Mnaokaa Uswahilini (Wilaya ya Temeke) Mungu awafanyie wepesi ndugu zangu. Jana machozi yalinitoka

Mnaokaa Uswahilini (Wilaya ya Temeke) Mungu awafanyie wepesi ndugu zangu. Jana machozi yalinitoka

Umekuja lini mjini, Ma anacheza kigodoro na kanga moko, kitu tigo hao watoto atawajali sa ngapi? Mtoni kwa Aziz Ally mi nilikuwepo pale.
Chapati 3 na bakuli la maharage 500 watu wa3 mnashiba kabisa.
Ushafika Njaro Temeke?Mbagala Zakhem ndani huko,Buguruni pale kimboka,mnyamala A mishkaki ya 100.kwa bonge msasani kule 500 utavimbiwa usiulize ni kitu gani umekula.
Temeke ni balaa mkuu..
 
Mimi ninakaa Wilaya ya Ilala. Jana nilikuwa Wilaya ya Temeke (mtoni kwa Aziz Ally) nilishuhudia mida ya mchana badala ya mama kuwapikia watoto (watoto walitoka kucheza wakaja kulalamika njaa inawauma) akawapa 500 wote wawili wakanunue bagia na askrimu (ice cream) na ndio imetoka hiyo mpaka Usiku, kulingana na maelezo ya mwenyeji wangu. Sema na mimi nilikuwa majalala, nilibakiwa na nauli tu 2,000, laiti kama ningekuwa na kitu chochote ningeweza kuwaongezea hata 500 nyingine aisee.

Kama hauna pesa ya kumsaidia mtoto masikini, basi mkumbuke hata wakati wa sala au swala.

Daah, uswahilini panatisha wadau, hususan kwa watoto wadogo.
Mnawatelekeza upande mkiwakuta upande mwingine mnawahurumia, mnazalisha wanawake upande mmoja ukiwakuta ukiwakuta upande wa pili unawahurumia, watoto na wanawake tabu zao nyingi zinatokana na wanaume Si LAZIMA ukubali ukweli uko wazi.
 
Mimi ninakaa Wilaya ya Ilala. Jana nilikuwa Wilaya ya Temeke (mtoni kwa Aziz Ally) nilishuhudia mida ya mchana badala ya mama kuwapikia watoto (watoto walitoka kucheza wakaja kulalamika njaa inawauma) akawapa 500 wote wawili wakanunue bagia na askrimu (ice cream) na ndio imetoka hiyo mpaka Usiku, kulingana na maelezo ya mwenyeji wangu. Sema na mimi nilikuwa majalala, nilibakiwa na nauli tu 2,000, laiti kama ningekuwa na kitu chochote ningeweza kuwaongezea hata 500 nyingine aisee.

Kama hauna pesa ya kumsaidia mtoto masikini, basi mkumbuke hata wakati wa sala au swala.

Daah, uswahilini panatisha wadau, hususan kwa watoto wadogo.
umetoka ilala na unawacheka wa temeka ndugu? mbona mpo sawa tu kiuswahiliniswahilini? pia, shukuru hata aliwapa 500, kuna wamama wengine hata hapo ilala hawana hiyo 500. wakati tunakua, jirani yetu alikuwa anatuma watoto kuja kuhemea kwetu, na tulikuwa tunawaita tunakula nao chakula cha mchana fresh tu, Mzee alinifundisha jambo kubwa sana kwenye utoaji. yaani ikifika mchana utakuta hao wamekuja kucheza, na baba hataki nile peke yangu natakiwa niwakaribishe tule wote. hao ndio walikua wakawa mafariki zangu hadi ukubwani huku, wengine wamefanikiwa tu ila ile bond ipo hadi leo tunajiona familia.
 
Sasa mbona wewe wa Ilala na huyo wa Temeke Hali zenu zinafanana?
Kwa sababu hao watoto kama wangekuwa wako hata wewe pia usingeweza kuwalisha mlo wa mchana na hiyo buku 2 yako
 
Sasa mbona wewe wa Ilala na huyo wa Temeke Hali zenu zinafanana?
Kwa sababu hao watoto kama wangekuwa wako hata wewe pia usingeweza kuwalisha mlo wa mchana na hiyo buku 2 yako
Ningesema niliwasaidia wale watoto, mngenirushia tena wale "KWA HIYO NDIO UMEKUJA KIJITANGAZA JF ILI UONEKANE UNA ROHO NZURI??"
 
umetoka ilala na unawacheka wa temeka ndugu? mbona mpo sawa tu kiuswahiliniswahilini?
Ningesema niliwasaidia wale watoto, mngenirushia tena wale "KWA HIYO NDIO UMEKUJA KIJITANGAZA JF ILI UONEKANE UNA ROHO NZURI??"
 
umetoka ilala na unawacheka wa temeka ndugu? mbona mpo sawa tu kiuswahiliniswahilini? pia, shukuru hata aliwapa 500, kuna wamama wengine hata hapo ilala hawana hiyo 500. wakati tunakua, jirani yetu alikuwa anatuma watoto kuja kuhemea kwetu, na tulikuwa tunawaita tunakula nao chakula cha mchana fresh tu, Mzee alinifundisha jambo kubwa sana kwenye utoaji. yaani ikifika mchana utakuta hao wamekuja kucheza, na baba hataki nile peke yangu natakiwa niwakaribishe tule wote. hao ndio walikua wakawa mafariki zangu hadi ukubwani huku, wengine wamefanikiwa tu ila ile bond ipo hadi leo tunajiona familia.
Hongera sana kwa kuwa na mzazi mwema..
 
Nyote ni walewale hata kwako mnashindia uji! Ulishindwa nini hata kumpigia mamsapu akutumie hata buku 5 ukawanunulie kilo mbili za mchele?
Ningesema niliwasaidia wale watoto, mngenirushia tena wale "KWA HIYO NDIO UMEKUJA KIJITANGAZA JF ILI UONEKANE UNA ROHO NZURI??"
 
Picha linaanza njia ya kwenda kivule tu............ kutokea Ukonga ni shida.

Ukisema upitie Msongola kutokea Chamazi Mbande nayo hovyo.

Ukikatiza pale kati kwa kufuata Bomba la songas wamejaa waganga wa kienyeji.

Kivule unayo jivunia imeizidi nini kata ya Chamazi ambayo ipo wilaya ya Temeke?

Unapojibu ukumbuke Mimi mwenyewe ni mtoto wa Wailes na huko kivule na Msongola Kuna vibanfmda vyangu
 
Nimelia sana kujiita wa ilala wakati unamiliki buku benga tu.......ila umaskini wa wananchi hasa wa kawaida unazidi kuwa wa kutisha huku watu fulani wanaojiita wanasihasa wakizidi kuwa na ukwasi wa kufuru.
 
1738060171140.jpg
 
Back
Top Bottom