Mnaokaa Uswahilini (Wilaya ya Temeke) Mungu awafanyie wepesi ndugu zangu. Jana machozi yalinitoka

Mnaokaa Uswahilini (Wilaya ya Temeke) Mungu awafanyie wepesi ndugu zangu. Jana machozi yalinitoka

Mimi ninakaa Wilaya ya Ilala. Jana nilikuwa Wilaya ya Temeke nilishuhudua mida ya mchana badala ya mama kuwapikia watoto (watoto walitoka kucheza wakaja kulalamika njaa) akawapa 500 wote wawili wakanunue bagia na askrimu (ice cream) na ndio imetoka hiyo mpaka Usiku, kulingana na maelezo ya mwenyeji wangu. Sema na mimi nilikuwa majalala, nilibakiwa na nauli tu, laiti kama ningekuwa na kitu chochote ningeweza kuwaongezea hata 500 nyingine aisee.

Kama hauna pesa ya kumsaidia mtoto masikini, basi mkumbuke hata wakati wa sala au swala.

Daah, uswahilini panatisha wadau, hususan kwa watoto wadogo.
Wanazaa wanini? Yaani uhurumie mtu anaezaa bila mpango?
 
Kwenye maisha tusiwe polite sana. Tuwe wakali kidogo pale unapohitajika..
Nimekupata vyema simaanishi akikuita mbwa ukae kimya no!!

Tumia lugha ambayo itamfikirisha mara mbili as you say!! Ila matusi sio ukali

Ukali tumia kwenye maneno

Kuna jamaa alinivaa humu nikamjibu bila kumtuksna en alivyo reply akaombs yaishe so hivyo

Tuishi humo 👊 acha jazba 😂
 
Nimekupata vyema simaanishi akikuita mbwa ukae kimya no!!

Tumia lugha ambayo itamfikirisha mara mbili as you say!! Ila matusi sio ukali

Ukali tumia kwenye maneno

Kuna jamaa alinivaa humu nikamjibu bila kumtuksna en alivyo reply akaombs yaishe so hivyo

Tuishi humo 👊 acha jazba 😂
Nzurii hii..
 
Njia pekee ya kuwasadia watoto maskini ni kuboresha elimu ya uzazi wa mpango; yaani huko uswahili Watu wanazaa kama panya na ukiuliza historia ya mababa wa watoto hao unaweza kata tamaa; unakuta mwanamke mmoja ana watoto 5 kwa mababa tofauti na kila baba hasimamii majukumu yake
Sasa km ndio kitu pekee wanachokipenda hapa duniani kuliko vitu vingine vyovyote unataka nini kitokee?
 
Nimekupata vyema simaanishi akikuita mbwa ukae kimya no!!

Tumia lugha ambayo itamfikirisha mara mbili as you say!! Ila matusi sio ukali

Ukali tumia kwenye maneno

Kuna jamaa alinivaa humu nikamjibu bila kumtuksna en alivyo reply akaombs yaishe so hivyo

Tuishi humo 👊 acha jazba 😂
Poa mkuu. Nimekusoma..
 
Nature italea,watakaosavaivu hadi mwisho ndo watakaoshinda.Wazaliane tu na Chalamila afute kauli ya kwamba eti waende na gloves,wataweza wapi watu wa aina hiyo?
Mimi maneno ya chalamila yamenitia kinyaa! Wacha aendelee kuropoka upumbavu wakati huu ni mwaka wa uchaguzi! Huyu bwana nahisi dishi lake haliko sawa ndiyo hata wakati yuko Mwanza aliwahi kusema upumbavu hadi Samia akalazimika kumuweka pembeni kwa muda.
 
Mimi ninakaa Wilaya ya Ilala. Jana nilikuwa Wilaya ya Temeke nilishuhudua mida ya mchana badala ya mama kuwapikia watoto (watoto walitoka kucheza wakaja kulalamika njaa) akawapa 500 wote wawili wakanunue bagia na askrimu (ice cream) na ndio imetoka hiyo mpaka Usiku, kulingana na maelezo ya mwenyeji wangu. Sema na mimi nilikuwa majalala, nilibakiwa na nauli tu, laiti kama ningekuwa na kitu chochote ningeweza kuwaongezea hata 500 nyingine aisee.

Kama hauna pesa ya kumsaidia mtoto masikini, basi mkumbuke hata wakati wa sala au swala.

Daah, uswahilini panatisha wadau, hususan kwa watoto wadogo.
Huo ndio uchumi wa Bluu mnaoambiwa unapigwa mwingi
 
Mimi maneno ya chalamila yamenitia kinyaa! Wacha aendelee kuropoka upumbavu wakati huu ni mwaka wa uchaguzi! Huyu bwana nahisi dishi lake haliko sawa ndiyo hata wakati yuko Mwanza aliwahi kusema upumbavu hadi Samia akalazimika kumuweka pembeni kwa muda.
Mkuu, kwani Challer-miller kasemaje tena??..
 
Mimi nashinda wilaya ya ilala 3/4 ya muda WANGU...then 1/4 ya muda WANGU naenda kulala temeke... Hiyo ndio cyclolic process in day to day activities 😅😅☺️☺️😊

NB.
Kuhusu makazi napo kaa niliyo yaandika hapo juu ni uongo na upotoshaji mkubwa ni puuzwe 🤣🤣
Maisha ya dzm Yana mfanano flani ambao hatutofautianii sana

Ambapo naona hata uswahilini huko wako vzr tuu

Pengine huyo mama mvivu kupika lkn kwa bajeti ya buku mbili akiwa na mkaa au gas mbona anakula vzr tuu 😂😂

Nihamie keko Kuna supu na chapati tamu pale MSD pale 😋😝
 
Mimi ninakaa Wilaya ya Ilala. Jana nilikuwa Wilaya ya Temeke nilishuhudua mida ya mchana badala ya mama kuwapikia watoto (watoto walitoka kucheza wakaja kulalamika njaa) akawapa 500 wote wawili wakanunue bagia na askrimu (ice cream) na ndio imetoka hiyo mpaka Usiku, kulingana na maelezo ya mwenyeji wangu. Sema na mimi nilikuwa majalala, nilibakiwa na nauli tu, laiti kama ningekuwa na kitu chochote ningeweza kuwaongezea hata 500 nyingine aisee.

Kama hauna pesa ya kumsaidia mtoto masikini, basi mkumbuke hata wakati wa sala au swala.

Daah, uswahilini panatisha wadau, hususan kwa watoto wadogo.
We ambaye ulikuwa majalala unayeishi Ilala una tofauti ipi na huyo uanmuona ni wa uswahilini??? Ngoja tukuombee
 
Back
Top Bottom