Mnaokaa Uswahilini (Wilaya ya Temeke) Mungu awafanyie wepesi ndugu zangu. Jana machozi yalinitoka

Mnaokaa Uswahilini (Wilaya ya Temeke) Mungu awafanyie wepesi ndugu zangu. Jana machozi yalinitoka

Mleta uzi kumbe nae mchovu tu hajiwezi,apuuzwe
Sijacheka tangu asubuhi ila jamaa amenichekesha sana.
Kama mmemwelewa sio kwamba anawakejeli Wanatemeke, maana hata yeye hali yake ni mbaya mno.

Ndio kumaanisha kwamba Sio ty watu wa temeke bali Dar es saalam yote na pengine Nchi nzima.
 
Maisha ya dzm Yana mfanano flani ambao hatutofautianii sana

Ambapo naona hata uswahilini huko wako vzr tuu

Pengine huyo mama mvivu kupika lkn kwa bajeti ya buku mbili akiwa na mkaa au gas mbona anakula vzr tuu 😂😂

Nihamie keko Kuna supu na chapati tamu pale MSD pale 😋😝
Nimekaa Keko miaka 24. Keko Machungwa..
 
Unashangaa mmama kukosa jero ya ziada wakati na wewe mwenyewe haukuwa nayo. Hii ndiyo wawekezaji wanaita both teams to score?
 
Mimi ninakaa Wilaya ya Ilala. Jana nilikuwa Wilaya ya Temeke nilishuhudua mida ya mchana badala ya mama kuwapikia watoto (watoto walitoka kucheza wakaja kulalamika njaa) akawapa 500 wote wawili wakanunue bagia na askrimu (ice cream) na ndio imetoka hiyo mpaka Usiku, kulingana na maelezo ya mwenyeji wangu. Sema na mimi nilikuwa majalala, nilibakiwa na nauli tu, laiti kama ningekuwa na kitu chochote ningeweza kuwaongezea hata 500 nyingine aisee.

Kama hauna pesa ya kumsaidia mtoto masikini, basi mkumbuke hata wakati wa sala au swala.

Daah, uswahilini panatisha wadau, hususan kwa watoto wadogo.
Mimi ulienitoa machozi ni wewe mkazi wa ilala uliekosa mia5 ya ziada 😭😭
 
Mimi ninakaa Wilaya ya Ilala. Jana nilikuwa Wilaya ya Temeke nilishuhudua mida ya mchana badala ya mama kuwapikia watoto (watoto walitoka kucheza wakaja kulalamika njaa) akawapa 500 wote wawili wakanunue bagia na askrimu (ice cream) na ndio imetoka hiyo mpaka Usiku, kulingana na maelezo ya mwenyeji wangu. Sema na mimi nilikuwa majalala, nilibakiwa na nauli tu, laiti kama ningekuwa na kitu chochote ningeweza kuwaongezea hata 500 nyingine aisee.

Kama hauna pesa ya kumsaidia mtoto masikini, basi mkumbuke hata wakati wa sala au swala.

Daah, uswahilini panatisha wadau, hususan kwa watoto wadogo.
Shida wanafajifanya ma suoer women, ubabe mwingi, na kujikuta wanaweza muda leo watoto peke yao. Hao watoto ukute baba zao wako maeneo hukoo wala hawana hizo shida ndogo ndogo za kumuda ugali mara 2 kwa siku na chai andazi 1 kwa watoto wao
 
Sijacheka tangu asubuhi ila jamaa amenichekesha sana.
Kama mmemwelewa sio kwamba anawakejeli Wanatemeke, maana hata yeye hali yake ni mbaya mno.

Ndio kumaanisha kwamba Sio ty watu wa temeke bali Dar es saalam yote na pengine Nchi nzima.
Temeke hali inatosha mnoo mkuu..
 
Back
Top Bottom