Mnaokaa Uswahilini (Wilaya ya Temeke) Mungu awafanyie wepesi ndugu zangu. Jana machozi yalinitoka

Nimelia sana kujiita wa ilala wakati unamiliki buku benga tu.......ila umaskini wa wananchi hasa wa kawaida unazidi kuwa wa kutisha huku watu fulani wanaojiita wanasihasa wakizidi kuwa na ukwasi wa kufuru.
Ulitaka nijitangaze kuwa niliwasaidia wale watoto??..
 
No matter unakaa TMK au Ilala ila kitendo cha OP kukosa hata 500 ya ziada mfukoni kulikuwa hamna haja ya kuanzisha huu uzi 😅🚮🚮

Wait, una uhakika hayo machozi yalikutoka kwaajili ya hao watoto kweli?? 😂
Punguza makasiriko mtoto wa Temeke..
 
Uswahilini vyakula Virgi mia 500 inawatosha watoto. Sasa ulitaka wapewe bakuli la ugali na maharagwe siyo.
 
Kuna ukweli ila naona kama hakukua na haja ya hiko kichwa Cha habari kwenye neno Temeke, asilimia kubwa kila wilaya uswahilini maisha ni hayohayo mkuu
 
Watu hawa hawa Miaka mitatu iliyopita waliambiwa "fyatueni tu" kila kitu bure!

Huku Temeke, Mbagala Gongo la Mboto , mwanamke wa miaka 23 unakuta tayari ana watoto zaidi ya wattatu.
Kama tunataka wajihudumie, basi tuwaambie kipindi cha kampeni wakiwa wamekusanyika kuwa sera ni:-
1. Elimu si bure.
2. kujifungua ni hela.
 
Polee sana mkuu nakuelewa ulivyo jisikia ili urudi tena ukasaidie hao vijana.... mtaani kwenu na washkaji zako azisha kampeni ya michango then mnaenda kusidia hao vijana! Bdo unaweza kuwa msaada kwao
Nauli yake tu ilikuwa mbwembwe, itakuwa kusaidia wengine..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…