Mnaofurahia Mikopo, Sri Lanka pia iIianza kama sisi

Mnaofurahia Mikopo, Sri Lanka pia iIianza kama sisi

Na kwa Nini ukope na hapo una gesi asilia madini,bahari Kama sio UZUZU huo
Dah,

Akili zitatuzunguka kwelikweli na haya maswala.

Mkuu 'MakinikiA', hivi tunayo "gesi asilia, madini"?

Najua "bahari" bado tunayo kama nayo haitachukuliwa katika ngwe hii ya Samia, si unasikia hata visiwa huku Unguja ni mali za watu?

Nchi yetu tunao upungufu mkubwa sana wa uongozi; lakini isingekuwa hivyo Tanzania siyo nchi ya kulialia kila mara na kwenda kujitembeza mitaani kama malaya.
 
Fuatilia ripoti za maendeleo na angalau maswali na majibu bungeni. Ukifuatilia kuna maswali hutouliza mfano la tozo zinaenda wapi na wakati tunachukua mikopo.....

Mkopo unaupata mara moja, tozo unakusanya taratibu. Kama ni madarasa unajenga kutumia tozo utatumia muda kulinganisha na ukichukua mkopo halafu ukarejesha kwa kutumia tozo na kodi. Au unataka mtoto kazaliwa mpaka kamaliza la saba ndipo madarasa yakamilike?
Tueleze specific ni madarasa yapi ndio ya tozo na yapi ndio ya IMF.?

Hizi blah blah zingine acha maana bunge hutazami wewe binafsi tunatazama wote.
 
Tueleze specific ni madarasa yapi ndio ya tozo na yapi ndio ya IMF.?

Hizi blah blah zingine acha maana bunge hutazami wewe binafsi tunatazama wote.
Madarasa 15,000 kwa wakati mmoja unayejengaje kwa tozo???? Kwa nini usijenge kwa mkopo ukalipa kidogo kidogo kwa tozo? Unajua Darasa 15,000 zimetoa nafasi za ajira za kudumu kwa watanzania wangapi? Unajua multiplier effects za ajira mpya kwenye uchumi??? Ukiweza kudadafua huo mlolongo huwezi uliza swali la kipuuzi kama hilo.

Ni hardware ngapi zimefanya biashara kwa ujenzi wa madarasa 15,000? ni ajira ngapi za muda zimepatikana kipindi cha ujenzi wa hayo madarasa? Ni kodi kiasi gani serikali imekusanya kupitia mlolongo huo wa ujenzi wa madarasa 15,000?

Viwanda vyetu vya Cement, Nondo, Mabati, Rangi zimefanya biashara ya ukubwa gani kipindi cha ujenzi wa darasa 15,000???
 
Makusanyo ya kodi yameongezeka, na mikopo pia imeongezeka. Hizo pesa zinafanya kitu gani tangible?
 
Tueleze specific ni madarasa yapi ndio ya tozo na yapi ndio ya IMF.?

Hizi blah blah zingine acha maana bunge hutazami wewe binafsi tunatazama wote.
Nikueleze ni madarasa yapi yamejengwa na tozo na yapi ndio ya IMF? 😃.

Sikia, fanya hivi, kariri kama watoto wakitumwa dukani halafu wanaimba ili wasisahau.

"madarasa yanajengwa na mkopo halafu tozo na kodi zinalipa mkopo". ×3
 
Mwenye Enzi Mungu tuhurumie tutoe katika haya majanga jamani [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Maisha mafupi acha tukope,huwez endelea bila kukopa kama inakukera hama nchi,tafuta nchi yako isiokopa kaishi huko
 
Halafu tuonyeshe na ankara za serikali kutulipia hizo huduma za afya kwa kuchangia?

Tunaongelea miradi yenye Tija ya uzalishaji na kupanua ajira kwa mtanzania huku nchi pia ikijiwezesha kusimama bila kutegemea misaada.

Hiyo ndio ilikuwa vision hasa ya Magufuli na sio hii ya kuomba omba halafu unakuja kuhesabia watu badala ya kuwarahisishia unafuu wa kupanda kwa gharama za maisha mtaani.

Unaomba omba halafu unakuja kutengeneza ramani za makazi ambayo unawatoza kodi wakazi wake kupitia LUKU!

Khe!
Una utaahira kama wote.

Hujaona hapo ujenzi wa vyuo vya veta 100 Nchi nzima? Hujaona barabara? Hujaona uwekezaji wa Kilimo cha umwagiliaji?

Nimeuliza miaka 5 mlikuwa mnafanya nini ilhali hakuna mradi mliumaliza?
 
Nikueleze ni madarasa yapi yamejengwa na tozo na yapi ndio ya IMF? 😃.

Sikia, fanya hivi, kariri kama watoto wakitumwa dukani halafu wanaimba ili wasisahau.

"madarasa yanajengwa na mkopo halafu tozo na kodi zinalipa mkopo". ×3
Madarasa yote mapya ni IMF na maboma yote yaliyomaliziwa na Serikali ni pesa za tozo.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Makusanyo ya kodi yameongezeka, na mikopo pia imeongezeka. Hizo pesa zinafanya kitu gani tangible?
Kama hujui inachofanya basi wewe ni taahira wa kiwango cha lami..

Nimeshatoa Orodha humu ya mambo inayofanya ila unaropoka tuu..

Moja ya hayo mambo tangible ni ajira zaidi ya 32,000 mwaka ulioisha..

Uliza jingine.
 
Kama hujui inachofanya basi wewe ni taahira wa kiwango cha lami..

Nimeshatoa Orodha humu ya mambo inayofanya ila unaropoka tuu..

Moja ya hayo mambo tangible ni ajira zaidi ya 32,000 mwaka ulioisha..

Uliza jingine.
Basi wewe ni taahira mkubwa kwani hata hujui kutumia pesa za mkopo. Werwe ni kati ya wale wanoakopa ili wanunulie pilau ya harusi. Ni ujinga kukopa hela nyingi hivyo ili kuendeshea serikali. Shangilia sasa, ila tuatakumbushana huko mbeleni
 
Basi wewe ni taahira mkubwa kwani hata hujui kutumia pesa za mkopo. Werwe ni kati ya wale wanoakopa ili wanunulie pilau ya harusi. Ni ujinga kukopa hela nyingi hivyo ili kuendeshea serikali. Shangilia sasa, ila tuatakumbushana huko mbeleni
Umejaa mausaa kichwani..

Pesa ya mkopo inatumikaje?
 
Nadhani huelewi mfumo wa ukopeshwaji unavyofanya kazi.

Ni kwamba kuna mstari ambao ukiishauvuka kama mkopaji.
Tayari unapoteza sifa za kukopesheka.

Na hapo ndio muziki unapoanzia.
Sisi tuko umbali gani kutoka katika huo mstari?
 
Kumbuka kadri muda unavyokwenda na kadri kasi ya ukopaji inavyoongezeka.
Ndivyo tunausogelea ule mstari mwekundu.

Kuna kiwango maalumu ambacho tukifikia hata kesho tu.
Tayari tutakuwa tumepoteza imani kwa wakopehaji.

Ndipo hapo tutakapoanza kutakiwa kukopa kwa dhamana.

Wewe hilo hulielewi labda.
Nimeipenda hii.

Kuna watu wanadhani tunawakopa wajomba zetu which is wrong

Siku yakituchchia ndio mtawajua vizui wazungu
 
Kwani tukikopa hatulipi? Mwaka huu pekee tunakopa Til.8 na kulipa Til.10..Aliyekwambia Nchi inakopa bila mpango ni nani?

Na kwa taarifa yako ,madeni mengi yanayolipwa sasa yalikopwa toka enzi za Mwalimu na awamu zilizopita kutegemeana na muda wa kila deni.
Nchi inakopa bila mpango kwa sababu
1. Kukopa ili kujenga barabara ni kukopa bila mpangilio

2. Kukopa kujenga madarasa na hospitali ni uthibitisho wa kushindwa kuwa na mpango wa muda mrefu wa kuendeleza huduma zetu za jamii kwa mapato ya ndani

Na mwisho, kuna kitu kinaitwa nidhamu ya ukopaji. Ukikikosa hiki hata taasisi za fedha zitaondoa imani yao kwako na utakuwa mwanzo wa maumivu kama sifongo
 
Nchi inakopa bila mpango kwa sababu
1. Kukopa ili kujenga barabara ni kukopa bila mpangilio

2. Kukopa kujenga madarasa na hospitali ni uthibitisho wa kushindwa kuwa na mpango wa muda mrefu wa kuendeleza huduma zetu za jamii kwa mapato ya ndani

Na mwisho, kuna kitu kinaitwa nidhamu ya ukopaji. Ukikikosa hiki hata taasisi za fedha zitaondoa imani yao kwako na utakuwa mwanzo wa maumivu kama sifongo
 
Nchi inakopa bila mpango kwa sababu
1. Kukopa ili kujenga barabara ni kukopa bila mpangilio

2. Kukopa kujenga madarasa na hospitali ni uthibitisho wa kushindwa kuwa na mpango wa muda mrefu wa kuendeleza huduma zetu za jamii kwa mapato ya ndani

Na mwisho, kuna kitu kinaitwa nidhamu ya ukopaji. Ukikikosa hiki hata taasisi za fedha zitaondoa imani yao kwako na utakuwa mwanzo wa maumivu kama sifongo
Hakuna unachojua ,jibu swali ukikopa unatakiwa kufanya nini?
 
Back
Top Bottom