Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Wakati mwingine ni uvivu tu wa kutingwa na majukumu ya kila siku......na kwa bahati mbaya siku unayotaka kwenda ndio siku ya kupumzika na mwili umechoka........
Shukuru kwamba hujawah kurogwa.dunia ina mengi Zaid ya uyajuayoAtakua na nyumba nyingi huyo jamaa.
Masikini/choka mbovu mwenye kuishi kwny ka-banda ka-mbwa ka kupanga huko uswazi hawezi kusahau nyumba yake anayoijenga kamwe.
Tena mkuu umenizinduwa usingizini, wacha nijiandae nielekee Kibaha..
Nina jambo langu kule lakini sijakanyaga huu mwaka wa 5 tangu 2015 sijafika pale..
Huyu bibi jirani niliyemkabidhi eneo langu anitizamie naishia kuongea nae kwenye Simu tu miaka yote.
Kila nikitaka kwenda nasita sana.
Leo nakwenda na sijuwi kama nitakwenda kweli naona moyo bado mzito sana....
Bagamoyo mwisho[emoji16][emoji16][emoji16].
Kila dalali ana mganga wake..
Unaweza ukauziwa makaburi na ukatoa hela
MkuuHii itakua chai mkuu Yani unajijua kabisa Kama unakataa
Neno lina faida kubwa Hili. Wabheja sanaHapo umakini wa kibinadamu hautasaidia lolote.Yesu hakuja duniani kuzurura.Alikuja akijua fika tunamuhitaji sana,hasa kwa mambo yaliyo nje ya uwezo wetu wa kibinadamu kama haya.
Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka saaana. Nimekumbuka enzi hizo kuna mwenye nyumba aliipangisha nyumba yake yote kwa familia fulani. Ila baada ya kupita kipindi fulani na kodi ya mpangaji kuisha, mpangaji akawa halipi kodi. Mwenye nyumba akaamua kumfata kule kule. Ila kila akienda, anapotea njia, atazungukaa wee karibia siku nzima alaf anaamua tu kurudi home. Hiyo hali ikajirudia karibia miez 4 mfululizo, hadi siku hiyo akaamua kwenda na mganga, ndio akabahatika kuiona njia.
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
TruthLover anasemaKuamini kwenye nguvu za giza lazima kwanza nawe uwe Mshirikina.
Pili kuamini kwamba binaadamu mwenzako mnayefanana kwa kila kitu kwamba ana uwezo wa kuhusika na hisia au nafsi yako ni kumtukuza kulikopitiliza.
Kama huyo anayetuhumiwa ana huo uwezo wa aina hiyo kwa nini asiweze kupata mali tena kwingine?, au la basi angekuwa na mali zaidi ya hiyo.
Tunaposema kupambana na umasikini, ujinga na maradhi, basi tukumbuke ya kuwa huwezi kuondoa ujinga kama bado una mamilioni ya Watu wanaoamini kwenye mambo ya kusadikika. yaliyokosa uhalisia.
Nimekwenda mkuu,,,nimekuta kupo salama tu,,Mkuu tunaomba mrejesho wa safari yako kama ulifanikiwa kwenda
Hakika mitano tenaaaaaaaa.Shukuru kwamba hujawah kurogwa.dunia ina mengi Zaid ya uyajuayo
Nimechekaa sana, yaani usahau nyumba yako? Basi jamaa mambo yalikuwa super au alikuwa chizi
Hayo mambo ni huko kwenu tu bara ambako hakuna ubinadamu, hapa kwetu ni shwari hakuna kitu namna hiyoWasalaam,
Naomba tu kutoa wito kwa wale wenzangu na mimi tunaojidunduliza ili kujenga nyumba za kuishi na familia zetu kuwa MAKINI sana na WATU tunaowaweka wawe walinzi wa nyumba zetu
Kuna tukio lilitokea hapa kitaani likaniacha Mimi na baadhi ya majirani tulioshuhudia tukio hilo kubaki midomo wazi
TUKIO LENYEWE
Hapa nnapoishi nipo tokea Mwaka 1999 nikiwa mdogo sana..kuna nyumba kama ya 5 hivi kutoka hapa ninapokaa kuanzia mwaka huo 1999 ilikuwa imejengwa ila haikuwa imemalizika ndani madirisha na milango vilikwepo
Tokea mwaka 1999 hiyo nyumba ilikuwa hivyo hadi mwaka 2005 hivi kuendelea, mwenye nyumba akaizunguishia ukuta (ndani ilikuwa vilevile)
Ilikaa hvyo kwa miaka mingi kidogo then ikaanza kukarabatiwa na kufanyiwa finishing kali ikapendeza kweli
Sasa mwezi kama mmoja hivi uliopita tulisikia vurumati ndani ya hiyo nyumba, watu kutukanana, kugombana kwa sauti kali, ikabidi tujisogeze kujua nini shida
Ndipo yule jamaa aliekuwa anafoka kutuambia kuwa ile nyumba ni yake na huyo tuliemdhania kwamba anamiliki ile nyumba aliwekwa na huyo jamaa kama MLINZI tu
Ila baada tu ya kumuweka huyo jamaa kama mlinzi ALISAHAU kabisa kuhusu ile nyumba na hakuwahi kukumbuka kama ana ile nyumba mpaka alipobahatika kwenda kuombewa huko kwenye makanisa ya walokole (though alienda kwa shida nyingne)
Dunia ina mambo mengi sana, TUWENI MAKINI JAMANI
yaani nimesoma hii habari yako mwisho nimekuona mjingasana, unajaribu kuleta wazo lako hapa lakini tatizo unalo mwenyewe halafu unasingizia kurogwa sijuw upumbav gani yaani watu kama nyinyi wenye theory mgando kama hii mimi nawakwepa sana, wewe endelea bora endelea na mawazo yako finyu ukiamini kuna jambo baya umefanyiwa. poor thinkerUnajua watu wengi hawafahamu kuwa wachawi wapo mjini mfano angalia nyumba nyingi ukianza kujenga ikafikia sehemu ya finishing ukaweka mmasai mlinzi au mmakonde na wengine ujue nyumba hiyo huwezi kuimalizia itakaa hivyo hivyo mda mrefu utakuwa umeisahau kabisa..
Huyo ni kumtandika viboko tu fahamu zinarudi kabisaWewe huna haja ya kuombewa. Acha kulialia kama mtoto mdogo. Ondoka katika usingizi mzito ulionao, nenda kapangishe hizo fremu.