Jubilani!Alitakiwa akutane na wanachama kwanza. Au leo angetoa taarifa kwa umma nini aliongea na Rais, na nini msimamo wa chama.
Ukimya wake una maana alitolewa kwa masharti akapelekwa kulishwa maneno na mtesi wake.
Lissu arudi aongoze mapambano Mbowe kafika bei.
Mna kelele tu.Unaalikwaje straight kutoka jela?
Mbowe alipaswa baada ya kutoka jela akutane na wanachama waliosimama nae muda wote wakati kiteswa gerezani na kina samia. Awashukuru kwa kusimama nae.
Huko mbele kama angekutana na rais hakukua na shida.
Sasa wewe unaachiwa, watu waliosimama na wewe hawajasikia unasema nini moja kwa moja ikulu kucheka na aliekufunga, huo ni utaahira.
Ndio maana tunasema Tanzania haina wanasiasa, ina waganga njaa.
Tatizo amewahi mno kwenda ikulu ilibidi apimzike na kujipa muda kutafakari ndio aende. Kwa sasa bado ana wenge la magereza na akili bado haijakaa sawa.Amani Itawale kwenu Nyote!
Jana nahisi ilikua moja ya siku atakazozikumbuka Mwamba FAM kwenye Maisha yake hasa juu ya kesi iliyokua inamkabili yeye na wenzake ambapo DPP jana Aliamua kuifuta kesi hio au aliamua kutokuendelea nayo.
Baada ya taarifa ile shangwe nyingi zilikuepo niseme hata Mimi hapa nilifurahi sanaaaa kupita kiasi.
Sasa watu wakiwa na Furaha Mara Taarifa na picha zikatoka na ni Official zikimuonyesha Mbowe akiwa na Rais wa JMT hapo kila kitu kikaanza kunenwa tofauti hata humu kunawengine wameapia CCM itawale Milele kisa tu Eti Mwamba FAM kaonyesha Uzwazwa sa NAJIULIZA Ule ni Uzwazwa kweli? Au watu hatuelewi SIASA?
Mbowe kila siku Mi nasema na niseme hapa He is A Pure POLITICIAN anaelewa misingi ya Siasa yote sio mpuuzi kwenda Ikulu ni ulize tu Mtu ulikua na Kesi ya Ugaidi inafutwa halaf GAIDI unaitwa Ikulu unakataa sa unakataa vipi, si unaenda ili watu wenye kujiuliza wajiulize na wapate majibu ni Kweli huyu alikua GAIDI yani GAIDI aitwe Ikulu? Hili ndio swali Mlitakiwa kujiuliza jana kesi imefutwa ila inatakiwa tuendelee kufuata mambo madogomadogo ili tuelewe zaidi tusiiishe kwenye kusema Angesusa alichofanya FAM ni ukomavu wa Akili Mkubwa ndani ya SIASA.
Ni malize kwa kuuliza mlitaka Afanye Nini labda Nyie Waungwana?
NdioVipi wale wenzake waliofungwa nae nao wameachiwa
Mimi nataka nione Kama mwamba ataendeleza mapambano ya kudai katiba mpya kwa maandamano ya nchi nzima kama alivyoanza kipindi kile huku akitoa maneno ya kebehi kwa rais wa nchi?maana kwa mtazamo wangu inawezekana hii ndiyo ilikuwa sababu ya kuwekwa ndani, Kama ataufyata basi huu ni ushindi mkubwa kwa rais
Mkuu, hao wanaopinga ni kama washabiki tu wa timu za mpira hawaendi mbali katika kuchambua mambo.Amani Itawale kwenu Nyote!
Jana nahisi ilikua moja ya siku atakazozikumbuka Mwamba FAM kwenye Maisha yake hasa juu ya kesi iliyokua inamkabili yeye na wenzake ambapo DPP jana Aliamua kuifuta kesi hio au aliamua kutokuendelea nayo.
Baada ya taarifa ile shangwe nyingi zilikuepo niseme hata Mimi hapa nilifurahi sanaaaa kupita kiasi.
Sasa watu wakiwa na Furaha Mara Taarifa na picha zikatoka na ni Official zikimuonyesha Mbowe akiwa na Rais wa JMT hapo kila kitu kikaanza kunenwa tofauti hata humu kunawengine wameapia CCM itawale Milele kisa tu Eti Mwamba FAM kaonyesha Uzwazwa sa NAJIULIZA Ule ni Uzwazwa kweli? Au watu hatuelewi SIASA?
Mbowe kila siku Mi nasema na niseme hapa He is A Pure POLITICIAN anaelewa misingi ya Siasa yote sio mpuuzi kwenda Ikulu ni ulize tu Mtu ulikua na Kesi ya Ugaidi inafutwa halaf GAIDI unaitwa Ikulu unakataa sa unakataa vipi, si unaenda ili watu wenye kujiuliza wajiulize na wapate majibu ni Kweli huyu alikua GAIDI yani GAIDI aitwe Ikulu? Hili ndio swali Mlitakiwa kujiuliza jana kesi imefutwa ila inatakiwa tuendelee kufuata mambo madogomadogo ili tuelewe zaidi tusiiishe kwenye kusema Angesusa alichofanya FAM ni ukomavu wa Akili Mkubwa ndani ya SIASA.
Ni malize kwa kuuliza mlitaka Afanye Nini labda Nyie Waungwana?
Hao atakutana nao siku zote. Kwa rais ni awal kulAlitakiwa akutane na wanachama kwanza. Au leo angetoa taarifa kwa umma nini aliongea na Rais, na nini msimamo wa chama.
Ukimya wake una maana alitolewa kwa masharti akapelekwa kulishwa maneno na mtesi wake.
Lissu arudi aongoze mapambano Mbowe kafika bei.
Kuwa mkweli mkuu, kulala kote sero unasema hivi. Hii ni afya ya taifa zima.Kajiangalia yeye binafsi acha aendelee kwa mchaga haishangazi Sacco's ataingalia kwa ukaribu Chadema ni Utopolo kama utopolo mwingine
Kwani huyo aliwahi Kuwa mpinzani? Hao ndiyo wanaojifanya wajuaji na wapinzani wakati wako jikoniSi huyo unaemuita ndie kasema hawez kua mpinzani tena au ni pacha ake?[emoji16]
Hata kama wana ushahidi ila kama kuifuta inaleta faida kwao kwanini wasiifute? si umeona wamefuta kesi na kumwita ikulu wamechukua points zao, labda wewe usiyejulikana na si mwanasiasa na hauna mtu wa kwenda kukuombea kwa rais ukikamatwa ndio hawawezi kukuachia hata kama hawana ushahidi.Hii ni uthibisho kesi ya kubumba Ingekuwa na ushahidi wasingeifuta uliona wapi kesi mashahidi wote ni police
Underboss, kuna mambo hupaswi kuyachukulia kama akili yako ilivyo tuuu. Kukutana na wanachama hakuna shida, nafasi hiyo iko tu muda wowote.Unaalikwaje straight kutoka jela?
Mbowe alipaswa baada ya kutoka jela akutane na wanachama waliosimama nae muda wote wakati kiteswa gerezani na kina samia. Awashukuru kwa kusimama nae.
Huko mbele kama angekutana na rais hakukua na shida.
Sasa wewe unaachiwa, watu waliosimama na wewe hawajasikia unasema nini moja kwa moja ikulu kucheka na aliekufunga, huo ni utaahira.
Ndio maana tunasema Tanzania haina wanasiasa, ina waganga njaa.
Wewe akili huna.Underboss, kuna mambo hupaswi kuyachukulia kama akili yako ilivyo tuuu. Kukutana na wanachama hakuna shida, nafasi hiyo iko tu muda wowote.
Kukutana na Rais ni nafasi adimu, na Mbowe alichofanya ni cha maana Sana, maana changamoto zote pale ndiyo pa kuzisema, na kilichojadiliwa matunda yake yataonekana soon.
Siyo kila mtu ni mwanasiasa bali wengine ni uchwara(probably na wewe ukiwemo).
Ndio mpunguze shobo kupigania masilahi ya wanasiasa kuliko masilahi yenu, jitu linatokwa na mishipa ya shingo kisa mwanasiasa Mbowe kafungwa ila wananchi wanzake wamejaa kibao huko jela kwa uonevu pia ila hajawahi kutokwa na mishipa ya shingo, lini mwanasiasa ataenda kuongea na rais kwa ajiri ya masilahi yenu au kuomba tu wale ndugu zetu kule jela waliyowekwa kwa uonevu watendewe haki?Unaalikwaje straight kutoka jela?
Mbowe alipaswa baada ya kutoka jela akutane na wanachama waliosimama nae muda wote wakati kiteswa gerezani na kina samia. Awashukuru kwa kusimama nae.
Huko mbele kama angekutana na rais hakukua na shida.
Sasa wewe unaachiwa, watu waliosimama na wewe hawajasikia unasema nini moja kwa moja ikulu kucheka na aliekufunga, huo ni utaahira.
Ndio maana tunasema Tanzania haina wanasiasa, ina waganga njaa.
Akiba ya maneno ni muhimu mkuu. Siasa zina hesabu zake na hazitaki kujihukumu.Kusema kweli na nisiwe mnafiki Mimi amenikera Sana na nimechukia.
Sina mengi ya kuandika ila huo ndio ukweli wangu.
Sitakuja kufuatilia wala kuchangia siasa au wanasiasa wa Tanzania tena!
mi ninechokoza fikra tu ukiangalia mbali Samia hana upeo huo, Mbowe ni nguvu na ushawishi wa viongozi wa dini vimemtoa pamoja na mbinyo wa kimataifa hasa maswala ya mkwamo kiuchumi wa Chifu ombaomba, Cheo kinamzidi hakuwa na namna, michadema wsifurahie Udikteta upo wazi sana.Kuwa mkweli mkuu, kulala kote sero unasema hivi. Hii ni afya ya taifa zima.