Mnaofurahia Mikopo, Sri Lanka pia iIianza kama sisi

Mnaofurahia Mikopo, Sri Lanka pia iIianza kama sisi

Wewe ni mjinga sasa ka.hata hujui vipaombele vya Serikali na budget read out zipo una maana gani? Why bother kumjibu mpumbavu?
Mjinga ni yule anayeamini katika budget ambayo inasomeka bila utekelezaji.

Tuambie kwanza ni wapi mwigulu anakopeleka pesa zitikanazo na Tozo.

Maana ametusomea budget ambayo inaelezea source ya mikopo tupu pamoja na kodi ya wananchi.

Lakini hstujaelezwa Tozo ni kiasi gani kwa kila mwezi na kibaelekezwa wapi kama kipaumbele?
 
Huo ndio Ukweli mchungu kuumeza, lakini usiokwepeka.

Sio ujasiri wala ushujaa kwa viongozi kutembea mkifurahia mikopo na kujipiga kifua mbele ya wananchi majukwaani,kama vile ni jambo la kheri na kishujaa kukopa kopa bila Dira ya kitaifa.

Mnapaswa pia kutoa elimu kwa wananchi, juu ya madhara ya mikopo hiyo kwa uchumi wa nchi.
Ili wananchi waweze kujiandaa kisaikolojia huko mbeleni.

Kwa sababu nyinyi viongozi mnakwenda kukopa huko,lakini walipaji wakuu ni wananchi na vizazi vyao.

Kwa nchi iliyojaaliwa raslimali kama hii ya Tanzania.

Hatukupaswa na hatustahili kushinda mguu na njia kwenda kutembeza mabakuli huko Duniani,sambamba na nchi maskini wa kweli ambazo zipo Africa na kwingineko.

Wakati huo tukiziacha mali zetu zikichotwa kwa mkono mwingine na hao hao wakopeshaji,kwa msaada wa baadhi ya wenzetu wachache kwa manufaa binafsi.

Kwani mifano hai ya mikopo hiyo na madhara yake kwa ushamiri wa taifa tunao.

Mfano wa karibuni kabisa ni huu unaoendelea huko Sri Lanka [emoji1224].

Walikopa hadi wakanyanganywa Bandari yao kuu.

Na sasa wanaelekea kupoteza uhuru wao kama taifa.

Ni baada ya hao hao IMF watalapoitangaza Sri Lanka kama nchi iliyofilisika.

Bado mfano mwingine wa madhara ya mikopo uko Lebanon [emoji1146].

Kwa hiyo CCM wakati mkisifia ukopaji muelewe jinsi mnavyoelekea kulitumbukiza taifa hili tajiri la raslimali,mikononi mwa wakopeshaji.
Wewe ni kama sukuma gang, umekaa kulia lia bila kuleta mbadala
 
Sijawahi kuipenda CCM, ila kwenye ukweli nitasema. SSH amepokea nchi ikiwa kwenye mzigo mzito wa miradi mikubwa na mapato kidogo, miaka 6 hakuna nyongeza ya mishahara, ajira mpya, watumishi kupandishwa vyeo vitu ambavyo mwendazake hakuviweza.
Watumishi wa umma ni sehemu ndogo sana ya idadi kamili ya watanzania.

Ongezeko lao la mishahara impact yake kwa uchumi wa nchi hii ni ndogo kuliko wangewezeshwa sekta ya wajasiliamali ambao idadi na mchango wao ni mkubwa kwenye pato la taifa.

Haya mfano sasa mishahara imepanda ebu twende kwenye uhalisia wa maisha yao huko mitaani?

Hizi siasa za kusema nchi ilikuwa kwenye wakati mgumu ni propaganda mfu.

Ndio maana hata kiuchumi tumeporoka kutoka tulipokuwa tumefikia.
 
kuna member ameuliza humu nikumbushe ni lini uligongewa hodi nyumbani kwako kuombwa ulipe deni la taifa walau shilingi elf tano?
 
Imagine vitu vidogo kama hivi huelewi eti na wewe ndio msomi huko Chadomo [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]..

Kwamba hujui kwamba Serikali imejenga zaidi ya vituo vya afya 334 Nchi nzima kwa tozo za miamala au?

Sasa mtu kama.wewe una maana gani?
Hiyo ni miradi ya kurithi ilianzishwa na Magufuli bila tozo wala kutembeza bakuli huko IMF.

Haya mengine endelea kuamini wewe ila mimi naangalia uhalisia.

Mnaofurahia sasa ni wale mliokuwa mmenuna kipindi cha udhibiti wa JPM.

Hizi zingine blah blah tu.
 
Huo ndio Ukweli mchungu kuumeza, lakini usiokwepeka.

Sio ujasiri wala ushujaa kwa viongozi kutembea mkifurahia mikopo na kujipiga kifua mbele ya wananchi majukwaani,kama vile ni jambo la kheri na kishujaa kukopa kopa bila Dira ya kitaifa.

Mnapaswa pia kutoa elimu kwa wananchi, juu ya madhara ya mikopo hiyo kwa uchumi wa nchi.
Ili wananchi waweze kujiandaa kisaikolojia huko mbeleni.

Kwa sababu nyinyi viongozi mnakwenda kukopa huko,lakini walipaji wakuu ni wananchi na vizazi vyao.

Kwa nchi iliyojaaliwa raslimali kama hii ya Tanzania.

Hatukupaswa na hatustahili kushinda mguu na njia kwenda kutembeza mabakuli huko Duniani,sambamba na nchi maskini wa kweli ambazo zipo Africa na kwingineko.

Wakati huo tukiziacha mali zetu zikichotwa kwa mkono mwingine na hao hao wakopeshaji,kwa msaada wa baadhi ya wenzetu wachache kwa manufaa binafsi.

Kwani mifano hai ya mikopo hiyo na madhara yake kwa ushamiri wa taifa tunao.

Mfano wa karibuni kabisa ni huu unaoendelea huko Sri Lanka [emoji1224].

Walikopa hadi wakanyanganywa Bandari yao kuu.

Na sasa wanaelekea kupoteza uhuru wao kama taifa.

Ni baada ya hao hao IMF watalapoitangaza Sri Lanka kama nchi iliyofilisika.

Bado mfano mwingine wa madhara ya mikopo uko Lebanon [emoji1146].

Kwa hiyo CCM wakati mkisifia ukopaji muelewe jinsi mnavyoelekea kulitumbukiza taifa hili tajiri la raslimali,mikononi mwa wakopeshaji.
EeeeNHeeeeee!

Mkuu 'Voicer', you ain't seen nothing yet!

Hiyo mikopo angalau ingetumika ipasavyo na kukamilisha miradi iliyokusudiwa kikamilifu, pengine tungefaidika na matokeo ya mikopo hiyo, na kidogo tukaziba masikio juu ya masharti yake; na hata wakati mwingine kuyakaidi hayo masharti (kwani watatufanya nini tukikaidi)?

Lakini tatizo linakuwa kubwa zaidi wakati miradi yenyewe faida zake haionekani, na juu ya yote masharti ya mikopo ndiyo yanakuwa makali zaidi. Hapa ndipo penye tatizo kubwa na hawa viongozi tulionao wanaoamini njia pekee ni kutembeza bakuli.

Sasa ngoja nikupe jambo jingine linalohimizwa na hao wakubwa wa WB na IMF, pengine ndilo baya zaidi ya hiyo mikopo na masharti yake.
Kama hujatazama vizuri, Samia asha anza wimbo juu ya jambo hili, kinachosubiriwa tu sasa ni kutangaziwa miradi itakayofanywa chini ya mpango wenyewe..
Mpango huu ni hiyo inayoitwa PPP (Private Public Partnership). Tuakuja kujengewa 'Expressway' hapa Dar hadi Morogoro au hata Dodoma. Wenye pesa yao watapewa miaka 30 au zaidi kuzalisha faidi yao juu ya migongo yetu tutakaotoa jasho kuitumia barabara hiyo. Kama wewe ni kabwela huwezi na hutakiwi kusogea karibu na barabara hiyo.
Huo ndio uwekezaji mpya utakaopata nguvu zaidi miaka hii ya Samia.

Baadhi ya watu watauliza, kuna ubaya gani wa kufanya hivyo, lakini hata mimi nitauliza, kuna ubaya gani wa sisi kufanya kazi hiyo wenyewe.
Kwa nini nipende kuishi kwenye nyumba ya kupanga na maudhi ya masharti ya upangaji, kama ninaweza kujenga nyumba yangu mwenyewe? Hilo nalo ni swali linalohitaji majibu kamili.
 
Watumishi wa umma ni sehemu ndogo sana ya idadi kamili ya watanzania.

Ongezeko lao la mishahara impact yake kwa uchumi wa nchi hii ni ndogo kuliko wangewezeshwa sekta ya wajasiliamali ambao idadi na mchango wao ni mkubwa kwenye pato la taifa.

Haya mfano sasa mishahara imepanda ebu twende kwenye uhalisia wa maisha yao huko mitaani?

Hizi siasa za kusema nchi ilikuwa kwenye wakati mgumu ni propaganda mfu.

Ndio maana hata kiuchumi tumeporoka kutoka tulipokuwa tumefikia.
Haya maswali yako, majibu yako yapo kwenye hotuba ya Bunge la Bajeti 2022/23 Dr. Mwigulu Nchemba

Ulipaji mishahara kwa mwaka 11 trillion
Ulipaji madeni kwa mwaka 11 trillion

Uwezo wa makusanyo TRA 21 trillion kwa mwaka.

Hiyo miradi ya mwendazake bila mikopo na misaada inamaliziwaje?

Kuweni serious
 
kuna member ameuliza humu nikumbushe ni lini uligongewa hodi nyumbani kwako kuombwa ulipe deni la taifa walau shilingi elf tano?
Hapo sasa ni majungu tu af wengi watoto wakiume sikuiz wana majungu kuliko Dada zetu
 
Mjinga ni yule anayeamini katika budget ambayo inasomeka bila utekelezaji.

Tuambie kwanza ni wapi mwigulu anakopeleka pesa zitikanazo na Tozo.

Maana ametusomea budget ambayo inaelezea source ya mikopo tupu pamoja na kodi ya wananchi.

Lakini hstujaelezwa Tozo ni kiasi gani kwa kila mwezi na kibaelekezwa wapi kama kipaumbele?
Akili huna👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220719-115726.png
    Screenshot_20220719-115726.png
    127.5 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220719-085937.png
    Screenshot_20220719-085937.png
    143 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220719-064755.png
    Screenshot_20220719-064755.png
    126.8 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220719-064904.png
    Screenshot_20220719-064904.png
    136.6 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220719-064425.png
    Screenshot_20220719-064425.png
    110.5 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220719-064359.png
    Screenshot_20220719-064359.png
    121.4 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220715-205935.png
    Screenshot_20220715-205935.png
    191.9 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220713-195412.png
    Screenshot_20220713-195412.png
    168.1 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220713-194118.png
    Screenshot_20220713-194118.png
    155.5 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220712-202419.png
    Screenshot_20220712-202419.png
    188.3 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220712-202656.png
    Screenshot_20220712-202656.png
    155.3 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220712-201823.png
    Screenshot_20220712-201823.png
    174.2 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220712-201851.png
    Screenshot_20220712-201851.png
    168.7 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220712-195458.png
    Screenshot_20220712-195458.png
    195.4 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220712-165843.png
    Screenshot_20220712-165843.png
    224.4 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220711-140329.png
    Screenshot_20220711-140329.png
    172.8 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220711-172609.png
    Screenshot_20220711-172609.png
    192 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220711-172628.png
    Screenshot_20220711-172628.png
    153 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220711-115842.png
    Screenshot_20220711-115842.png
    150.7 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220710-193003.png
    Screenshot_20220710-193003.png
    195.9 KB · Views: 2
Hiyo ni miradi ya kurithi ilianzishwa na Magufuli bila tozo wala kutembeza bakuli huko IMF.

Haya mengine endelea kuamini wewe ila mimi naangalia uhalisia.

Mnaofurahia sasa ni wale mliokuwa mmenuna kipindi cha udhibiti wa JPM.

Hizi zingine blah blah tu.
Failures huwa hamkosi excuses 😆😆😆😆😆😆..

Kwa nini arithi si mlimaliza utekelezaji nyie Kwa miaka 5 mlikuwa mnafanya nini sasa?
 
Hapo sasa ni majungu tu af wengi watoto wakiume sikuiz wana majungu kuliko Dada zetu
Mwambie aende shule akasome.
Mwambie ujinga ni mzigo ambao bila kusoma au kujitambua huwezi kuutua.

Mwambie analipa huo mkopo kupitia huduma zoote anazozilipia kuanzia asubuhi mpaka jioni ×7×4×12.
 
Mwambie aende shule akasome.
Mwambie ujinga ni mzigo ambao bila kusoma au kujitambua huwezi kuutua.

Mwambie analipa huo mkopo kupitia huduma zoote anazozilipia kuanzia asubuhi mpaka jioni ×7×4×12.
Haya ww ulienda shule mbon hatuoni faida yako
 
Mama anatushawishi SANA hata sisi tuliokuwa wapinga kila kitu cha serikali, na ikiwezekana 2025 itakuwa mara yangu ya kwanza kura yangu ya uraisi kwenda CCM.
Hata mimi nilikuwa shabiki wa upinzani ila 2025 nitapigia kura Samia na sio CCM hata kama atabeba bendera ya CCM..

Ila wapinzani walishanikatisha tamaa so nitapiga kura ya Rais tuu.
 
Mwambie aende shule akasome.
Mwambie ujinga ni mzigo ambao bila kusoma au kujitambua huwezi kuutua.

Mwambie analipa huo mkopo kupitia huduma zoote anazozilipia kuanzia asubuhi mpaka jioni ×7×4×12.
Sasa kuna mkopo wa bure we mbilikimo wa akili?
 
Akili huna[emoji116]
Halafu tuonyeshe na ankara za serikali kutulipia hizo huduma za afya kwa kuchangia?

Tunaongelea miradi yenye Tija ya uzalishaji na kupanua ajira kwa mtanzania huku nchi pia ikijiwezesha kusimama bila kutegemea misaada.

Hiyo ndio ilikuwa vision hasa ya Magufuli na sio hii ya kuomba omba halafu unakuja kuhesabia watu badala ya kuwarahisishia unafuu wa kupanda kwa gharama za maisha mtaani.

Unaomba omba halafu unakuja kutengeneza ramani za makazi ambayo unawatoza kodi wakazi wake kupitia LUKU!

Khe!
 
Mjinga ni yule anayeamini katika budget ambayo inasomeka bila utekelezaji.

Tuambie kwanza ni wapi mwigulu anakopeleka pesa zitikanazo na Tozo.

Maana ametusomea budget ambayo inaelezea source ya mikopo tupu pamoja na kodi ya wananchi.

Lakini hstujaelezwa Tozo ni kiasi gani kwa kila mwezi na kibaelekezwa wapi kama kipaumbele?
Fuatilia ripoti za maendeleo na angalau maswali na majibu bungeni. Ukifuatilia kuna maswali hutouliza mfano la tozo zinaenda wapi na wakati tunachukua mikopo.....

Mkopo unaupata mara moja, tozo unakusanya taratibu. Kama ni madarasa unajenga kutumia tozo utatumia muda kulinganisha na ukichukua mkopo halafu ukarejesha kwa kutumia tozo na kodi. Au unataka mtoto kazaliwa mpaka kamaliza la saba ndipo madarasa yakamilike?
 
Fuatilia ripoti za maendeleo na angalau maswali na majibu bungeni. Ukifuatilia kuna maswali hutouliza mfano la tozo zinaenda wapi na wakati tunachukua mikopo.....

Mkopo unaupata mara moja, tozo unakusanya taratibu. Kama ni madarasa unajenga kutumia tozo utatumia muda kulinganisha na ukichukua mkopo halafu ukarejesha kwa kutumia tozo na kodi. Au unataka mtoto kazaliwa mpaka kamaliza la saba ndipo madarasa yakamilike?
Kutokuwa na taarifa halafu ukabishia kitu usichokijua ni ugonjwa.
 
Back
Top Bottom