Mnaokaa Uswahilini (Wilaya ya Temeke) Mungu awafanyie wepesi ndugu zangu. Jana machozi yalinitoka

Mnaokaa Uswahilini (Wilaya ya Temeke) Mungu awafanyie wepesi ndugu zangu. Jana machozi yalinitoka

Mimi ninakaa Wilaya ya Ilala. Jana nilikuwa Wilaya ya Temeke nilishuhudua mida ya mchana badala ya mama kuwapikia watoto (watoto walitoka kucheza wakaja kulalamika njaa) akawapa 500 wote wawili wakanunue bagia na askrimu (ice cream) na ndio imetoka hiyo mpaka Usiku, kulingana na maelezo ya mwenyeji wangu. Sema na mimi nilikuwa majalala, nilibakiwa na nauli tu, laiti kama ningekuwa na kitu chochote ningeweza kuwaongezea hata 500 nyingine aisee.

Kama hauna pesa ya kumsaidia mtoto masikini, basi mkumbuke hata wakati wa sala au swala.

Daah, uswahilini panatisha wadau, hususan kwa watoto wadogo.
Nyote ni walewale hata kwako mnashindia uji! Ulishindwa nini hata kumpigia mamsapu akutumie hata buku 5 ukawanunulie kilo mbili za mchele?
 
Kama hauna pesa ya kumsaidia mtoto masikini, basi mkumbuke hata wakati wa sala au swala.
Sasa ulichokiona wewe ni trela tena umepewa trela fupi ukipewa movie nzima si utazima kabisa?

Watu life limekaba pabaya sio poa wao wanachojua kuitana Dodoma kuwashikisha chochote mkononi km kifunga mdomo na kuwalazimisha watu kupiga kura sio kwa hiari ila kwa lazima na hakuna kupiga tofauti uliemuona yaan unawekewa jina 1 unaambiwa sema ndio au hapana

Mnakufa njaa poleni sana ndugu zangu kuna watu wanakula wanasaza mpaka kumwaga na kulisha mifugo chakula ambacho kuna mtu somewhere anakitafuta kwa njaa kali kuna sehemu mifugo imepikiwa msosi heavy na hio ni budget ya kila siku

Nilifika Kinondoni hio kuuule Ubalozini kuna Mzee mmoja wa kihindi anafuga ile mimbwa isiyo na akili inayokula msosi heavy usiku hua anaifungulia sasa omba usikutane nayo ila asubuhi hua inarudi ndani yenyewe

Poleni sana
 
Kutokula mlo wa mchana ni vizuri kwa afya
1000019226.jpg
 
Back
Top Bottom