GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #21
We have decided to Commercialize our Army Mkuu sawa? Halafu ukihoji unapewa Majibu mepesi na Wapumbavu walioko huko akina Chipukizi kuwa kwa sasa Lugalo hakuna Silaha hivyo Adui hawezi kusogea hapo.361 wameona hapatoshi.
Kumbe Kambi ya Lugalo ikiwa haina Silaha na kuwa tu Makazi ya Askari bado Maadui hawawezi Kujipenyeza humo na kupata Sensitive Information zingine za Kulihusu?
Hivi Mwanajeshi mwenye Akili kabisa anaweza Kusema kuwa Silaha zote zimeondolewa Kambi ya Lugalo? Hivi inakuingia Akilini kuwa Kambi Kubwa na ya Kihistoria kama hii ya Lugalo pamoja na Unyeti wake na kuwa Strategically Positioned kama ilivyo ikawa haina Silaha kama huyu Damn Fool Soldier Chipukizi anavyosema?
Halafu GENTAMYCINE akiwa Anawadharau na Kuwaambieni ( akina Chipukizi ) kuwa hamna Akili ( Wapumbavu ) na Wendawazimu mnakasirika.