kwa watu wenye mazoezi ila kukuta mtu kibonge na minyama ya kutosha kapost kumaliza 13km kwa kukimbia inaleta ukakasi sana.
Kwa msiojua ni kuwa mazoezi ya kukimbia sio kitu cha mchezo mchezo. Yaani hata kumaliza 1km bila kusimama wala kutembea inastahili pongezi.
Tuache kudanganyana kwenye mambo serious. Cha kushangaza wengi wanaojidanganya huwa hawapungui!
Inauma sana kuona unamaliza 2km huku roho ikikaribia kuacha mwili mara ghafla unaona kibonge kapost kamaliza 13km. Huu sio uungwana na ni kukatishana tamaa.
Kweli mkuu. Mimi nilianza na 2km. Kwa sasa niko kwenye 9km. Huu uzi niliandika mwaka mmoja uliopita13km kumaliza easy ila kwa kuanza unaanza na atkeast 3km baadae unapanda to 5 mara 8 mara 10 mwisho 13km unafika
For sure hapo una cutterweight na track fasta unakataKweli mkuu. Mimi nilianza na 2km. Kwa sasa niko kwenye 9km. Huu uzi niliandika mwaka mmoja uliopita
Unatumia muda gani kumaliza km 9?Kweli mkuu. Mimi nilianza na 2km. Kwa sasa niko kwenye 9km. Huu uzi niliandika mwaka mmoja uliopita
Dakika 56Unatumia muda gani kumaliza km 9?
Wastani wa Km 6.2 kwa dakika si mbaya..! Endelea kuzingatia mazoezi; utazidi kuimarika.Dakika 56
Asante mkuu. Wewe unakimbia kwa muda gani hizo 9km?Wastani wa Km 6.2 kwa dakika si mbaya..! Endelea kuzingatia mazoezi; utazidi kuimarika.