Mnaofurahia Mikopo, Sri Lanka pia iIianza kama sisi

Mnaofurahia Mikopo, Sri Lanka pia iIianza kama sisi

Madarasa 15,000 kwa wakati mmoja unayejengaje kwa tozo???? Kwa nini usijenge kwa mkopo ukalipa kidogo kidogo kwa tozo? Unajua Darasa 15,000 zimetoa nafasi za ajira za kudumu kwa watanzania wangapi? Unajua multiplier effects za ajira mpya kwenye uchumi??? Ukiweza kudadafua huo mlolongo huwezi uliza swali la kipuuzi kama hilo.

Ni hardware ngapi zimefanya biashara kwa ujenzi wa madarasa 15,000? ni ajira ngapi za muda zimepatikana kipindi cha ujenzi wa hayo madarasa? Ni kodi kiasi gani serikali imekusanya kupitia mlolongo huo wa ujenzi wa madarasa 15,000?

Viwanda vyetu vya Cement, Nondo, Mabati, Rangi zimefanya biashara ya ukubwa gani kipindi cha ujenzi wa darasa 15,000???
Bado hujanijibu kaka!

Wananchi tunataka au tunastahili kujulishwa matumizi ya pesa zitokanazo na Tozo.

Kama inawezekana kutoa maelezo ya matumizi ya mkopo kutoka IMF.

Kwa nini tusipewe maelezo na ufafanuzi wa matumizi ya Tozo zetu?
 
Nikueleze ni madarasa yapi yamejengwa na tozo na yapi ndio ya IMF? [emoji2].

Sikia, fanya hivi, kariri kama watoto wakitumwa dukani halafu wanaimba ili wasisahau.

"madarasa yanajengwa na mkopo halafu tozo na kodi zinalipa mkopo". ×3
Unatuthibitiashiaje wewe kama wewe,wakati sio waziri wa fedha wala mjumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Bajeti?
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Maisha mafupi acha tukope,huwez endelea bila kukopa kama inakukera hama nchi,tafuta nchi yako isiokopa kaishi huko
Maisha mafupi kwako lakini kumbuka unao watoto na ndugu zako.
 
Mjinga ni yule anayeamini katika budget ambayo inasomeka bila utekelezaji.

Tuambie kwanza ni wapi mwigulu anakopeleka pesa zitikanazo na Tozo.

Maana ametusomea budget ambayo inaelezea source ya mikopo tupu pamoja na kodi ya wananchi.

Lakini hstujaelezwa Tozo ni kiasi gani kwa kila mwezi na kibaelekezwa wapi kama kipaumbele?
Aisee . . . . tushasahau tozo siye
 
Una utaahira kama wote.

Hujaona hapo ujenzi wa vyuo vya veta 100 Nchi nzima? Hujaona barabara? Hujaona uwekezaji wa Kilimo cha umwagiliaji?

Nimeuliza miaka 5 mlikuwa mnafanya nini ilhali hakuna mradi mliumaliza?
Wewe ndie Taahira maana huwezi kutofautisha kipi kilikuwa awamu ya tano-magufuli na kipi ni awamu ya tano-samia.

Hiyo awamu ya sita inatumia ilani ipi ya uchaguzi ya CCM na iliinadi lini kwa wananchi?
 
Kama hujui inachofanya basi wewe ni taahira wa kiwango cha lami..

Nimeshatoa Orodha humu ya mambo inayofanya ila unaropoka tuu..

Moja ya hayo mambo tangible ni ajira zaidi ya 32,000 mwaka ulioisha..

Uliza jingine.
Kama sio utaahira ni nini?

Yaani unakopa ili uje kuajiri?

Halafu muendelezo wake utakuwa nini baadae?
 
Bado hujanijibu kaka!

Wananchi tunataka au tunastahili kujulishwa matumizi ya pesa zitokanazo na Tozo.

Kama inawezekana kutoa maelezo ya matumizi ya mkopo kutoka IMF.

Kwa nini tusipewe maelezo na ufafanuzi wa matumizi ya Tozo zetu?
safi kabisa

Tunatakiwa tupewe maelezo tena ya kina kila mwezi. Si hela wanakatwa wananchi . . .

Maelezo muhimu kabisa
 
Una utaahira kama wote.

Hujaona hapo ujenzi wa vyuo vya veta 100 Nchi nzima? Hujaona barabara? Hujaona uwekezaji wa Kilimo cha umwagiliaji?

Nimeuliza miaka 5 mlikuwa mnafanya nini ilhali hakuna mradi mliumaliza?
Ukitaka kuamini sisi ni failures hebu angalia mpaka leo tunajenga VETA na madarasa tena kwa mkopo? What a fuc**
 
Wanakopa hawatushirikishi bali kwenye ulipaji mikopo.
 
Wanapenda kukopa maana ndio njia rahisi ya kuiba pesa zetu kwa gharama zetu kuliko njia nyingine.
 
Kama sio utaahira ni nini?

Yaani unakopa ili uje kuajiri?

Halafu muendelezo wake utakuwa nini baadae?
Nilikuwa namjibu taahira mwenzio hapo juu..

Umewahi ona wapi unakopa Ili uajiri? Utalipaje watu mishahara kwa pesa ya mkopo?

Unakopa Ili ujenge uchumi unaokuwezesha kuajiri ndicho Serikali inafanya.
 
Wewe ndie Taahira maana huwezi kutofautisha kipi kilikuwa awamu ya tano-magufuli na kipi ni awamu ya tano-samia.

Hiyo awamu ya sita inatumia ilani ipi ya uchaguzi ya CCM na iliinadi lini kwa wananchi?
Jibu swali miaka 5 mlikuwa mnafanya nini hujajibu unazunguka zunguka kama tairi la baiskeli..

Nimeshajibu na kutoa orodha ya miradi mipya ya Samia kuanzia hospital hadi Barabara..

Saizi nikikuuliza taahira mwenzio mliyemzika alijenga vituo vya afya vingapi na hospital huna majibu.
 
Miradi iliyoanzishwa awamu ya 5 ndiyo itakuja kufilisi nchi maana imefanywa kwa mikopo na uchumi umeporomoka sasa sijui madeni yatalipwaje.
 
"Af" "hawamu" "Samahia" "hualisia"

Kama hayo tu yanakutatiza kuandika basi huwezi jua ninachokimaanisha.
Wewe endelea kushikiwa akili.

Halafu kwako na wenzako mliozowea kutumwa mnadhani kila mtu humu ni mtumwa?

Change your Mindset Please!
Jiwe mbona amekopa Sana,Tena alivunja record
 
Back
Top Bottom