Mnaoichukia Israel msitumie Smartphone, Laptop, Googlr, n.k. makampuni giant ya kompyuta na Internet huitegemea Israel kwenye kubuni

Mnaoichukia Israel msitumie Smartphone, Laptop, Googlr, n.k. makampuni giant ya kompyuta na Internet huitegemea Israel kwenye kubuni

Marekani ndio lilikuwa taifa la kwanza kutua kwenye Mwezi.

Wayahudi wana mchango mkubwa sana NASA akiwemo Abraham "Abe" Silverstein aliewezesha Marekani kuwa taifa la kwanza kutua mwezini
Acha upunguani wako na utaahira, hivi hapa eleweka unazungumzia wayahudi ama Israel?

Kwa hilo la kutua mwezini Soviet ndio wa kwanza acha ujinga.. Fuatilia..

NASA ina maelfu ya wafanya kazi, ina bajeti , ina wana hisabati,

Nikupe tu taarifa NASA mwanzoni kabisa kipindi cha kufanya projects zao za mwanzoni kulikuwa kuna wanahisabati waliitwa human computers, humo hadi african american walikuwepo... Tena wanawake weusi... Kadanganye watoto wenzako..

Unafikiri NASA ni kama gari ya abiria kuna kondakta na deteva... Hizo ni mega projects... Kuna maelfu ya professionals wenye races kutoka pande zote duniani..
 
Nimeona kuna movements za ku boycott / kugomea bidhaa zenye uhusiano na Israel, Nimeona nije kuwasapoti kwenye huu mgomo kwa kuwashauri muweke nguvu zaidi kukaa mbali na simu na computer kwasababu bidhaa na huduma hizi nyingi wanaozibuni ni wayahudi wa Israel.

China ndipo vilipo viwanda vingi vya kutoa nakala za bidhaa.

Marekani ndipo zilipo ofisi za usimamizi na uongozi wa makampuni haya.

Lakini Israel ndipo zilipo akili zinazotegemewa kuumiza vichwa kubuni bidhaa kisha zinaenda kufyatuliwa nakala kwenye nchi kubwa kama china zenye viwanda vingi.

Makampuni makubwa kama Google, Microsoft, Intel, Qualcom, n.k. yana ofisi za Research and Development nchini Israel, Wameweka ofisi hizo kwajili ya kuwatumia wanasayansi na wahandisi wa Kiyahudi wawasaidie kubuni na kuendeleza bidhaa na huduma zao- wapo Israel kwajili ya kutumia akili za wayahudi wawabunie teknojia.

wao wanauza technology, makampuni yaliyowaajiri yanapata umiliki wa technology, mfano timu ya wanasayansi wanabuni teknolojia itayoboresha zaidi matokeo ya google, baada ya hapo google wanatambulika kuimiliki hio teknolojia.

Kwa ofisi za Marekani za Sillicon Valley ni kama tawi lao lingine, wamejazana mno kwenye ofisiz za Research and Development!!

Orodha chache ya Makampuni :

GOOGLE - Unaikwepaje google ukitumia internet kwamfano, Wao ndio wamiliki wa Android mfumo unaotumika kwenye simu kibao kama Samsung, Nokia, Sony, hadi huku kwenye Tecno na Itel

APPLE - Ndio wamilikiwa simu za iphone na laptops za Macbook

INTEL - Hii ni chip inayotumika zaidi kwenye laptops, hio laptop yako unaiona imeandika Intel core i3, i5, i7, n.k. ujue hio ndio akili ya computer

HP na DELL - Brand maarufu za laptop hizi

MICROSOFT WINDOWS - System maarufu zaidi tunayotumia kwenye computer za mezani na laptops

AMAZON na EBAY - Masoko maarufu ya kuagiza bidhaa mtandaoni

IBM

ORACLE

Unaposikia Israel wapo vizuri ki intelejensia sio uchawi, ni kwamba wao wanahusika zaidi kwenye kubuni bidhaa za makampuni makubwa ya vifaa vya mawasiliano, hivyo inakuwa rahisi kwao kuingia kwenye mifumo
Umekurupuka😀
 
Acha upunguani wako na utaahira, hivi hapa eleweka unazungumzia wayahudi ama Israel?

Kwa hilo la kutua mwezini Soviet ndio wa kwanza acha ujinga.. Fuatilia..

NASA ina maelfu ya wafanya kazi, ina bajeti , ina wana hisabati,

Nikupe tu taarifa NASA mwanzoni kabisa kipindi cha kufanya projects zao za mwanzoni kulikuwa kuna wanahisabati waliitwa human computers, humo hadi african american walikuwepo... Tena wanawake weusi... Kadanganye watoto wenzako..

Unafikiri NASA ni kama gari ya abiria kuna kondakta na deteva... Hizo ni mega projects... Kuna maelfu ya professionals wenye races kutoka pande zote duniani..
Nakugonga kwa facts wewe endelea kuweka story za vijiweni,

Marekani ndio ilikuwa nchi ya kwanza kutua mwezini chini ya mafanikio makubwa ya Myahudi Abraham "Abe" Silverstei (baba wa apollo / the father of apollo)

endelea kurusha ngumi mi nakupiga risasi ya mguuni

1729963821198.png
 
Nimeona kuna movements za ku boycott / kugomea bidhaa zenye uhusiano na Israel, Nimeona nije kuwasapoti kwenye huu mgomo kwa kuwashauri muweke nguvu zaidi kukaa mbali na simu na computer kwasababu bidhaa na huduma hizi nyingi wanaozibuni ni wayahudi wa Israel.

China ndipo vilipo viwanda vingi vya kutoa nakala za bidhaa.

Marekani ndipo zilipo ofisi za usimamizi na uongozi wa makampuni haya.

Lakini Israel ndipo zilipo akili zinazotegemewa kuumiza vichwa kubuni bidhaa kisha zinaenda kufyatuliwa nakala kwenye nchi kubwa kama china zenye viwanda vingi.

Makampuni makubwa kama Google, Microsoft, Intel, Qualcom, n.k. yana ofisi za Research and Development nchini Israel, Wameweka ofisi hizo kwajili ya kuwatumia wanasayansi na wahandisi wa Kiyahudi wawasaidie kubuni na kuendeleza bidhaa na huduma zao- wapo Israel kwajili ya kutumia akili za wayahudi wawabunie teknojia.

wao wanauza ubunifu, ni sawa na kwenye mgahawa, wapishi wameajiriwa kuandaa chakula lakini chakula kinajulikana ni cha mwenye mgahawa, mfano google wana ofisi Israel wameajiri wanasayansi wanaobuni teknolojia zinazoboresha matokeo ya google lakini google ndio wanaotambulika kumiliki hizo teknolojia.

Kwa ofisi za Marekani za Sillicon Valley ni kama tawi lao lingine, wamejazana mno kwenye ofisiz za Research and Development!!

Orodha chache ya Makampuni :

GOOGLE - Unaikwepaje google ukitumia internet kwamfano, Wao ndio wamiliki wa Android mfumo unaotumika kwenye simu kibao kama Samsung, Nokia, Sony, hadi huku kwenye Tecno na Itel

APPLE - Ndio wamilikiwa simu za iphone na laptops za Macbook

INTEL - Hii ni chip inayotumika zaidi kwenye laptops, hio laptop yako unaiona imeandika Intel core i3, i5, i7, n.k. ujue hio ndio akili ya computer

HP na DELL - Brand maarufu za laptop hizi

MICROSOFT WINDOWS - System maarufu zaidi tunayotumia kwenye computer za mezani na laptops

AMAZON na EBAY - Masoko maarufu ya kuagiza bidhaa mtandaoni

IBM

ORACLE

Unaposikia Israel wapo vizuri ki intelejensia sio uchawi, ni kwamba wao wanahusika zaidi kwenye kubuni bidhaa za makampuni makubwa ya vifaa vya mawasiliano, hivyo inakuwa rahisi kwao kuingia kwenye mifumo
We ni mweupe..
Hizi mada unazotoa unatia aibu...
Unaongea vitu cheap sana..
 
Nakugonga kwa facts wewe endelea kuweka story za vijiweni

Marekani ndio ilikuwa nchi ya kwanza kutua mwezini chini ya mafanikio makubwa ya Myahudi Abraham "Abe" Silverstei (baba wa apollo / the father of apollo)

View attachment 3136059
Nimechanganya na nchi ya kwanza kurusha satellite...
Soviet ndio wa kwanza kurusha satellite sputnik 1 1957...
 
Wafia dini mna ujinga mwingi sana vichwani, this goes to all of you miyahudi na miarabu ya Sitimbi.

Mtu sababu ya mahaba yako unasifia Israel ila you can't back hata kimoja zaidi ya ngonjera za vijiweni.
 
Nakumegea siri kidogo, hii ndio sababu makampuni mengi makubwa ya tech yapo upande wa Israel
View attachment 3136062
Hizo kampuni zipo dunia nzima hadi India...
Nikupe shule ya bure South Korea ipo vizuri kiteknolojia kuliko Israel...
Japan ndipo usiseme, hapo tumtoe China...

South Korea wapo mbali hao Israel ni mtoto mdogo..
 
Hizo kampuni zipo dunia nzima hadi India...
Nikupe shule ya bure South Korea ipo vizuri kiteknolojia kuliko Israel...
Japan ndipo usiseme, hapo tumtoe China...

South Korea wapo mbali hao Israel ni mtoto mdogo..
Sio India, Hizo kampuni zipo hadi Kenya.

Kinachozungumziwa hapa ni ofisi za Reseach and Development, Ofisi za kuendeleza ubunifu wa teknolojia na kubuni teknolojia mpya, Wameweka ofisi hizo kwajili ya kuwatumia wanasayansi na wahandisi wa Israel wawasaidie kuwabunie teknojia.
 
Acha ujinga mzee...
Katika ubunifu na tech Israel haina u special wowote na hata leo hilo taifa likipotea gunduzi zitaendelea kama kawaida...

Steve Jobs mwenyewe baba yake ni mwarabu wa Syria...

Kila race ina watu special wenye uwezo mkubwa kufanya mambo makubwa...
Yaani unamsema Steve Jobs aliyekuwa mkatoliki mnakupewa elimu na Ukatoliki unamhusisha na uarabu?
Why hakurithinhata jina la kiislamu?
Alilelewa na waislamu?
Vipi kuhusu uncle Wozniack ambaye ndiye brain nyuma ya apple?
Yule Msyria alimlea Steve Jobs?
Steve Jobs was an Amaerican na kalelewa na Wayahudi hebu msome vizuri
 
Hawa Wavaa Kobazi wanaopenda kukimbilia nchi za Makafiri na kuacha kwenda kwa Maswahaba wenzao sidhani kama watakuelewa.
 
Ndio nakuambia bado hata kwenye R&D hawajafika kwa South Korea
Nje ya ofisi za ubunify Israel ndiyo nchi inayoongoza kwa kuwa na strtups nyingi za Teknolojia kwa kigezo cha ukubwa wa nchi

Samsung ni kampuni kubwa sana ya South Korea lakini na wao wamefungua ofisi ya ubunifu Israel.
 
Mleta mada anaamini mawazo haya ya kijinga yatampa baraka!

Upuuzi tu, Israel ni omba omba namba Moja duniani!
Israel hii yenye uchumi wa dola milioni 500 kwa mwaka huu pekee wakiwa vitani (zaidi ya shilingi trilioni elfu 1 ) ???

Israel hii nchi ya pili kwa uchumi mashariki ya kati ?

Darasani hukuona umuhimu wa elimu ulikuwa bize kuchoma wenzio na mbegu za ubuyu, unaishia kuaminishwa kirahisi maneno ya vijiweni
 
Mtabishana tuu. Mtoa uzi anazungumzia Waisrael na wachangiaji wengine wanazungumzia Nchi ya Israel. Mtakesha.
 
Yaani unamsema Steve Jobs aliyekuwa mkatoliki mnakupewa elimu na Ukatoliki unamhusisha na uarabu?
Why hakurithinhata jina la kiislamu?
Alilelewa na waislamu?
Vipi kuhusu uncle Wozniack ambaye ndiye brain nyuma ya apple?
Yule Msyria alimlea Steve Jobs?
Steve Jobs was an Amaerican na kalelewa na Wayahudi hebu msome vizuri
Steve Jobs baba yake wa kumzaa ni Syrian acheni uongo...

Jobs alikuwa asiliwa kwa familia ya kimarekani na kulelewa...

Hio inathibitisha kila race kuna watu wenye vipawa....

Asili yake ni Syria, angekuwa baba yake myahudi mngekesha humu kukomaa Apple imeanzishwa na myahudi...

Ujinga tu...

Tatizo ushamba umewajaa, nenda US kakutane na wanawake wa kiyahudi ukapige nyapu kawaida kabisa...

Mnawaona kama watu so special wakati Ulaya na US kuna wayahudi wacheza porn strippers kwenye makasino...

Punguzeni ushamba... Tembeeni mtoe ujinga... Punguzeni na kula ugali kila siku... Utakuwa na akili kama ng'ombe.
 
Acha ujinga mzee...
Katika ubunifu na tech Israel haina u special wowote na hata leo hilo taifa likipotea gunduzi zitaendelea kama kawaida...

Steve Jobs mwenyewe baba yake ni mwarabu wa Syria...

Kila race ina watu special wenye uwezo mkubwa kufanya mambo makubwa...
unataka kuingiza udini na race hapa wakati hatuoni waarabu wakibuni vitu
 
Back
Top Bottom