Mnaoichukia Israel msitumie Smartphone, Laptop, Googlr, n.k. makampuni giant ya kompyuta na Internet huitegemea Israel kwenye kubuni

Mnaoichukia Israel msitumie Smartphone, Laptop, Googlr, n.k. makampuni giant ya kompyuta na Internet huitegemea Israel kwenye kubuni

Mfano nakupa karibia windows xp yote ilibuniwa Israel lakini hutoweza kuwajua waliobuni kwasababu walichobuni kinakuwa mali ya kampuni iliyowaajiri microsoft

ni sawa na Ludigo alikuwa kaajiriwa anapiga biti kwa kina Master Jay na Majani, beat kama ya Mikasi ni yeye kahusika sana lakini kwasababu aliajiriwa Bongo Records, Pfunk ndie anajulikana mwenye biti
Source ya hizi taarifa ni ipi?
 
Nimeona kuna movements za ku boycott / kugomea bidhaa zenye uhusiano na Israel, nimepata wazo nije kuwasapoti wadau kwenye huu mgomo kwa kuwashauri muweke mkazo zaidi kukaa mbali kwenye simu na computer kwasababu bidhaa na huduma hizi nyingi wanaozibuni ni wayahudi wa Israel.

China ndipo vilipo viwanda vingi vya kutoa nakala za bidhaa.

Marekani ndipo zilipo ofisi za usimamizi na uongozi wa makampuni haya.

Kampuni hizi unaweza kuzikuta hadi Kenya zikiwa na ofisi za ukanda, mauzo, n.k.

Lakini Israel ndipo zilipo akili zinazotegemewa kuumiza vichwa kubuni bidhaa kisha zinaenda kufyatuliwa nakala kwenye nchi kubwa kama china zenye viwanda vingi.

Makampuni makubwa kama Google, Microsoft, Intel, Qualcom, n.k. yana ofisi za Research and Development nchini Israel, Wameweka ofisi hizo kwajili ya kuwatumia wanasayansi na wahandisi wa Kiyahudi wawasaidie kubuni na kuendeleza bidhaa na huduma zao- wapo Israel kwajili ya kutumia akili za wayahudi wawabunie teknojia.

wao wanauza ubunifu, ni sawa na kwenye mgahawa, wapishi wameajiriwa kuandaa chakula lakini chakula kinajulikana ni cha mwenye mgahawa, mfano google wana ofisi Israel wameajiri wanasayansi wanaobuni teknolojia zinazoboresha matokeo ya google lakini google ndio wanaotambulika kumiliki hizo teknolojia.

Kwa ofisi za Marekani za Sillicon Valley ni kama tawi lao lingine, wamejazana mno kwenye ofisiz za Research and Development!!

Orodha chache ya Makampuni :

GOOGLE - Unaikwepaje google ukitumia internet kwamfano, Wao ndio wamiliki wa Android mfumo unaotumika kwenye simu kibao kama Samsung, Nokia, Sony, hadi huku kwenye Tecno na Itel

APPLE na SAMSUNG - Ni makampuni makubwa sana ya simu, Kwa upande wa Apple kuna laptops za Mac

INTEL - Hii ni chip inayotumika zaidi kwenye laptops, hio laptop yako unaiona imeandika Intel core i3, i5, i7, n.k. ujue hio ndio akili ya computer

HP na DELL - Brand maarufu za laptop hizi

MICROSOFT WINDOWS - System maarufu zaidi tunayotumia kwenye computer za mezani na laptops

AMAZON na EBAY - Masoko maarufu ya kuagiza bidhaa mtandaoni

IBM

ORACLE

Unaposikia Israel wapo vizuri ki intelejensia sio uchawi, ni kwamba wao wanahusika zaidi kwenye kubuni bidhaa za makampuni makubwa ya vifaa vya mawasiliano, hivyo inakuwa rahisi kwao kuingia kwenye mifumo

Kama upo kwenye kampeni ya kuipinga Israel itakuwa ni vema zaidi utumie simu za vitochi, computer za korea kaskazini, epuka kutumia google, n.k. Hadi hizo facebook, whatsapp, instagram ni za myahudi Mark Zuckbereg ongeza nguvu mpinge usitumie huduma zake.
Nenda kwenye kiini au chanzo ni nani aliasisi na kuikuza kampuni ya Apple ambayo ni kubwa duniani. Ni Steve Job ambae asili yake ni mwarabu kutoka Syria.
Kuna maelfu ya waarabu, wahindi, machina ,wafrika wako kwenye makampuni makubwa ya IT hayo ya marekani.
Hawa wayahudi hawana kitu ni proganda tu na kudandia kama kupe.
Hawana historia yoyote ya uvumbuzi au mchango kwenye sayansi. Wamejitokeza miaka mia iliopita kwa njia ya utapeli na ukupe kwa kudandia idea za watu wengine Ndio maana walitumuliwa kila kona ya Ulaya.
 
Kwan hao nao wanabuni au wanaCopy?? Technolojia zote wanapora Afrika kwa sisi vilaza, wanakuja kwa migongo ya utalii&misaada, kumbe kuna malengo yao.

Vijana wengi wa kiafrika wameporwa gunduzi zao haswa sababu ya kukosa sapoti ktk nchi zetu za tawala za kishenzi, zinazoshindwa kuwaendeleza raia wake.

Narudia tena, gunduzi 70-80% mnazosema wamegundua hao matapeli waisrael/wazungu, ni uzushi mtupu, nyingi zinazohusisha technolojia ya umeme, Anga, utabibu, ujenzi zimechukulia huku huku kupitia vijana wadogo wabunifu waliokosa sapoti, wanachukuliwa mpaka nchi za ulaya&USA huko ambako wanalazimika kuugawa ujuzi wao kwa maslahi madogo ya vijipesa, then ujuzi huo unabambikiwa kwa wazungu kuwa ni wao wamegundua.

The same thing wanafanya chinese kwa sasa kusambaza raia wao Dunia nzima na kila nyanja ya technolojia unawakuta chinese, hawa jamaa wanakopi hizo technoloji alafu wanaenda kuendeleza kwao.

Hao mazayuni msiwajaze sifa za uongo hawana akili yoyote wala ugunduzi wowote, kwa sasa race inayoongoza kwa ugunduzi/uvumbuzi/technolojia ni China, South korea, Russia, then huko kwa wamagharibi.

Israel haina maajabu acheni kujazana uongo kwenye hivyo vijiwe vyenu vya kahawa.

Dunia bila black people isingekuwepo na haiwezi kuwepo maana ndiko chanzo cha maarifa ya bure na shamba la kujichotea vumbuzi/maarifa ya bure ambako hao wanyang'anyi (white people) wanajichotea tu,
 
Yaani unamsema Steve Jobs aliyekuwa mkatoliki mnakupewa elimu na Ukatoliki unamhusisha na uarabu?
Why hakurithinhata jina la kiislamu?
Alilelewa na waislamu?
Vipi kuhusu uncle Wozniack ambaye ndiye brain nyuma ya apple?
Yule Msyria alimlea Steve Jobs?
Steve Jobs was an Amaerican na kalelewa na Wayahudi hebu msome vizuri
Unafikiri mimaamuma ya mudi inaelewaga🤣😆 walichovumbua ile jamii waipendayo kuuza ni watumwa,
 
Back
Top Bottom