Mnaokaa Uswahilini (Wilaya ya Temeke) Mungu awafanyie wepesi ndugu zangu. Jana machozi yalinitoka

Mnaokaa Uswahilini (Wilaya ya Temeke) Mungu awafanyie wepesi ndugu zangu. Jana machozi yalinitoka

Upo sahihi mimi sioni Cha kubishana dar karibu kote Hali ni ile ile

wapo wanaoshindia mihogo, viazi, au supu , chai au wengine pasi ndefu hizo zote naelewa

wapuuze tuu
Sio kweli wewe bado hujaitembelea Dar vizuri na hupajui Dar vizuri kuna area ukienda utasema hapa sio Dar ni New York, cha kukushauri fanya utalii wa Ndani tembelea maeneo tofauti ingia majengo mengi mengi mengi utakuja kunielewa ukitoka huko kwenye mijengo hamia upande wa pili ukawaone watu wanavyoishi hapa nyumba pale choo
 
Sio kweli wewe bado hujaitembelea Dar vizuri na hupajui Dar vizuri kuna area ukienda utasema hapa sio Dar ni New York, cha kukushauri fanya utalii wa Ndani tembelea maeneo tofauti ingia majengo mengi mengi mengi utakuja kunielewa ukitoka huko kwenye mijengo hamia upande wa pili ukawaone watu wanavyoishi hapa nyumba pale choo
Ununio, Mbweni, Masaki, O-bey pako vema sana..
 
No matter unakaa TMK au Ilala ila kitendo cha OP kukosa hata 500 ya ziada mfukoni kulikuwa hamna haja ya kuanzisha huu uzi 😅🚮🚮

Wait, una uhakika hayo machozi yalikutoka kwaajili ya hao watoto kweli?? 😂
Mwamba alijisikitikia mwenyewe. 😁
 
Umasikini tunajaribu kuupunguza na sio kuumaliza.

Hata ungekuwa na kila kitu bado sifikirii kama ungeweza kufanikiwa kuumaliza Umasikini hapa Tanzania.
 
Hivi wilaya ya Temeke kule Kurasini kulikuwa na sehemu zilikuwa poa sana bado wame maintain au kushaharibika nako siku hizi?
 
Back
Top Bottom