Bora umekuwa muwazi huna hela. Ukizipata utaanza kuzipenda.Japo sina hela ya kujenga ghorofa ila sijawahi zipenda.
Aaaah wapi!! π€£π€£π€£Bora umekuwa muwazi huna hela. Ukizipata utaanza kuzipenda.
Kwani nikizeeka wajukuu zangu hawawezi kupanda?
Aaaah wapi!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
ππππ Eti eeh?Mchawi hela bana,ghorofa ina rahaa yake
Tabia za kivivu hizi. Sledi nayo ya mvivu mwenzio.Binafsi sijawahi kupenda kuishi kwenye nyumba ya ghorofa huwa naona kadhia ile panda shuka. Ila kila mtu na chaguo lake. Kipenda roho!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Eti eeh?