Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Sijacheka tangu asubuhi ila jamaa amenichekesha sana.Mleta uzi kumbe nae mchovu tu hajiwezi,apuuzwe
Kama mmemwelewa sio kwamba anawakejeli Wanatemeke, maana hata yeye hali yake ni mbaya mno.
Ndio kumaanisha kwamba Sio ty watu wa temeke bali Dar es saalam yote na pengine Nchi nzima.