Simao Latino
JF-Expert Member
- Jan 11, 2025
- 477
- 608
- Thread starter
-
- #301
Ulitaka nijitangaze kuwa niliwasaidia wale watoto??..Nimelia sana kujiita wa ilala wakati unamiliki buku benga tu.......ila umaskini wa wananchi hasa wa kawaida unazidi kuwa wa kutisha huku watu fulani wanaojiita wanasihasa wakizidi kuwa na ukwasi wa kufuru.
Punguza makasiriko mtoto wa Temeke..No matter unakaa TMK au Ilala ila kitendo cha OP kukosa hata 500 ya ziada mfukoni kulikuwa hamna haja ya kuanzisha huu uzi 😅🚮🚮
Wait, una uhakika hayo machozi yalikutoka kwaajili ya hao watoto kweli?? 😂
Lunch ya ice cream na bagia mbili mbili kila mmoja??..Uswahilini vyakula Virgi mia 500 inawatosha watoto. Sasa ulitaka wapewe bakuli la ugali na maharagwe siyo.
We fika Njaro, huko temeke kwenyewe mjini.Temeke ni balaa mkuu..
I cream 100, bagia 100 sasa ubayakaje, wakati shule huko kuna lunch mchana.Lunch ya ice cream na bagia mbili mbili kila mmoja??..
Temeke ni too muchIlala, Temeke kote huko ni uswahilini.
Haupendi amani kabisa😅😅Wewe hukai Ilala. Mwandiko wako wa Kanda ya ziwa
Tuwaombee sana watoto wa masikiniI cream 100, bagia 100 sasa ubayakaje, wakati shule huko kuna lunch mchana.
Huyo jamaa yupo obsessed na EMs utafikiri waliwahi kumuibia mkewe..Haupendi amani kabisa😅😅
Mkuu, vp kuhusu Unubini??..We fika Njaro, huko temeke kwenyewe mjini.
Pinda Rays kunja kulia uwe km unaenda Stereo, kunja kulia tena ndo utakuta njaro karibia kwenye kota za tazara.
Watu hawa hawa Miaka mitatu iliyopita waliambiwa "fyatueni tu" kila kitu bure!Mimi ninakaa Wilaya ya Ilala. Jana nilikuwa Wilaya ya Temeke (mtoni kwa Aziz Ally) nilishuhudia mida ya mchana badala ya mama kuwapikia watoto (watoto walitoka kucheza wakaja kulalamika njaa inawauma) akawapa 500 wote wawili wakanunue bagia na askrimu (ice cream) na ndio imetoka hiyo mpaka Usiku, kulingana na maelezo ya mwenyeji wangu. Sema na mimi nilikuwa majalala, nilibakiwa na nauli tu 2,000, laiti kama ningekuwa na kitu chochote ningeweza kuwaongezea hata 500 nyingine aisee.
Kama hauna pesa ya kumsaidia mtoto masikini, basi mkumbuke hata wakati wa sala au swala.
Daah, uswahilini panatisha wadau, hususan kwa watoto wadogo.
UPDATE LEO JANUARY 28, 2025 SAA 15:50
======
Nimegundua watanzania wengi wanapenda sana kusaidia wenye uhitaji kisha kujitangaza.
Laiti kama ningesema niliwasaidia wale watoto, mngenirushia tena mawe "KWA HIYO NDIO UMEKUJA KIJITANGAZA JF ILI UONEKANE UNA ROHO NZURI??" Hahahahaa wabongo wengi jau sana..
Tumekuwa na hao pia wamekuwa usihofu mkuu. Usione dinga hizo kitaa wengi wametokea huko na bado tunapambana.Tuwaombee sana watoto wa masikini
Hakika Mungu ni mwema mkuu..Tumekuwa na hao pia wamekuwa usihofu mkuu. Usione dinga hizo kitaa wengi wametokea huko na bado tunapambana.
Nauli yake tu ilikuwa mbwembwe, itakuwa kusaidia wengine..!!Polee sana mkuu nakuelewa ulivyo jisikia ili urudi tena ukasaidie hao vijana.... mtaani kwenu na washkaji zako azisha kampeni ya michango then mnaenda kusidia hao vijana! Bdo unaweza kuwa msaada kwao
Charities zipo na wakipata taarifa kama hizi wanaenda eneo la tukio kutoa msaada. Au unafikiri kila mmoja ana roho mbaya kama wewe??..Nauli yake tu ilikuwa mbwembwe, itakuwa kusaidia wengine..!!
Na mimi sijasema uwombe hapa jf namaanisha mtaani kwako na rafiki zakoNiliogopa kuomba michango humu JF kwa sababu watu wangedhania kwa mimi ni tapeli..