pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Raisi wa matajiriMoja kwa moja kwenye mada,
Muna point kweli au ndio munafuata mkumbo tu,
Kwa sababu naona wengi wanasema eti maisha ni magumu ndio maana wanalaumu kwani lini yaliwahi kuwa mazuri?
Tuanzie hapo kwanza
Kalime wewe ndio ujue gharama zikoje sio unashinda mtandaoni ukipangia watu masokoila hapa kwenye mahindi kuvushwa mpàka kwenda ñje samahani naona kama sijamuelewa mpka najiuza angekuepo yeye kipindi kile cha corona sijui hali ingekuaje
tumeona mwenda na zake alichokifanya kwa wenye madaladala wenye mujumba ya kupangisha n.k
mahala pengine kama mkuu wa nchi unatumia amri pia.
NoUnaishi Kwa shemeji
Mwambie apunguze sana kufanya Vikao na Majenerali na Mabrigedia wa Jeshi kwani Kuongoza Tanzania hii yenye Watu wengi Wasomi na Werevu ni zaidi ya Kuonana nao kila mara.Moja kwa moja kwenye mada,
Muna point kweli au ndio munafuata mkumbo tu,
Kwa sababu naona wengi wanasema eti maisha ni magumu ndio maana wanalaumu kwani lini yaliwahi kuwa mazuri?
Tuanzie hapo kwanza
Kajifunze kiswahili kwanza sio Munaomchukia, Nni mnaomchukiaMoja kwa moja kwenye mada.
Muna point kweli au ndio munafuata mkumbo tu, kwa sababu naona wengi wanasema eti maisha ni magumu ndio maana wanalaumu. Kwani lini yaliwahi kuwa mazuri?
Tuanzie hapo kwanza.
Hili la Juzi Bima, ulikua mashimoni?Moja kwa moja kwenye mada.
Muna point kweli au ndio munafuata mkumbo tu, kwa sababu naona wengi wanasema eti maisha ni magumu ndio maana wanalaumu. Kwani lini yaliwahi kuwa mazuri?
Tuanzie hapo kwanza.
Duh, wewe ni kiboko yaani mara moja hii umeshakuwa mpiga ramli?!Mwambie apunguze sana kufanya Vikao na Majenerali na Mabrigedia wa Jeshi kwani Kuongoza Tanzania hii yenye Watu wengi Wasomi na Werevu ni zaidi ya Kuonana nao kila mara.
au nchi ipo Vitani kwa sasa? Awe mvumilivu tu kwa Spana zetu kwani zinamsaidia kuyajua yale asiyoyajua na hata Kujirekebisha pia kuliko Wewe ( Nyie ) Wanafiki na Chawa ( Sycophants ) ambao mnajifanya Kumpenda na kuona anapatia huku Mioyoni mwenu mkiwa mnamcheka na Kumnanga.
Hivi ungekua wewe ndio rais kwa mfanoHili la Juzi Bima, ulikua mashimoni?
Mafuta???
Vipi gharama za Maisha ?? Huko kwenu Lita Tano za Mafuta ya Kupikia zimegonga ngapi??.
Vipi kuhusu Miradi ya JPM aloiacha ambayo Ina manufaa ya Kitaifa??
Jipige kifuani Mara tatu ukijiambia Maneno haya """Mimi ni Mjinga japo Nina macho"".
🤣🤣🤣🤣Kajifunze kiswahili kwanza sio Munaomchukia, Nni mnaomchukia
Kama sio udini, ukabila, ukanda au jinsia vinginevyo hakuna sababu yenye mashiko hata moja,Tofauti ya Mwendazake na Mama zipo kibao sana
Mfano; Mwendazake:"Nakuagiza kufikia tarehe 8 mwezi huu hili jambo waziri (fulani) liwe limekamilika
Mama: "Mh. Wazili (Fulani) naomba hili nalo ukalifanyie kazi"
Ingekuwa ni kipindi cha JPM sasa hii hakuna sehemu mahindi yangeuzwa elfu 20 kwa ndoo (kilo ya unga Tsh 1800/-, bei ya mafuta isinge paa hivi ilivyo sasa pamoja na vita ya Urusi, ile pesa iliyotumika kwenye loyotua ingefanya jambo la kuonekana tena la maana tu na watalii wangekuja kwa wingi ule ule
Machinga wangeendelea kupiga pesa kama kawaida, tofauti na sasa kumiliki biashara ni mpaka uwe na pesa ndefu pango tu linagharimu sio chini ya laki 5
Kiukweli mimi namchukia mama na nina sababu R.I.P JPM
Kipindi kile kilikuwa cha wamachingaRaisi wa matajiri
Ni washenzi tuu hao na chuki binafsi..
Unaweza kudhani huko kwa Mwendazake kulikuwa Neema kumbe walikuwa wanachezewa kama watoto na kufukarishwa tuu nothing else..
Mwendazake anawalisha maneno na kuharibia maisha huku wao Wakitanua.
Shida Rais anatumia lugha ya Mama upole,saizi alitakiwa awachane live kama Mseven kwamba Yeye hakuanzisha vita na Wala Tanzania haina visima vya mafuta.
Unakumbuka Bungeni Makamba alisema ambae anaweza leta mafuta Kwa bei ndogo aende Ofisini apewe kibali hadi leo hii kimya Kwa wale wenye midomo.
Mama awatolee uvivu kwa kuwachana live,wanataka atoe Kodi kwenye mafuta Ili avurige bajeti na miradi ikwame wapate pa kusemea.
Samia Kazi hivyo hivyo,usije toa Kodi kwenye mafuta Road fund ya Pesa za TanRoada na Tarura wanategemea hapo Rea wanategmea hapo,Reli wanategemea hapo,hakuna kutoa hata mia.
Nchi karibu zote mafuta yako juu na wanakomaa.
Inawezekana hizo inchi zenye bei nafuu ya mafuta either kodi ya mafuta ni ndogo sana au haipo kabisa,Karibia zote mafuta yako juu!!
Vizuri tuanzie hapo na nchi zilizobaki ambazo mafuta yako chini
Kwann tusiwe nchi mojawapo ambazo mafuta yako chini?
Au vita inapiganwa Tanzania??
je ni sisi pekee ambayo vita imetuathiri??
kama jibu n hapana basi umeandika utoporo