Mnaofurahia Mikopo, Sri Lanka pia iIianza kama sisi

Bibi yuko busy kukopa, mzigo ukija huku wajanja wanakula kwa urefu wa kamba zao na kujipimia mpaka kuvimbiwa. Ee Mola tuepushie mbali na hili janga.
 
Reactions: nao
"Af" "hawamu" "Samahia" "hualisia"

Kama hayo tu yanakutatiza kuandika basi huwezi jua ninachokimaanisha.
Wewe endelea kushikiwa akili.

Halafu kwako na wenzako mliozowea kutumwa mnadhani kila mtu humu ni mtumwa?

Change your Mindset Please!
Change your mindset,...Tena hapo ndio umempoteza kabisa, hawa ni "Ndiyooooooooo...." WAMEJAZANA bungeni na mitaani ambao utafiti wa TWAWEZA ukionyesha asilimia kubwa ya wafuasi wa chama hicho ni wazee, masikini na mbumbumbu. Mada yako hii muhimu hatakaa aielewe.
 
Hii ndiyo pointi ya muhimu kufanyiwa kazi.

Mkuu kuwa na miradi mingi Ndio maana kunakuwa na upigaji mwingi na hata miradi kutelekezwa kisa hela Hakuna kumbe wameiba hao hao wanaojiita wazalendo na viongozi wenye kelele

Tunataka kila kitu kwa wakati mmoja tukafanywa mazuzu toka awamu ya nne wakiimba Kigoma itakuwa kama Dubai

Mara Moro itakuwa sijui nini Yaani kujivisha vitu tusivyoweza ( sio kuwa hatuwezi) Bali wanaiba zote kabla hata ya foundation
Hata tuimbe kuwa tuna utajiri ila bila kuacha wizi utajiri tutausikia nje tu
 
Unayoyasema au kushauri yalimpiga knock out Ndugai.
 
Huwezi kukopa ukaingiza kwenye barabara ni mara mia uingize kwenye kilimo kuboresha uzalishaji na tija
 
yani nye ningewaona wa maana sana ka kuhoji kwenu kungeanzia kwenye 1.5 trilion na makrokocho mengi ya awamu ya Tano kinyume na hapo mnaonekana wahuni tu na chuki zenu kwa samia
Hatutaki kulinganisha Nani kafanya makosa zaidi na Nani kafanya makosa kidogo !! Tunachotaka ni kujitahidi makosa yanayoweza kuepukwa yaepukwe !! Sio kwamba kwa kuwa Fulani alifanya hivi basi ni lazima na mwingine afanye vile vile!! Hatutaki mashindano ya ya kufanya makosa !!
 
Ww kwa akili yako unahisi ivyo vyote vinaweza kuendesha nchi iwatengenezee miundombinu ilipe mishahara na hapohapo iwapunguzie gharama za maisha na kulipa Kodi mataki muwe mnafikilia kabla ya kusema

Wanaokukopesha wao wanatoa wapi acha kulemaza akili yako broo aah samahani nimejikuta nimeguswa na pumba zako una negativu thinking
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…