Mnaojiweza au mliowahi kujiweza kiuchumi mkiwa chini ya miaka 30, nje ya ajira, utajiri wa familia, n.k mliwezaje?

Mnaojiweza au mliowahi kujiweza kiuchumi mkiwa chini ya miaka 30, nje ya ajira, utajiri wa familia, n.k mliwezaje?

Hata hiyo miaka 30 umejitajidi sana mkuu ingawa hakuna umri sahihi wa kutoboa lakini pia kutoboa kwenye ni swala ambalo liko very subjective kwa maana Kila mtu ako na test yake ya mafanikio.... Ili mtu aonekane amebotoa anapaswa kuwa na nini na nini kwani?😅😅😅
 
Leo nimekumata wazi wazi makutupora Monetary doctor dosho12 oya mchizi sio jobless mwenzetu anatusnich tu
Screenshot_20250204-102553~2.jpg

Mje mpige harakati sasa au bado mtaendelea kuchagua mishe?
Akili kumkichwa
 
Kusema ukwel kuna watu wanaupepo wa hela,kuna mjinga mmoja huyo biashara yake ya kwanza kufanya ni uwakala wa mitandao ya simu tu,pia alikuwa na zile line kubwa za uwakala

Lakin kwenye hyo miaka 30 kaweza kujenga kamjengo kamaana sana ambako watumishi wengi hawawez kukajenga,kwanza kana finishing ya kinyama sana,yaan ni kwamba pesa za ujenzi zilikiwepo za kutosha na ikabak chenji
Bahati iliyoje
 
Imauma sana kama ukiwa mlokole yaani pombe hunywi, sigara wala bangi huvuti, mbususu unapata kwa mpangilio maalum (kifo cha mende kwenye ndoa) na kila jumamosi upo kanisani ila inafika 30 maisha Yako hayana tofauti na dereva wa bajaji hapo mtaani
Naam kumtumikia mungu si lelemama,mazingatio ni akhera zaidi kuliko duniani,ndivyo itakiwavyo katika imani karibu zote.
 
Kuanzia kesho naingia 😂studio Japo am 35🤣kumbe ni kirahisi kupata pesa kupitia muziki
Talent kwenye sanaa ama michezo are the ways.. na kidogo politics ukipata luck ya kushinda ubunge ukiwa early 20s kama kina Silinde, Nassari, Zito kabwe enzi zao

Under 30 kupata utajiri sio rahisi bila kuwa msanii ama mwanamichezo
 
Hata hiyo miaka 30 umejitajidi sana mkuu ingawa hakuna umri sahihi wa kutoboa lakini pia kutoboa kwenye ni swala ambalo liko very subjective kwa maana Kila mtu ako na test yake ya mafanikio.... Ili mtu aonekane amebotoa anapaswa kuwa na nini na nini kwani?😅😅😅
Tanzania ili uonekane umefanikiwa
1.umiliki nyumba yenye thamani ya kuanzia 50M
2.umiliki usafiri
3.uende Dubai or china
4.umiliki mwanamke mwenye mshimbombo aka mzigidi
 
Usiogope kuiba

Uwe na time limit ya kufanya kazi HATA kama unapiga kila siku

KUNA siku itagona utalipwa kisadooo

2.maombi
 
Kuna mdau mmoja kachangia hapo juu kuhusu swala la upepo wa pesa, kwenye kijibiashara changu mzee wangu baba mzazi huwa akikanyaga anauza kishenzi 🤔Ila mimi mwenye biashara nikikaa mara nyingi napelea mpaka najiuliza Huyu mzee ana kitu gani Asee?
 
Wewe unafaa sana kuwa raisi wetu wa majobless pro max maana hustling umeanza kitambo, yaani bila mshahara mwezi na ukaotesha nyumba.
Dah nime cheka Sana, but I say sio rahisi it costed me sometimes.

Kuto kupata usingizi, over work, emotion damage uki haribu au kuzingua. Kwenye maamuzi au hustle ziki stuck.
 
Back
Top Bottom