Boniphace Bembele Ng'wita
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 3,475
- 1,860
Ila kiukwel, tusipofanya jitihada kama taifa tuona mienendo inavyo kwenda ya taifa, tunakwenda kutumbukia kwenye shimo zito ambalo hatutaweza kujinasua, kwa bahati mbaya hakuna anaejari,
Ninahis kunakitu hakipo sawa, ni ama kwa makusudi au kwa bahati mbaya tunaelekea huko, taifa la watu zain ya million 60 tunazungumzia kukopa t2 kwel? Au sa iv akili tumeshikiwa na watu? Au nchi inaendeshwa na zaidi ya ndimi 2?
Kunamsululu wa mambo yanakuja mpka naongopa, sasa najiuliza kama tu mm mtu wa kawaida naona kunahatari, hv hao huo juu hawaoniiii kwel? Au chuma ulete?
Ninahis kunakitu hakipo sawa, ni ama kwa makusudi au kwa bahati mbaya tunaelekea huko, taifa la watu zain ya million 60 tunazungumzia kukopa t2 kwel? Au sa iv akili tumeshikiwa na watu? Au nchi inaendeshwa na zaidi ya ndimi 2?
Kunamsululu wa mambo yanakuja mpka naongopa, sasa najiuliza kama tu mm mtu wa kawaida naona kunahatari, hv hao huo juu hawaoniiii kwel? Au chuma ulete?