Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,391
- 3,849
Wadau walio na experience ya kuishi chumba kimoja na mtoto/watoto wenye umri wa miaka 4 huwa mnafanyaje mkitaka kula tunda iwe mchana au iwe usiku.
Wengine watoto wao hawana wa kucheza nao kwamba waende wakacheze ili mmalize haja yenu.
Wengine watoto wao hawana wa kucheza nao kwamba waende wakacheze ili mmalize haja yenu.