Mnaojiweza au mliowahi kujiweza kiuchumi mkiwa chini ya miaka 30, nje ya ajira, utajiri wa familia, n.k mliwezaje?

Tanzania ili uonekane umefanikiwa
1.umiliki nyumba yenye thamani ya kuanzia 50M
2.umiliki usafiri
3.uende Dubai or china
4.umiliki mwanamke mwenye mshimbombo aka mzigidi
🤣🤣🤣🤣Hatari sana, hadi namba nne nayo ni mafanikio
 
Tz ukimilili kagari ka kutembelea, nyumba ama apartment umepangisha na vichenchi kadhaa tayari unachukuliwa umetoboa kimaisha
 
Je unatamani kwenda Tena?

Mimi kwa umri wangu huu ... Kwa kweli hapana 😂
Dah club labda washkaji waki enda ndo Wana nishtua, mi mzee wa kukaa ndani hapa penyewe niko nacheki movie tu.

Niki toka naenda Barabarani usiku, Kuna kuwa kume tulia na hakuna kelele.
nasikiliza nyimbo Kisha narudi ndani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…