Mnaokaa Uswahilini (Wilaya ya Temeke) Mungu awafanyie wepesi ndugu zangu. Jana machozi yalinitoka

Mnaokaa Uswahilini (Wilaya ya Temeke) Mungu awafanyie wepesi ndugu zangu. Jana machozi yalinitoka

Watu wa Temeke wamekuja juu wanaona km umewafanyia namna gani kwenye maeneo yao kuwafanyia utalii wa ndani wa kushtukiza bila kuwapa taarifa halafu mtalii wao ulivyo huna hata soni unatembea na nauli 2 tu hubebi hata hela ya maji ya kunywa au soda km dharula
Naona watu wa temeke wame mahindi kiseng yan kutowa siri ya kambi😂😂
 
Maisha ya dzm Yana mfanano flani ambao hatutofautianii sana

Ambapo naona hata uswahilini huko wako vzr tuu

Pengine huyo mama mvivu kupika lkn kwa bajeti ya buku mbili akiwa na mkaa au gas mbona anakula vzr tuu 😂😂

Nihamie keko Kuna supu na chapati tamu pale MSD pale 😋😝
Kule mbagala Kuna sehemu wanauza ngozii na kende za mbuzi/ ngombe Kuna utumbo wa kuku Kuna supu ya miguu ya nguruwe

Balaa Kuna rafiki angu mmoja alikua anapitia magumu akawa anaenda kula ngozi na supu yake yaan fresh kabisa..
 
Kule mbagala Kuna sehemu wanauza ngozii na kende za mbuzi/ ngombe Kuna utumbo wa kuku Kuna supu ya miguu ya nguruwe

Balaa Kuna rafiki angu mmoja alikua anapitia magumu akawa anaenda kula ngozi na supu yake yaan fresh kabisa..
Kipindi nakula mdudu nimekula sana. Masikio ya nguruwe miguu hiyo 😂😂 saa hizi hapana aseeh

Nimekuwa mlaji wa nguruwe sana lakini kichwa Cha nguruwe sijawahi kiona 😂
 
Jamaa mna mwandama buree..Ali maanisha kwa siku ya Jana alipo enda temeke alikua na fixed budget kiasi kwamba asinge weza kutoa jero ingine ya ziada.😅😅😅🤣

Nimemuelewa mtoa thread 🧵
Hakuna habari ya fixed budget hapa !, jamaa ni choka mbaya ila ni ile ya nyani haoni kundule!.
Hata kama hana pesa mfukoni si mabanda ya mawakala wa huduma za M pesa tigo pesa yapo kila mahala.
Si angeenda kuwatolea hata 5000 watoto wamalize siku vizuri na yeye akapata thawabu kwa Mungu?
 
Kipindi nakula mdudu nimekula sana. Masikio ya nguruwe miguu hiyo 😂😂 saa hizi hapana aseeh

Nimekuwa mlaji wa nguruwe sana lakini kichwa Cha nguruwe sijawahi kiona 😂
Mimi supu ya miguu ya chair fire sijawai kula.
Na roho nyepesi kongoro haipiti kabisa kwenye koo...japo Jana nimepiga mdudu wa kukausha nikapiga na spirit kidogo siku ikapita
 
Mimi ninakaa Wilaya ya Ilala. Jana nilikuwa Wilaya ya Temeke nilishuhudua mida ya mchana badala ya mama kuwapikia watoto (watoto walitoka kucheza wakaja kulalamika njaa) akawapa 500 wote wawili wakanunue bagia na askrimu (ice cream) na ndio imetoka hiyo mpaka Usiku, kulingana na maelezo ya mwenyeji wangu. Sema na mimi nilikuwa majalala, nilibakiwa na nauli tu, laiti kama ningekuwa na kitu chochote ningeweza kuwaongezea hata 500 nyingine aisee.

Kama hauna pesa ya kumsaidia mtoto masikini, basi mkumbuke hata wakati wa sala au swala.

Daah, uswahilini panatisha wadau, hususan kwa watoto wadogo.
Ulienda Temeke kufanya shuhuli gani au kuiba!?

Manake na ww kumbe hukuwa hata na jero la ziada

Yani ww ni kapuku kama wao tu
 
Back
Top Bottom