Mnaofurahia Mikopo, Sri Lanka pia iIianza kama sisi

Mnaofurahia Mikopo, Sri Lanka pia iIianza kama sisi

Huwezi kumuelewa mama kama IQ yako ndogo.

Ajira mpya
Nyongeza ya mishahara iliyoshindikana kwa miaka 6
Kupandisha vyeo watumishi
Na hiyo miradi yenu ya Kimkakati, (mfano SGR lot 4,5,6 msiseme ni za awamu ya tano) zinaendelea kama kawaida bila kusahau muendelezo na ukamilishaji wa lot 1,2
Ndege mpya 5,
Ujenzi wa madarasa 15,000 nchi nzima (Hapa hujui ni ajira ngapi zimetengenezwa zikiwemo za wadogo zako???)
Miradi ya usambazaji maji vijijini
Ujenzi wa na uboreshaji wa barabara za vijijini.
Ukamilishaji wa vituo vya afya (Staffing (ajira)/ Madawa/ Vifaa tiba)
Bunge live (mlilosema ni gharama kwa serikali)
Uboreshaji wa sheria za vyombo vya habari
Hizo unaongea Ilani ya uchaguzi ya CCM ya Magufuli,ambae mlimfutilia mbali.

Sasa tueleze miradi na Ilani ya uchaguzi ya hii mnayoiita......
"Awamu ya Sita" kama ipo!

Kupanda kwa mishahara kunabaki kwenye tarakimu tu.
Ukija kwenye uhalisia utashika kiuno kwa uchovu!
 
Hizo unaongea Ilani ya uchaguzi ya CCM ya Magufuli,ambae mlimfutilia mbali.

Sasa tueleze miradi na Ilani ya uchaguzi ya hii mnayoiita......
"Awamu ya Sita" kama ipo!

Kupanda kwa mishahara kunabaki kwenye tarakimu tu.
Ukija kwenye uhalisia utashika kiuno kwa uchovu!
Wewe ni kiazi sana unamponda SSH na mikopo, rejea kichwa cha hii thread ndio utajua kama kichwani hupo sawa.
 
Kuna miradi gani ya siri unayoijua wewe peke yako pamoja na serikali tu?

Tuambie mradi hata mmoja ambao kauanzisha mama yenu, ambao ni wenye tija kwa taifa.
Tangu katiba ilipompa madaraka?
Acha kuangalia pono mda wote ndio maana unakuwa mpumbavu na pili shida yako hata hujui wapi pankupata taarifa sahihi..

Miradi ni endless,1.Vipande vyote vya sgr sasa hivi vina wakandarasi hadi Mwanza ,kumbuka alichukua kukiwa na wakandarasi 2..

2.Ukiacha miradi ya maji ya uviko ninjuzi tuu hapo kazindua ujenzi wa miradi ya maji miji 28 yenye thamani ya zaidi ya Til.1.,

3.Anajenga hospital ya Rufaa ya Kanda ya Magharibi Kigoma,

4.Anajenga Hosp ya Rufaa ya Mkoa Wa Ruvuma na hospital za Wilaya 12 mpya na anamalizia zingine zote alizoacha Jiwe,mfano Hospital ya Kanda Chato imeanza kufanya Kazi baada ya mama kuimalizia.

5.Anajenga Bwawa la Maji la Farkwa Dodoma zaidi ya bil.207.,

6.Anajenga Bwawa La Maji la Kidunda kule Pwani ilinkumaliza tatizo la maji Pwani na Dar,zaidi ya bil.500.

7.Anajenga Ring Road Dom,Msalato Airport,Daraja la Mwanza na maelfu ya km za barabara zinaendelea Nchi nzima.

8.Naishia tuu hapa ila miradi ni mingi mingi kila sekta, kwamba ameanza ujenzi wa BRT phase 3 kule Dar 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220718-154203.png
    Screenshot_20220718-154203.png
    187.9 KB · Views: 3
Je!
Mbona hatuelezi zinazopotea kwa ufisadi?
Hausemi zinazopotea kwenye matumizi yasiyo na tija kama.

Posho za Warsha.
Posho za zsemina.
Posho za makongamano.
Posho za safari za nje kila uchao.

Gharama za kuendeshea ma V8 yote nchi nzima.
Mfano Meya wa jiji anatumia Land Cruisser V8 4×4.
Ilhali yuko kwenye lami kila siku na angeweza kutumia hata Suzuki Escudo tu.
Nashauri gombea ubunge 2025 ukapendekeze serikali itumie escudo.
 
Acha kuangalia pono mda wote ndio maana unakuwa mpumbavu na pili shida yako hata hujui wapi pankupata taarifa sahihi..

Miradi ni endless,1.Vipande vyote vya sgr sasa hivi vina wakandarasi hadi Mwanza ,kumbuka alichukua kukiwa na wakandarasi 2..

2.Ukiacha miradi ya maji ya uviko ninjuzi tuu hapo kazindua ujenzi wa miradi ya maji miji 28 yenye thamani ya zaidi ya Til.1.,

3.Anajenga hospital ya Rufaa ya Kanda ya Magharibi Kigoma,

4.Anajenga Hosp ya Rufaa ya Mkoa Wa Ruvuma na hospital za Wilaya 12 mpya na anamalizia zingine zote alizoacha Jiwe,mfano Hospital ya Kanda Chato imeanza kufanya Kazi baada ya mama kuimalizia.

5.Anajenga Bwawa la Maji la Farkwa Dodoma zaidi ya bil.207.,

6.Anajenga Bwawa La Maji la Kidunda kule Pwani ilinkumaliza tatizo la maji Pwani na Dar,zaidi ya bil.500.

7.Anajenga Ring Road Dom,Msalato Airport,Daraja la Mwanza na maelfu ya km za barabara zinaendelea Nchi nzima.

8.Naishia tuu hapa ila miradi ni mingi mingi kila sekta, kwamba ameanza ujenzi wa BRT phase 3 kule Dar 👇
Huyo hata ukimuuliza bajeti ya Tanzania 2022/23 ni kiasi gani hajui.
 
Kutokuwa na taarifa ni tatizo,
Posho zimeanza awamu ya sita?
Safari za nje??? fuatilia umuhimu na matokeo ya safari anazofanya SSH ndio uje hapa tuzungumze.
V8 zimeanza awamu ya sita??? Pitia hotuba ya bajeti 2022/23 kuna majibu.
Mameya wameanza kutumia V8 baada ya Mwendazake???

Awamu iliyopita mlikuwa mnaedit mpaka report ya CAG kuficha ufisadi baada ya kumuondoa Prof Assad kinyume na katiba.

What is life without haters??????
Kwanza uelewe kwamba hakuna "awamu ya sita"

Na kama ipo nitajie ilani yake ya uchaguzi insyoitumia kama sio ile ile ya Magufuli?

Utatekelezaje ahadi za ilani ya Tano halafu ujiite awamu ya Sita?

Awamu ya Tano ilipiga marufuku matumizi holela kama hayo ya
Warsha.
Wakongamano.
Safari holela.
Semina.
Na mengineyo mengi tu.
Matokeo yake pamoja na wengi kununa lakini tuliona miradi ikiibuka kama uyoga na kukamilika bila chengachenga.

Lakini sasa tumerudishwa kulekule.
Hata CCM wameanza kuona aibu ya nguo zao tena.
 

Attachments

  • Screenshot_20220719-154620.png
    Screenshot_20220719-154620.png
    93.2 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220719-154503.png
    Screenshot_20220719-154503.png
    119.7 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220719-154443.png
    Screenshot_20220719-154443.png
    76.7 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220719-154034.png
    Screenshot_20220719-154034.png
    123.9 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220719-154014.png
    Screenshot_20220719-154014.png
    118.5 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220719-153402.png
    Screenshot_20220719-153402.png
    122.7 KB · Views: 3
Acha kuangalia pono mda wote ndio maana unakuwa mpumbavu na pili shida yako hata hujui wapi pankupata taarifa sahihi..

Miradi ni endless,1.Vipande vyote vya sgr sasa hivi vina wakandarasi hadi Mwanza ,kumbuka alichukua kukiwa na wakandarasi 2..

2.Ukiacha miradi ya maji ya uviko ninjuzi tuu hapo kazindua ujenzi wa miradi ya maji miji 28 yenye thamani ya zaidi ya Til.1.,

3.Anajenga hospital ya Rufaa ya Kanda ya Magharibi Kigoma,

4.Anajenga Hosp ya Rufaa ya Mkoa Wa Ruvuma na hospital za Wilaya 12 mpya na anamalizia zingine zote alizoacha Jiwe,mfano Hospital ya Kanda Chato imeanza kufanya Kazi baada ya mama kuimalizia.

5.Anajenga Bwawa la Maji la Farkwa Dodoma zaidi ya bil.207.,

6.Anajenga Bwawa La Maji la Kidunda kule Pwani ilinkumaliza tatizo la maji Pwani na Dar,zaidi ya bil.500.

7.Anajenga Ring Road Dom,Msalato Airport,Daraja la Mwanza na maelfu ya km za barabara zinaendelea Nchi nzima.

8.Naishia tuu hapa ila miradi ni mingi mingi kila sekta, kwamba ameanza ujenzi wa BRT phase 3 kule Dar 👇
Kuna raia wanataka raisi agombe gombe huku kila mtu esp TBC ikimtangaza raisi tu ndo waone anafanya kazi.
 
Kwanza uelewe kwamba hakuna "awamu ya sita"

Na kama ipo nitajie ilani yake ya uchaguzi insyoitumia kama sio ile ile ya Magufuli?

Utatekelezaje ahadi za ilani ya Tano halafu ujiite awamu ya Sita?

Awamu ya Tano ilipiga marufuku matumizi holela kama hayo ya
Warsha.
Wakongamano.
Safari holela.
Semina.
Na mengineyo mengi tu.
Matokeo yake pamoja na wengi kununa lakini tuliona miradi ikiibuka kama uyoga na kukamilika bila chengachenga.

Lakini sasa tumerudishwa kulekule.
Hata CCM wameanza kuona aibu ya nguo zao tena.
Wewe ni kiazi bishana na mamlaka sasa
1658236293075.png

1658236314558.png
 
Kuna raia wanataka raisi agombe gombe huku kila mtu esp TBC ikimtangaza raisi tu ndo waone anafanya kazi.
Waambieni that nonsense will never happen under Samia.

Quit but strong ndio maana unaona kila sekta inapafomu na wezi wanashuhhulikiwa.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Kipindi cha JPM tuliona matumizi sahihi ya raslimali za nchi hii pamoja na kuzuia michwa kula mbao za maghala ya Taifa.
Sasa walipoona kawabana na wanaelekea kupotea kwenye ramani ndio wakatuondolea mtu wa ukweli. View attachment 2296602
Na haya uliyaona? 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220719-125637.png
    Screenshot_20220719-125637.png
    151.1 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220719-125402.png
    Screenshot_20220719-125402.png
    54.7 KB · Views: 3
Kwanza uelewe kwamba hakuna "awamu ya sita"

Na kama ipo nitajie ilani yake ya uchaguzi insyoitumia kama sio ile ile ya Magufuli?

Utatekelezaje ahadi za ilani ya Tano halafu ujiite awamu ya Sita?

Awamu ya Tano ilipiga marufuku matumizi holela kama hayo ya
Warsha.
Wakongamano.
Safari holela.
Semina.
Na mengineyo mengi tu.
Matokeo yake pamoja na wengi kununa lakini tuliona miradi ikiibuka kama uyoga na kukamilika bila chengachenga.

Lakini sasa tumerudishwa kulekule.
Hata CCM wameanza kuona aibu ya nguo zao tena.
If now was be awamu ya tano it's true ungeweza kuongea Kama unavyo ongea now try to think many issue is back especially freedom now you can speak like that because you have right and past don't having that right so try to think she is doing better more than you think and more to make sure Avery have happy and peaceful
 
Sina mda wa kujichosha kuelimisha mtu ambae ameamua kuwa mpumbavu..

Tafuta sources rasmi za serikali utaona kilichofanyika..

Kuna mada kibao humu zinaeleza hata Leo RUWASA walikuwa live kueleza kilichofanyika so ni wajibu wako kutafuta sio wajibu wangu..

Ulivyo mpumbavu huwa Rais anawaambia kila siku kwamba miradi yote mikubwa ni mikopo huelewi sasa kama wewe unaona hakuna kilichofanyika ila ukiamka asubuh unasafiri kwenye barabara,unatumia maji na unaenda hospital harafu unauliza zinakotumika ni wazi wewe ni mpumbavu.
Achana na hizo propaganda za Ruwasa na nyinginezo.
Tuongelee taifa kama taifa ni kipi tumesonga mbele tangu mama amesema anafungua nchi?

Kero za maji ndio zimeongezeka tena mijini kwenyewe.

Kule Mwanza mjini wako karibu na ziwa lakini sasa ni mwezi wa pili unaenda wakiwa kwenye mgao wa maji.

Tunatozwa miamala lukuki, tunalipa kodi kama zote, tunapokea mikopo kama yote ndio.

Sasa tuambie walau jambo moja ambalo limetekelezwa?

Achana na ile miradi ya JPM aliyoanzisha na ambayo sasa inapigwa slow down kisa haina 10% kama vile bwawa la Nyerere?
 
Kwanza uelewe kwamba hakuna "awamu ya sita"

Na kama ipo nitajie ilani yake ya uchaguzi insyoitumia kama sio ile ile ya Magufuli?

Utatekelezaje ahadi za ilani ya Tano halafu ujiite awamu ya Sita?

Awamu ya Tano ilipiga marufuku matumizi holela kama hayo ya
Warsha.
Wakongamano.
Safari holela.
Semina.
Na mengineyo mengi tu.
Matokeo yake pamoja na wengi kununa lakini tuliona miradi ikiibuka kama uyoga na kukamilika bila chengachenga.

Lakini sasa tumerudishwa kulekule.
Hata CCM wameanza kuona aibu ya nguo zao tena.
Ni wapi kwenye katiba au sheria panapotajwa mambo ya awamu? Haya ni maneno ya kujifurahisha tu.
Hadi Mwalimu anang'atuka hakuwa akiitwa rais wa Awamu ya kwanza.
 
Achana na hizo propaganda za Ruwasa na nyinginezo.
Tuongelee taifa kama taifa ni kipi tumesonga mbele tangu mama amesema anafungua nchi?

Kero za maji ndio zimeongezeka tena mijini kwenyewe.

Kule Mwanza mjini wako karibu na ziwa lakini sasa ni mwezi wa pili unaenda wakiwa kwenye mgao wa maji.

Tunatozwa miamala lukuki, tunalipa kodi kama zote, tunapokea mikopo kama yote ndio.

Sasa tuambie walau jambo moja ambalo limetekelezwa?

Achana na ile miradi ya JPM aliyoanzisha na ambayo sasa inapigwa slow down kisa haina 10% kama vile bwawa la Nyerere?
Thibitisha
 
Inahitaji akili mingi sana kumuelewa SSH, kwa nchi yetu ilipokuwa imefika hata wangeingia CHADEMA wasingeiacha hii mikopo. Ukiwamfuatiliaji wa Bunge la bajeti huwezi kuwa na shida. Mbaya ni ukiwa activisit upepo tu utabisha kila kitu.

Nchii yetu mapato bado ni kidogo na watu kodi hatulipi na mahitaji ni mengi, na bado wanaharakati njaa wanalalamikia mikopo. Wakikosa huduma za kijamii bado watalalamika na kodi/ tozo wanataka ziondolewe.
1658236796621.png
 
Back
Top Bottom