Kiraka
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 4,285
- 4,074
Nitumie namba yako DM tuwasiliane.Hapana me na_deal na kariakoo yote{Mitaa yote chini, ghorofani na underground kabisa}.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitumie namba yako DM tuwasiliane.Hapana me na_deal na kariakoo yote{Mitaa yote chini, ghorofani na underground kabisa}.
Ok ok.Nitumie namba yako DM tuwasiliane.
Sawa sawa Uncle nitakujulisha.natafuta cha underground agrey/ndanda squre meter isipungue 144sm2
Naomba uni PM Uncle unaweka namba mtu anapiga yupo ruvuma wana sumbua tu hawapo serious wanaleta utoto. Ambao wapo serious wanakuja PM tunamalizana.Mawasiliano tajiri
Nipe namba yako PM kuna jamaa yangu anahitaji yupo hapa hapa DarNaomba uni PM Uncle unaweka namba mtu anapiga yupo ruvuma wana sumbua tu hawapo serious wanaleta utoto. Ambao wapo serious wanakuja PM tunamalizana.
Ok ok.Nipe namba yako PM kuna jamaa yangu anahitaji yupo hapa hapa Dar
Uncle Fanya kuja kariakoo Fremu zimepatikana ni wewe tu kuchagua zipo za laki 250,000 na laki 300,000 mtaa wa Aggrey barabarani kabisa .natafuta cha underground agrey/ndanda squre meter isipungue 144sm2
poaUncle Fanya kuja kariakoo Fremu zimepatikana ni wewe tu kuchagua zipo za laki 250,000 na laki 300,000 mtaa wa Aggrey barabarani kabisa .