Mnaokula Kitimoto, Kuleni "Kwa Raha Zenu," Yesu Ameruhusu

Sasa Muhammad alihalalisha lini kula nguruwe
 
Sasa Muhammad alihalalisha lini kula nguruwe
Alipo waambia waislamu kuwa wakiwa na dhiki ya njaa wanaweza kula nguruwe ...katika torati nguruwe kaharamishwa kabisa aijalishi unakufa kwa njaa au la
 
Biblia unaisoma kama gazeti.
Haya maneno waliambiwa kina nani kama sio Adam na Eva.
Mwanzo 9:3:
"Kila kitu kiendacho kilicho hai kitakuwa chakula chenu; kama nilivyowapa mboga za majani, kadhalika nawapeni hivi vyote." (Mwanzo 9:3, SUV)
Sheria ya kutokula nguruwe ilikuja kuwekwa baadaye. Na Yesu alipokuja akaitengua sheria hiyo. Yesu ndiye Mtunga sheria, hivyo ana mamlaka ya kuweka sheria na kubadili. Funguka macho!
 
Alipo waambia waislamu kuwa wakiwa na dhiki ya njaa wanaweza kula nguruwe ...katika torati nguruwe kaharamishwa kabisa aijalishi unakufa kwa njaa au la
Acha uongo, soma jibu langu
 
Acha uongo, soma jibu langu
Hata adamu na hawa siyo lile tunda lililo ingia tumboni bali ni lileneno la mungu kuwa msile tunda...siku waliyo hamua kula ni lazima dhamila mbaya kutoka moyoni mwao ndiyo iliyo wakosesha
 
Kwahiyo kwakuwa kiingiacho siyo najisi bali kitokacho nyinyi hata mbwa, panya , paka, vyira na nyoka mnakula ?!
Faida ya agano la kale ni nini?
kwanini waandishi wa biblia wasiache kuchapisha agano la kale?
Kwa kuchapisha agano la kale si ni kupoteza pesa za bure kuchapisha kitabu ambacho hakina faida kwa wasomaji?!
 
TATIZO LAKO NI AKILI YAKO NDOGO NDIYO MAANA UNIELEWI MFANO NIKIKUULIZA SWALI JE SADAKA ZINAZO TOLEWA KWA MUNGU WA KWELI ZOTE NI HALALI WEWE KWA KUKOSA AKILI UTASEMA NI HALALI BALI MIMI NITAKUJIBU KUWA UHALALI WA SADAKA UNAPIMWA NDANI YA NYOYO ZAIDI SADAKA YA KAINI ILIKATALIWA KWA SABABU DHAMILA YAKE HAIKUWA NJEMA KUHUSU HIYO SADAKA ..KUNAMTU ALIKUFA YEYE NA MKEWE KWA KUTOA SADAKA NUSU YA FEDHA YA NYUMBA YAO WALIYO UZA KILICHO WAUA HAO WATU SIYO SADAKA NDOGO BALI WALIKUWA NA DHAMILA MBAYA MIOYONI MWAO....HIVYO HAYO MAFUNDISHO YA YESU YANA MAANISHA KUWA UHALALI AU UHARAMU WA CHAKULA CHOCHOTE UNATEGEMEA DHAMILA ILIYOPO MOYONI MWAKE MTU ...mfano je kula nyama ya binadamu ni halali kwa hoja yako hivyo tule nyama za wanadamu ?
 
TATIZO LAKO NI AKILI YAKO NDOGO NDIYO MAANA UNIELEWI MFANO NIKIKUULIZA SWALI JE SADAKA ZINAZO TOLEWA KWA MUNGU WA KWELI ZOTE NI HALALI WEWE KWA KUKOSA AKILI UTASEMA NI HALALI BALI MIMI NITAKUJIBU KUWA UHALALI WA SADAKA UNAPIMWA NDANI YA NYOYO ZAIDI SADAKA YA KAINI ILIKATALIWA KWA SABABU DHAMILA YAKE HAIKUWA NJEMA KUHUSU HIYO SADAKA ..KUNAMTU ALIKUFA YEYE NA MKEWE KWA KUTOA SADAKA NUSU YA FEDHA YA NYUMBA YAO WALIYO UZA KILICHO WAUA HAO WATU SIYO SADAKA NDOGO BALI WALIKUWA NA DHAMILA MBAYA MIOYONI MWAO....HIVYO HAYO MAFUNDISHO YA YESU YANA MAANISHA KUWA UHALALI AU UHARAMU WA CHAKULA CHOCHOTE UNATEGEMEA DHAMILA ILIYOPO MOYONI MWAKE MTU ...mfano je kula nyama ya binadamu ni halali kwa hoja yako hivyo tule nyama za wanadamu ?
 
Alipo waambia waislamu kuwa wakiwa na dhiki ya njaa wanaweza kula nguruwe ...katika torati nguruwe kaharamishwa kabisa aijalishi unakufa kwa njaa au la
Hapo hajahalalisha ulaji wa nguruwe katika mazingira ya kawaida ila pale ukiwa na njaa ya kupelekea kufa na hakuna chakula kingine ila nguruwe lakini katika hali ya kawaida ni haramu kula.
 
Duh, hongera sana, mkuu. Kama hii kazi ni wewe unaifanya, basi nakutunukia PhD ya Kuchoma Kiti Moto. Please, waambie hao wakuu wa JF waongeze title yako mpya kwenye jina lako. Jina lisomeke Mshana Jr (PhD).
Hata kama asingeruhusu hii kitu unaachaje?duniani kuna vitu viwili vitamu K na kitimoto
 
Hakuna kitu kama hicho kasome mambo ya walawi 11 anzia mstari wa kwanza na kuendelea wanyama,ndege pamoja na viumbe viishivyo baharini kaongelea pale vyote.
Ngurue sungura ngamia popo bundi sijui kiruka njia ni ndege yupi ila hao wopte kakataa hadi mzoga wao kugusa.
Acha uongopea umma mi mkristo ila nafsi wakatiwingine inanisutaga
 
Hapo hajahalalisha ulaji wa nguruwe katika mazingira ya kawaida ila pale ukiwa na njaa ya kupelekea kufa na hakuna chakula kingine ila nguruwe lakini katika hali ya kawaida ni haramu kula.
Sasa sindiyo kuhalalisha huko..mimi nikisema kula nyama ya ngombe ni ijumaa tu ndiyo nime halalisha kwa hiyo ijumaa ...je ni halali kuzini na mama yako mzazi kwa sababu una nyege na hakuna mwanamke kwa kipindi icho?
 
Your browser is not able to display this video.
 
Vitamins B6 and B12, also found abundantly in pork, are essential for blood cell formation and brain function. Pork is also an excellent source of iron — the heme-iron found in red meats is absorbed very easily by the human digestive system. The selenium in pork is essential for proper thyroid function.
 
Leta andiko lilitaja Nguruwe karuhusiwa akiwa katajwa nina lake kama jinsi alivyotajwa wakati anakarazwa
 
Sasa sindiyo kuhalalisha huko..mimi kikisema kula nyama ya ngombe ni ijumaa tu ndiyo nime halalisha kwa hiyo ijumaa ...je ni halali kuzini na mama yako mzazi kwa sababu una nyege na hakuna mwanamke kwa kipindi icho?
Sawa kahalalisha je hoja yako ni nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…