Dah,Na kwa Nini ukope na hapo una gesi asilia madini,bahari Kama sio UZUZU huo
Akili zitatuzunguka kwelikweli na haya maswala.
Mkuu 'MakinikiA', hivi tunayo "gesi asilia, madini"?
Najua "bahari" bado tunayo kama nayo haitachukuliwa katika ngwe hii ya Samia, si unasikia hata visiwa huku Unguja ni mali za watu?
Nchi yetu tunao upungufu mkubwa sana wa uongozi; lakini isingekuwa hivyo Tanzania siyo nchi ya kulialia kila mara na kwenda kujitembeza mitaani kama malaya.